Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuriko

  • Watu 17 wafariki dunia kwa mafuriko katika mkoa wa Fars, Iran

    Watu 17 wafariki dunia kwa mafuriko katika mkoa wa Fars, Iran

    Mar 25, 2019 14:37

    Kwa akali watu 17 wamefariki dunia katika mkoa wa Fars wa kusini magharibi mwa Iran na makumi ya wengine wamejeruhiwa kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua inayoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali hapa nchini.

  • Kutokana na kuendelea kunyesha mvua nchini Iran, Rais Rouhani amewataka wakuu wa mikoa kuwa katika hali ya tahadhari

    Kutokana na kuendelea kunyesha mvua nchini Iran, Rais Rouhani amewataka wakuu wa mikoa kuwa katika hali ya tahadhari

    Mar 25, 2019 13:35

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa amri kwa wakuu wote wa mikoa humu nchini kuwa katika hali ya tahadhari kutokana na mvua kuendelea kunyesha katika maeneo tofauti ya Iran.

  • Njaa inazidi kuhatarisha maisha ya watu nchini Kenya, zaidi ya milioni moja wako hatarini

    Njaa inazidi kuhatarisha maisha ya watu nchini Kenya, zaidi ya milioni moja wako hatarini

    Mar 24, 2019 15:37

    Televisheni ya al Jazeera ya Qatar imeripoti leo kuwa, zaidi ya watu milioni moja wako katika hatari ya kuteketea kwa njaa katika kaunti na wilaya nyingi nchini Kenya kutokana na ukame wa muda mrefu.

  • Kiongozi Muadhamu asisitiza kusaidiwa haraka watu walioathiriwa na mafuriko kaskazini mwa Iran

    Kiongozi Muadhamu asisitiza kusaidiwa haraka watu walioathiriwa na mafuriko kaskazini mwa Iran

    Mar 23, 2019 16:28

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe kwa mnasaba wa tukio la mafuriko yaliyoikumba miji ya Golestan na Mazandaran kaskazini mwa Iran na kusisitiza juu ya kusaidiwa watu walioathiriwa na janga hilo la kimaumbile.

  • Mafuriko yaendelea kuua katika nchi za kusini mwa Afrika

    Mafuriko yaendelea kuua katika nchi za kusini mwa Afrika

    Mar 15, 2019 01:18

    Makumi ya watu wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Malawi.

  • Mafuriko yaua watu 45 Afghanistan na Pakistan

    Mafuriko yaua watu 45 Afghanistan na Pakistan

    Mar 06, 2019 02:46

    Kwa akali watu 45 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika nchi za Afghanistan na Pakistan.

  • Mafuriko Jordan yauwa watu wasiopungua 18, wengi wao ni watoto

    Mafuriko Jordan yauwa watu wasiopungua 18, wengi wao ni watoto

    Oct 26, 2018 07:56

    Watu wasiopungua 18 wengi wao wakiwa ni watoto wa shule na walimu wameaga dunia katika mafuriko ya ghafla wakati walipokuwa katika matembezi ya kishule karibu na Bahari ya Chumvi (Dead Sea) nchini Jordan. Mafuriko hayo yametajwa kuwa ni maafa makubwa zaidi kuwahi kuikumba Jordan katika miaka ya karibuni.

  • Watu 100 wauawa na mafuriko nchini Nigeria

    Watu 100 wauawa na mafuriko nchini Nigeria

    Sep 18, 2018 07:13

    Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa inayoendelea kunyesha nchini Nigeria yameua watu zaidi ya 100 katika majimbo 10 ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Watu 22 wapoteza maisha na maelfu wakosa makazi kutokana na mafuriko Niger

    Watu 22 wapoteza maisha na maelfu wakosa makazi kutokana na mafuriko Niger

    Aug 10, 2018 03:55

    Waziri mmoja wa Niger amesema kuwa, watu wasiopungua 22 wamefariki dunia na maelfu ya wengine wamepoteza makazi yao kutokana na mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Waliopoteza maisha katika mafuriko, maporomoko Japan ni zaidi ya watu 140

    Waliopoteza maisha katika mafuriko, maporomoko Japan ni zaidi ya watu 140

    Jul 10, 2018 07:43

    Watu zaidi ya 140 wamepoteza maisha, huku hatima ya makumi ya wengine ikiwa haijulikani kutokana na athari za mvua kubwa zilizonyesha magharibi na katikati mwa Japan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS