Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuriko

  • Rais Rouhani: Serikali itafidia hasara walizopata waathiriwa wa mafuriko

    Rais Rouhani: Serikali itafidia hasara walizopata waathiriwa wa mafuriko

    Mar 27, 2019 16:10

    Rais Hassan Rouhani amesema: Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu itahakikisha kwa suhula zote ilizonazo na kwa uwezo wake wote inafidia hasara walizopata watu wote walioathiriwa na mafuriko.

  • Kiongozi Muadhamu atoa ujumbe na kutaka kusaidiwa haraka waathiriwa wa mafuriko ya Shiraz

    Kiongozi Muadhamu atoa ujumbe na kutaka kusaidiwa haraka waathiriwa wa mafuriko ya Shiraz

    Mar 26, 2019 15:12

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amemtumia ujumbe Khatibu wa Swala ya Ijumaa wa mji wa Shiraz wa kusini mwa Iran ambapo sambamba na kutoa mkono wa pole na salamu za rambirambi kwa wananchi waliopatwa na msiba, ametoa wito kuongezwa kasi katika shughuli ya ufikishaji misaada kwa waathiriwa wa janga hilo.

  • Rais Rouhani ataka kushughulikiwa haraka hali ya waathiriwa wa mafuriko Iran

    Rais Rouhani ataka kushughulikiwa haraka hali ya waathiriwa wa mafuriko Iran

    Mar 26, 2019 15:10

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kusisitiza kushughulikiwa haraka hali ya wananchi waliokumbwa na janga la mafuriko katika maeneo mbalimbali hapa nchini amesema kuwa, asasi zote zinapaswa kufanya juhudi maradufu kwa ajili ya kuhakikisha wananchi hao wanafikiwa na misaada haraka iwezekanavyo.

  • Mataifa mbalimbali yatuma salamu za pole na rambirambi kufuatia janga la mafuriko Iran

    Mataifa mbalimbali yatuma salamu za pole na rambirambi kufuatia janga la mafuriko Iran

    Mar 26, 2019 03:08

    Kufuatia mafuriko yaliyoikumba mikoa kadhaa ya Iran na kupelekea kwa akali watu 19 kufariki dunia na makumi ya wengine kujeruhiwa, balozi za nchi mbalimbali hapa Tehran zimetoa mkono wa pole kwa familia zilizopoteza ndugu zao walioaga dunia katika maafa haya ya mafuriko.

  • Watu 17 wafariki dunia kwa mafuriko katika mkoa wa Fars, Iran

    Watu 17 wafariki dunia kwa mafuriko katika mkoa wa Fars, Iran

    Mar 25, 2019 14:37

    Kwa akali watu 17 wamefariki dunia katika mkoa wa Fars wa kusini magharibi mwa Iran na makumi ya wengine wamejeruhiwa kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua inayoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali hapa nchini.

  • Kutokana na kuendelea kunyesha mvua nchini Iran, Rais Rouhani amewataka wakuu wa mikoa kuwa katika hali ya tahadhari

    Kutokana na kuendelea kunyesha mvua nchini Iran, Rais Rouhani amewataka wakuu wa mikoa kuwa katika hali ya tahadhari

    Mar 25, 2019 13:35

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa amri kwa wakuu wote wa mikoa humu nchini kuwa katika hali ya tahadhari kutokana na mvua kuendelea kunyesha katika maeneo tofauti ya Iran.

  • Njaa inazidi kuhatarisha maisha ya watu nchini Kenya, zaidi ya milioni moja wako hatarini

    Njaa inazidi kuhatarisha maisha ya watu nchini Kenya, zaidi ya milioni moja wako hatarini

    Mar 24, 2019 15:37

    Televisheni ya al Jazeera ya Qatar imeripoti leo kuwa, zaidi ya watu milioni moja wako katika hatari ya kuteketea kwa njaa katika kaunti na wilaya nyingi nchini Kenya kutokana na ukame wa muda mrefu.

  • Kiongozi Muadhamu asisitiza kusaidiwa haraka watu walioathiriwa na mafuriko kaskazini mwa Iran

    Kiongozi Muadhamu asisitiza kusaidiwa haraka watu walioathiriwa na mafuriko kaskazini mwa Iran

    Mar 23, 2019 16:28

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe kwa mnasaba wa tukio la mafuriko yaliyoikumba miji ya Golestan na Mazandaran kaskazini mwa Iran na kusisitiza juu ya kusaidiwa watu walioathiriwa na janga hilo la kimaumbile.

  • Mafuriko yaendelea kuua katika nchi za kusini mwa Afrika

    Mafuriko yaendelea kuua katika nchi za kusini mwa Afrika

    Mar 15, 2019 01:18

    Makumi ya watu wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Malawi.

  • Mafuriko yaua watu 45 Afghanistan na Pakistan

    Mafuriko yaua watu 45 Afghanistan na Pakistan

    Mar 06, 2019 02:46

    Kwa akali watu 45 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika nchi za Afghanistan na Pakistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS