-
Watu 17 wafariki dunia kwa mafuriko katika mkoa wa Fars, Iran
Mar 25, 2019 14:37Kwa akali watu 17 wamefariki dunia katika mkoa wa Fars wa kusini magharibi mwa Iran na makumi ya wengine wamejeruhiwa kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua inayoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
-
Kutokana na kuendelea kunyesha mvua nchini Iran, Rais Rouhani amewataka wakuu wa mikoa kuwa katika hali ya tahadhari
Mar 25, 2019 13:35Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa amri kwa wakuu wote wa mikoa humu nchini kuwa katika hali ya tahadhari kutokana na mvua kuendelea kunyesha katika maeneo tofauti ya Iran.
-
Njaa inazidi kuhatarisha maisha ya watu nchini Kenya, zaidi ya milioni moja wako hatarini
Mar 24, 2019 15:37Televisheni ya al Jazeera ya Qatar imeripoti leo kuwa, zaidi ya watu milioni moja wako katika hatari ya kuteketea kwa njaa katika kaunti na wilaya nyingi nchini Kenya kutokana na ukame wa muda mrefu.
-
Kiongozi Muadhamu asisitiza kusaidiwa haraka watu walioathiriwa na mafuriko kaskazini mwa Iran
Mar 23, 2019 16:28Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe kwa mnasaba wa tukio la mafuriko yaliyoikumba miji ya Golestan na Mazandaran kaskazini mwa Iran na kusisitiza juu ya kusaidiwa watu walioathiriwa na janga hilo la kimaumbile.
-
Mafuriko yaendelea kuua katika nchi za kusini mwa Afrika
Mar 15, 2019 01:18Makumi ya watu wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Malawi.
-
Mafuriko yaua watu 45 Afghanistan na Pakistan
Mar 06, 2019 02:46Kwa akali watu 45 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika nchi za Afghanistan na Pakistan.
-
Mafuriko Jordan yauwa watu wasiopungua 18, wengi wao ni watoto
Oct 26, 2018 07:56Watu wasiopungua 18 wengi wao wakiwa ni watoto wa shule na walimu wameaga dunia katika mafuriko ya ghafla wakati walipokuwa katika matembezi ya kishule karibu na Bahari ya Chumvi (Dead Sea) nchini Jordan. Mafuriko hayo yametajwa kuwa ni maafa makubwa zaidi kuwahi kuikumba Jordan katika miaka ya karibuni.
-
Watu 100 wauawa na mafuriko nchini Nigeria
Sep 18, 2018 07:13Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa inayoendelea kunyesha nchini Nigeria yameua watu zaidi ya 100 katika majimbo 10 ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Watu 22 wapoteza maisha na maelfu wakosa makazi kutokana na mafuriko Niger
Aug 10, 2018 03:55Waziri mmoja wa Niger amesema kuwa, watu wasiopungua 22 wamefariki dunia na maelfu ya wengine wamepoteza makazi yao kutokana na mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Waliopoteza maisha katika mafuriko, maporomoko Japan ni zaidi ya watu 140
Jul 10, 2018 07:43Watu zaidi ya 140 wamepoteza maisha, huku hatima ya makumi ya wengine ikiwa haijulikani kutokana na athari za mvua kubwa zilizonyesha magharibi na katikati mwa Japan.