Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mahakama

  • Mahakama Iran: Sharti US iwape fidia wagonjwa wa kipepeo kutokana na vikwazo

    Mahakama Iran: Sharti US iwape fidia wagonjwa wa kipepeo kutokana na vikwazo

    Jul 12, 2024 03:04

    Mahakama moja nchini Iran imeiagiza Marekani kulipa takriban dola bilioni 7 kama fidia kwa waathiriwa wa ugonjwa wa ngozi wa Epidermolysis Bullosa (EB) nchini Iran.

  • Wamarekani 3 kizimbani wakihusishwa na jaribio la mapinduzi DRC

    Wamarekani 3 kizimbani wakihusishwa na jaribio la mapinduzi DRC

    Jun 07, 2024 02:46

    Raia watatu wa Marekani na mmoja wa Uingereza ni miongoni mwa makumi ya watu wanaotazamiwa kufikishwa katika Mahakama ya Kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo leo Ijumaa, wakituhumiwa kuhusika na jaribio la mapinduzi katika nchi hiyo ya katikati mwa Afrika.

  • Zuma: Nitapigania haki yangu ya kuwania ubunge Afrika Kusini

    Zuma: Nitapigania haki yangu ya kuwania ubunge Afrika Kusini

    May 24, 2024 07:23

    Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ameapa kupigania kile alichokiita 'haki yake' ya kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika wiki ijayo.

  • Mahakama ya Nigeria yatoa hukumu dhidi ya Polisi kwa kushambulia matembezi ya Ashura

    Mahakama ya Nigeria yatoa hukumu dhidi ya Polisi kwa kushambulia matembezi ya Ashura

    May 01, 2024 10:53

    Mahakama Kuu ya Shirikisho ya Nigeria katika Jimbo la Kaduna imetoa hukumu dhidi ya Polisi ya nchi hiyo kwa kushambulia waumini katika matembezi ya amani ya Siku ya Ashura yaliyofanyika katika mji wa Zaria.

  • Mahakama ya Juu Comoro 'yabariki' ushindi wa Rais Azali Assoumani

    Mahakama ya Juu Comoro 'yabariki' ushindi wa Rais Azali Assoumani

    Jan 25, 2024 11:13

    Mahakama ya Juu ya Comoro imesema Rais Azali Assoumani alichaguliwa kihalali katika uchaguzi wa rais uliofanyika wiki iliyopita.

  • Hatua za undumakuwili za nchi za Ulaya kuhusu ugaidi

    Hatua za undumakuwili za nchi za Ulaya kuhusu ugaidi

    Jan 14, 2024 02:43

    Mahakama ya Rufaa ya Denmark inayojulikana kwa jina la "The Eastern High Court" Ijumaa tarehe 12 Januari ilipasisha hukumu ya kifungo jela kwa watu watatu ambao ni wanachama wa kundi linalotaka kujitenga la "Al Ahwaziya" ambao walituhumiwa kueneza ugaidi nchini na kukusanya taarifa za kijasusi kwa ajii ya Shirika la ujasusi la Saudi Arabia.

  • Mahakama Senegal 'yaridhia' kiongozi wa upinzani agombee urais

    Mahakama Senegal 'yaridhia' kiongozi wa upinzani agombee urais

    Dec 15, 2023 10:32

    Mahakama Kuu mjini Dakar imeamuru kusajiliwa upya kwa Ousmane Sonko, kiongozi wa upinzani nchini Senegal katika daftari la wapigakura, na hivyo kumruhusu kuwa mgombea urais.

  • Mahakama ya Iran kuwashtaki magaidi 100 wa MKO

    Mahakama ya Iran kuwashtaki magaidi 100 wa MKO

    Jul 29, 2023 10:15

    Mahakama kuu ya jinai ya Iran inatazamiwa kuwapandisha kizimbani wanachama zaidi ya 100 wa kundi la kigaidi la Munafikin (MKO) ambalo limefanya mauaji ya makumi ya maelfu ya wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Ghana yapinga juhudi za kuzima sheria ya kukabiliana na ushoga

    Ghana yapinga juhudi za kuzima sheria ya kukabiliana na ushoga

    Jul 20, 2023 07:13

    Mahakama ya Kilele ya Ghana imetupilia mbali pingamizi la kisheria lililotaka kuzuiwa Bunge la nchi hiyo kupasisha muswada wa sheria kali ya kukabiliana na vitendo vichafu vya ubaradhuli nchini humo.

  • Rais wa Chad awasamehe waasi 380 'waliomuua' babake

    Rais wa Chad awasamehe waasi 380 'waliomuua' babake

    Mar 27, 2023 02:11

    Rais wa mpito wa Chad, Mahamat Idriss Deby ametangaza msahama kwa mamia ya waasi waliohukumiwa kifungo cha maisha jela hivi karibuni, kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya rais wa zamani wa Mali Idriss Deby Itno, ambaye ni baba ya rais huyo wa muda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS