Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuriko

  • Mafuriko Jordan yauwa watu wasiopungua 18, wengi wao ni watoto

    Mafuriko Jordan yauwa watu wasiopungua 18, wengi wao ni watoto

    Oct 26, 2018 07:56

    Watu wasiopungua 18 wengi wao wakiwa ni watoto wa shule na walimu wameaga dunia katika mafuriko ya ghafla wakati walipokuwa katika matembezi ya kishule karibu na Bahari ya Chumvi (Dead Sea) nchini Jordan. Mafuriko hayo yametajwa kuwa ni maafa makubwa zaidi kuwahi kuikumba Jordan katika miaka ya karibuni.

  • Watu 100 wauawa na mafuriko nchini Nigeria

    Watu 100 wauawa na mafuriko nchini Nigeria

    Sep 18, 2018 07:13

    Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa inayoendelea kunyesha nchini Nigeria yameua watu zaidi ya 100 katika majimbo 10 ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Watu 22 wapoteza maisha na maelfu wakosa makazi kutokana na mafuriko Niger

    Watu 22 wapoteza maisha na maelfu wakosa makazi kutokana na mafuriko Niger

    Aug 10, 2018 03:55

    Waziri mmoja wa Niger amesema kuwa, watu wasiopungua 22 wamefariki dunia na maelfu ya wengine wamepoteza makazi yao kutokana na mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Waliopoteza maisha katika mafuriko, maporomoko Japan ni zaidi ya watu 140

    Waliopoteza maisha katika mafuriko, maporomoko Japan ni zaidi ya watu 140

    Jul 10, 2018 07:43

    Watu zaidi ya 140 wamepoteza maisha, huku hatima ya makumi ya wengine ikiwa haijulikani kutokana na athari za mvua kubwa zilizonyesha magharibi na katikati mwa Japan.

  • Amisom yawanusuru watu elfu 10 kutokana na mafuriko Somalia

    Amisom yawanusuru watu elfu 10 kutokana na mafuriko Somalia

    May 02, 2018 14:45

    Askari wa Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia Amisom wamehamisha na kuwapeleka nyanda za juu, raia elfu kumi wa Somalia, ambao nusra waghariki kutokana na mafuriko katika mji wa Beledweyne, ulioko yapata kilomita 335 kaskazini mwa mji mkuu Mogadishu.

  • Waliofariki dunia kwa kimbunga, mafuriko Vietnam wapindukia 70

    Waliofariki dunia kwa kimbunga, mafuriko Vietnam wapindukia 70

    Oct 16, 2017 08:07

    Watu wasiopungua 72 wamepoteza maisha kufikia sasa kutokana na mafuriko na vimbunga katika maeneo ya kaskazini na katikati ya Vietnam.

  • Mafuriko yaua watu 10 Kongo DR, 90 watoweka

    Mafuriko yaua watu 10 Kongo DR, 90 watoweka

    Sep 20, 2017 13:50

    Watu wasiopungua 10 wamepoteza maisha baada ya kusombwa na mafuriko mashariki mwa Jamhuri mwa Kidemokrasia ya Kongo.

  • Mafuriko yameua watu 50 nchini Niger na kuacha maelfu bila makazi

    Mafuriko yameua watu 50 nchini Niger na kuacha maelfu bila makazi

    Sep 15, 2017 04:12

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, kwa akali watu 50 wamefariki dunia nchini Niger kufuatia maafa ya mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Watu milioni 24 waathiriwa na mafuriko Asia ya Kusini

    Watu milioni 24 waathiriwa na mafuriko Asia ya Kusini

    Aug 22, 2017 15:29

    Watu zaidi ya milioni 24 wameathiriwa na mafuriko makubwa kuwahi kulikumba eneo la Asia ya Kusini katika miongo kadhaa iliyopita, huku maeneo mengi ya ardhi yakiwa yameghiriki majini. Hayo yameelezwa leo na Shirika la Msalaba Mwekundu.

  • Idadi ya waliokufa kutokana na maporomoko ya udongo Sierra Leone yafikia watu 500

    Idadi ya waliokufa kutokana na maporomoko ya udongo Sierra Leone yafikia watu 500

    Aug 21, 2017 03:28

    Maafisa wa serikali ya Sierra Leone wamesema kuwa idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na maporomoko ya udongo na mafuriko yaliyotokea Jumatatu iliyopita nchini humo imekaribia 500.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS