Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

magharibi mwa Asia

  • Iran na Uturuki zasisitiza kushirikiana katika kupambana na ugaidi na magendo ya madawa ya kulevya

    Iran na Uturuki zasisitiza kushirikiana katika kupambana na ugaidi na magendo ya madawa ya kulevya

    Oct 12, 2018 03:40

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki zimesisitiza juu ya azma yao ya kushirikiana katika vita dhidi ya ugaidi na magendo ya madawa ya kulevya.

  • Rahim Safavi: Iran imekwamisha njama na mipango ya Marekani Mashariki ya Kati

    Rahim Safavi: Iran imekwamisha njama na mipango ya Marekani Mashariki ya Kati

    May 06, 2018 16:47

    Msaidizi na Mshauri mwandamizi wa Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi yote ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamuu imekwamisha njama na mipango ya Marekani ya kutaka kuwasha moto na kujikita katika Mashariki ya Kati.

  • Nchi za Asia zambana kiongozi wa Mynamar kuhusu mauaji ya Warohingya

    Nchi za Asia zambana kiongozi wa Mynamar kuhusu mauaji ya Warohingya

    Mar 18, 2018 16:25

    Viongozi wa nchi za Asia na Australia wamemjia juu kiongozi wa Myanmar kutokana na kutochukua hatua za maana serikali yake kukomesha wimbi la mauaji ya Waislamu wa jamii ya Rohingya mkoani Rakhine.

  • Velayati: Iran ni nchi muhimu katika eneo la Asia Magharibi

    Velayati: Iran ni nchi muhimu katika eneo la Asia Magharibi

    Feb 13, 2018 02:58

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Kimataifa amesema kuwa Iran ni nchi muhimu katika eneo la Asia ya Magharibi na inayo haki ya kujibu na kuitikia miito ya nchi rafiki na mhimili wa muqawama.

  • Tishio la Wamarekani kuanzisha machafuko mapya Asia Magharibi

    Tishio la Wamarekani kuanzisha machafuko mapya Asia Magharibi

    Oct 20, 2017 12:32

    Maafisa wawili wa ngazi za juu kiusalama nchini Mrekani wamefichua mipango mipya ya serikali ya nchi hiyo ya kuzua vurugu na machafuko katika eneo la Asia Magharibi.

  • Iran: Marekani, Israel na Uingereza haziutakii kheri umma wa Kiislamu

    Iran: Marekani, Israel na Uingereza haziutakii kheri umma wa Kiislamu

    Apr 30, 2017 02:33

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuwepo kijeshi Marekani na nchi za Magharibi katika eneo la Mashariki ya Kati kuna madhara makubwa kwa mataifa ya eneo hili kwani licha ya kuja na kaulimbiu ya kuimarisha usalama na amani, lakini madola hayo ya kibeberu ndiyo sababu kuu ya kutoweka amani na usalama katika eneo hili.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS