Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Magharibi

  • Ukosolewaji mkali wa undumakuwili wa Magharibi kuhusu kadhia ya Israel na Wapalestina

    Ukosolewaji mkali wa undumakuwili wa Magharibi kuhusu kadhia ya Israel na Wapalestina

    Nov 21, 2023 07:12

    Waziri Mkuu wa Ireland, Leo Varadkar amekosoa vikali undumilakuwili wa nchi za Magharibi na kusema kuwa Umoja wa Ulaya na madola ya Magharibi yanashughulikia masuala yanayohusiana na Israel na Palestina kwa undumilakuwili wa wazi.

  • Upinzani wa Wamagharibi kwa usitishaji vita Gaza

    Upinzani wa Wamagharibi kwa usitishaji vita Gaza

    Nov 14, 2023 09:23

    Licha ya kupita karibu siku 40 tangu ilipotokea operesheni ya kimbunga ya Al-Aqswa na radiamali ya utawala wa Kizayuni kwa operesheni hiyo kwa kushambulia kwa mabomu Ukanda wa Gaza na kuuawa maelfu ya Wapalestina na uharibifu mkubwa wa eneo hilo, lakini baadhi ya madola ya Magharibi yakifungamana na Waziri Mkuu wa utawala huu, Benjamin Netanyahu, bado yangali yanapinga usitishaji wa vita hivi vya umwagaji damu.

  • Amnesty International yalaani kimya cha Wamagharibi kwa jinai za Israel dhidi ya wakazi wa Gaza

    Amnesty International yalaani kimya cha Wamagharibi kwa jinai za Israel dhidi ya wakazi wa Gaza

    Nov 13, 2023 02:53

    Katibu Mkuu wa Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International amelaani kimya cha nchi za Magharibi kuhusiana na jinai na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza.

  • Kremlin: Russia haiwezi kushindwa katika medani ya vita

    Kremlin: Russia haiwezi kushindwa katika medani ya vita

    Nov 10, 2023 02:52

    Msemaji wa Ofisi ya Rais wa Russia (Kremlin) amesema ni muhali kwa jeshi la Russia kushindwa katika medani ya vita.

  • Ukweli Uliopinduliwa na Wamagharibi

    Ukweli Uliopinduliwa na Wamagharibi

    Oct 21, 2023 08:18

    Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nami katika kipindi chetu cha wiki hii cha Makala ya Wiki. Leo tunachunguza madai ya nchi za Magharibi eti ya kufanya hisani na kujali haki za binadamu, tukiangazia hali ya Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza katika kipindi cha sasa cha mashambulizi ya kikatili ya Israel yanayofadhiliwa na Marekani na washirika wake dhidi ya watu wa Ghaza.

  • Jitihada za Magharibi za kuzuia kuakisiwa habari za Wapalestina katika mitandao ya kijamii na vyombo vya habari

    Jitihada za Magharibi za kuzuia kuakisiwa habari za Wapalestina katika mitandao ya kijamii na vyombo vya habari

    Oct 15, 2023 02:23

    Baada ya kuanza oparesheni kwa jina la "Kimbunga cha Al Aqsa" iliyotekelezwa na Hamas na makundi mengine ya mapambano ya Palestina; serikali na vyombo vya habari vya Magharibi kwa upande mmoja vimeanzisha propaganda kubwa ili kuzuia kuakisiwa habari na matukio yanayojiri huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu huku vikichapisha na kutoa habari za uwongo ili kuonyesha taswira isiyo ya kibinadamu kuhusu wanamapambano wa Palestina.

  • Kukiri kwa Borrell kwamba nchi zinazoendelea zinatafuta mbadala wa Magharibi

    Kukiri kwa Borrell kwamba nchi zinazoendelea zinatafuta mbadala wa Magharibi

    Sep 26, 2023 07:30

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya, Josep Borrell, ameandika katika makala iliyochapishwa kwenye blogu yake akisema: "Sheria zinazotawala dunia zinachakaa na nchi zinazoendelea za kusini mwa dunia zinatafuta mbadala wa Magharibi."

  • Erdogan na Anwar Ibrahim walaani kuvunjiwa heshima Qur'ani katika nchi za Ulaya

    Erdogan na Anwar Ibrahim walaani kuvunjiwa heshima Qur'ani katika nchi za Ulaya

    Sep 21, 2023 03:49

    Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, na Waziri Mkuu wa Malaysia, Anwar Ibrahim, wamelaani vikali vitendo vya kuchomwa moto nakala za Qur'ani Tukufu katika nchi za Ulaya, na hotuba zinazochochea ouvu, chuki na mashambulizi dhidi ya Uislamu na Waislamu.

  • Kuendelea kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na siasa za kindumakuwili za Magharibi

    Kuendelea kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na siasa za kindumakuwili za Magharibi

    Sep 11, 2023 02:27

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani amezungumzia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nje ya ubalozi mdogo wa Uturuki mjini New York na kubainisha kwamba, kudharau vitabu vitakatifu ni jambo la kuchukiza.

  • Russia yawatahadharisha Wamagharibi kuhusu kutuma mabomu ya vishada huko Ukraine

    Russia yawatahadharisha Wamagharibi kuhusu kutuma mabomu ya vishada huko Ukraine

    Jul 17, 2023 04:23

    Rais wa Russia amezitahadharisha nchi za Magharibi kuhusu kutuma mabomu ya vishada huko Ukraine kwa kisingizio cha vita. Rais Vladimir Putin amebainisha haya kufuatia uamuzi wa karibuni wa Marekani kuhusu kutuma silaha hizo zizilizopigwa marufuku kimataifa huko Ukraine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS