Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Magharibi

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu dhulma za mfumo wa ubepari wa Magharibi kwa wanawake

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu dhulma za mfumo wa ubepari wa Magharibi kwa wanawake

    Jan 05, 2023 02:01

    Ubepari wa Magharibi na demokrasia ya kiliberali, ambayo baada ya kuanguka kwa Umoja wa Kisovieti mnamo 1991, kulingana na wanafikra wengine wa Magharibi kama vile Francis Fukuyama, iliushinda mfumo wa kikomunisti kama mfumo bora wa kisiasa na kiuchumi, na kutambuliwa kama mwisho wa historia, sasa unakabiliwa na matatizo makubwa na ya kimsingi.

  • Sisitizo la Putin la kuimarisha ushirikiano wa kijeshi kati ya Russia na China kwa ajili ya kukabiliana na mashinikizo ya kijiopolitiki

    Sisitizo la Putin la kuimarisha ushirikiano wa kijeshi kati ya Russia na China kwa ajili ya kukabiliana na mashinikizo ya kijiopolitiki

    Dec 31, 2022 07:50

    Rais Vladimir Putin wa Russia jana Ijumaa aliwasiliana kwa njia ya video na Rais Xi Jinping wa China na kuashiria mapambano ya Beijing na Moscow mkabala wa mashinikizo ya kijiopolitiki na kueleza kuwa ushirikiano wa nchi mbili unasaidia kuwepo mfumo wa kiadilifu duniani.

  • Marandi: Nchi za Magharibi zinatoa madai ya uongo kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran

    Marandi: Nchi za Magharibi zinatoa madai ya uongo kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran

    Dec 24, 2022 22:48

    Mshauri wa vyombo vya habari wa timu ya mazungumzo ya nyuklia ya Iran amesema kuwa nchi za Magharibi zinadanganya kuhusu miradi ya kuzalisha nishati ya nyuklia nchini Iran, na amesisitiza kuwa Iran haina mpango wa kuzalisha silaha za nyuklia.

  • Hali mbaya ya wanawake nchini Ufaransa; kielelezo cha unyanyasaji wa wanawake katika nchi za Magharibi

    Hali mbaya ya wanawake nchini Ufaransa; kielelezo cha unyanyasaji wa wanawake katika nchi za Magharibi

    Dec 18, 2022 06:13

    Licha ya kuwa nchi za Magharibi zikiongozwa na Marekani siku zote zimekuwa zikidai kutetea haki za binadamu zikiwemo haki za wanawake, lakini tunapotazama takwimu na ripoti za vyombo vya habari katika uwanja huu tunakutana na taswira ya kutisha ya hali mbaya ya wanawake katika jamii za nchi za Magharibi.

  • Raisi: Wairani hawawezi kuhadaiwa na nara bandia za 'uhuru'

    Raisi: Wairani hawawezi kuhadaiwa na nara bandia za 'uhuru'

    Dec 08, 2022 09:19

    Rais wa Iran amesema Wamagharibi kamwe hawawezi kuwahadaa wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu kwa kutumia nara bandia za 'uhuru'

  • Mashinikizo mapya ya Magharibi dhidi ya Iran baada ya kushindwa mradi wa kuibua ghasia

    Mashinikizo mapya ya Magharibi dhidi ya Iran baada ya kushindwa mradi wa kuibua ghasia

    Nov 12, 2022 22:52

    Nchi za Magharibi baada ya kushindwa mradi wao wa kuibua ghasia nchini Iran sasa zinatafuta njia nyingine mpya mbadala ili kuiwekea mashinikizo Tehran. Katika uwanja huo, nchi za Magharibi khususan za Ulaya mbali na kuratibu vikwazo vipya zimejielekeza katika kutoa taarifa na maazimio dhidi ya Iran sambamba na kushadidisha mashinikizo ya kisiasa dhidi ya nchi hii.

  • Ukosoaji mkali wa Putin kwa mauaji ya kigaidi ya shahidi Luteni Jenerali Soleimani

    Ukosoaji mkali wa Putin kwa mauaji ya kigaidi ya shahidi Luteni Jenerali Soleimani

    Oct 29, 2022 07:45

    Akizungumza juzi Alhamisi katika Kongamano la Valdai, Rais Vladmir Putin wa Russia amekosoa mfumo na siasa za Magharibi na kueleza kuwa nchi za Magharibi zilimuua Luteni Jenerali Soleimani; katika hali ambayo shakhsia huyo alikuwa kiongozi rasmi nchini mwake na kuongeza kwamba Wamagharibi si tu hawajakana jambo hilo bali wanajifakharisha nalo.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Kusimama imara; njia ya kukabiliana na maadui

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Kusimama imara; njia ya kukabiliana na maadui

    Oct 13, 2022 08:14

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametaja ghasia na machafuko yaliyoenea katika maeneo mbalimbali hapa nchini kuwa ni mpango usio wa kawaida na wa fedheha wa adui mkabala wa maendeleo na harakati za ubunifu na kubwa za taifa la Iran na kwamba, njia ya kukabiliana na maadui ni kusimama imara.

  • Nchi za Magharibi zashindwa kuitenga Russia

    Nchi za Magharibi zashindwa kuitenga Russia

    Oct 10, 2022 21:50

    Kufuatia kuzorota hali ya uchumi na usalama barani Ulaya, tofauti za mitazamo kuhusu sera za nje na usalama wa bara Ulaya zimeongezeka, hasa kuhusiana na suala la Russia. Huku viongozi wa Ulaya wakizungumzia siasa za kuitenga Russia, baadhi ya wanasiasa wa bara hilo wanaonya dhidi ya kukatwa kabisa uhusiano na nchi hiyo.

  • Mzozo mpya wa Russia na Magharibi kuhusu nishati

    Mzozo mpya wa Russia na Magharibi kuhusu nishati

    Sep 03, 2022 23:08

    Mawaziri wa fedha wa nchi saba zilizoendelea kiviwanda duniani, zinazojulikana kama G7, walikubaliana Ijumaa, Septemba 2, katika mkutano uliofanyika kwa njia ya video, kuweka mipaka ya bei kwa mauzo ya mafuta ya Russia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS