Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuriko

  • Rais wa Sierra Leone aomba msaada wa kimataifa, maafa ya maporomoko ya udongo

    Rais wa Sierra Leone aomba msaada wa kimataifa, maafa ya maporomoko ya udongo

    Aug 16, 2017 04:03

    Rais Ernest Bai Koroma wa Sierra Leone ameomba misaada ya kimataifa kwa ajili ya wahanga wa maafa ya maporomoko ya udongo yaliyoambatana na mafuriko katika mji wa mlimani wa Regent kandokando ya mji mkuu wa nchi hiyo, Freetown.

  • Watu 13 wafariki dunia katika maafa ya mafuriko kaskazini mwa Iran

    Watu 13 wafariki dunia katika maafa ya mafuriko kaskazini mwa Iran

    Aug 12, 2017 13:16

    Watu wasiopungua 13 wamefariki dunia hapa nchini Iran na makumi ya wengine kujeruhiwa huku mali za watu zikiharibiwa kufuatia maafa ya mafuriko yaliyoyakumba maeneo ya kaskazini mwa nchi.

  • Watu 120 wafariki dunia baada ya kusombwa na mafuriko India

    Watu 120 wafariki dunia baada ya kusombwa na mafuriko India

    Jul 28, 2017 14:02

    Zaidi ya watu 120 wanaripotiwa kufariki dunia nchini India kufuatia janga la mafuriko yaliyotokea magharibi mwa nchi hiyo.

  • Nyumba elfu moja zaharibiwa na mafuriko nchini Nigeria

    Nyumba elfu moja zaharibiwa na mafuriko nchini Nigeria

    Jun 05, 2017 04:25

    Mratibu wa huduma za dharura wa shirika la kimataifa la wahajiri amesema kuwa, nyumba zisizopungua elfu moja zimeharibiwa na mafuriko kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Waliokufa kutokana na mafuriko, maporoko Sri Lanka ni zaidi ya 150

    Waliokufa kutokana na mafuriko, maporoko Sri Lanka ni zaidi ya 150

    May 29, 2017 03:48

    Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na mvua za masika, mafuriko na mapomoko ya ardhi katika kisiwa cha Sri Lanka imepindukia watu 150.

  • 40 wapoteza maisha katika mafuriko Iran, Kiongozi Muadhamu atoa kauli

    40 wapoteza maisha katika mafuriko Iran, Kiongozi Muadhamu atoa kauli

    Apr 16, 2017 07:23

    Makumi ya watu wamepoteza maisha katika janga la mafuriko kwenye mikoa ya kaskazini magharibi mwa Iran.

  • Mafuriko, maporomoko ya udongo yaua 250 nchini Colombia

    Mafuriko, maporomoko ya udongo yaua 250 nchini Colombia

    Apr 02, 2017 08:04

    Kwa akali watu 254 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko na maporomoko ya udongo katika mkoa wa Putumayo kusini mwa Colombia.

  • 100 wapoteza maisha kutokana na mafuriko China

    100 wapoteza maisha kutokana na mafuriko China

    Jul 21, 2016 14:16

    Watu zaidi ya 100 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha kaskazini mwa China.

  • 112 wapoteza maisha katika mafuriko nchini China

    112 wapoteza maisha katika mafuriko nchini China

    Jul 05, 2016 13:28

    Kwa akali watu 112 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko na vimbunga vilivyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katikati na kusini mwa China.

  • 'Janga la Kimaumbile' latangazwa Paris kufuatia mafuriko

    'Janga la Kimaumbile' latangazwa Paris kufuatia mafuriko

    Jun 04, 2016 04:34

    Rais Francois Hollande wa Ufaransa ametangaza 'maafa ya kibinadamu' katika mji mkuu wa nchi hiyo kufuatia mvua kali ambazo zimesababisha mafuriko makubwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS