-
IRGC: Tutazindua karibuni kombora la 'supersonic cruise'
Feb 10, 2025 23:16Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu karibuni hivi itazindua kombora la kisasa la cruise lenye uwezo wa kusafiri kwa mwendo kasi wa supersonic, lililotengenezwa na wataalamu wa humu nchini.
-
Ujue Mfumo wa Kisasa wa Iran wa Bavar 373 uliotumika kuzima hujuma ya Israel
Nov 03, 2024 06:11Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika Makala hii ambayo huangazia baadhi ya matukio muhimu ya sayansi nchini Iran na maeneo mengine duniani. Leo Makala yetu maalumu itaangazia mfumo wa kujihami angani wa Iran ujulikanao kama Bavar 373 ambao uwezo wake mkubwa umewashangaza wengi duniani.
-
Kamanda: Iran inaona fakhari kumiliki makombora yanayopiga kilomita 2000
Sep 26, 2024 00:28Kamanda wa Jeshi la Anga la Iran alisema amesema jeshi la Jamhuri ya Kiislamu linajivunia makombora yenye uwezo wa kupiga shabaha kwa usahihi mkubwa, umbali wa zaidi ya kilomita 2000.
-
Iran yazindua kombora la balestiki la masafa marefu
Feb 12, 2024 23:41Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza habari ya kufanyia majaribio kwa mafanikio kombora la masafa marefu lililovurumishwa kutoka kwenye moja ya manowari za kivita za jeshi hilo la Iran.
-
Iran yazindua kombora la hypersonic la 'Fattah 2'
Nov 19, 2023 09:51Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezindua kombora jipya la hypersonic lililopewa jina la 'Fattah 2'.
-
Muda wa vikwazo kwa makombora ya balestiki ya Iran umemalizika
Oct 18, 2023 22:56Vikwazo kwa mradi wa makombora ya balestiki ya Iran vilivyokuwa vimewekwa na Umoja wa Ulaya vilifikia kikomo Jumatano ya jana Oktoba 18, chini ya Azimio Nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambalo liliidhinisha mkataba wa nyuklia wa JCPOA wa mwaka 2015.
-
Iran kuunda makombora mapya ya hypersonic kuikabili Israel
Sep 10, 2023 07:08Kamanda wa ngazi ya juu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amefichua mpango wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kuunda makombora mapya ya hypersonic ambayo anasisitiza kuwa yataufanya utawala wa Kizayuni ulipe gharama kubwa.
-
Manowari za IRGC zasimikwa makombora yanayopiga kilomita 2,000
Jun 13, 2023 00:15Kamanda wa Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) amesema jeshi hilo la SEPAH kwa mara ya kwanza limeanza kuzisheheneza manowari za Iran kwa makombora yaliyoundwa na wataalamu wa hapa nchini, yenye uwezo wa kupiga shabaha umbali wa kilomita 2,000.
-
Iran yazindua kombora lake la kwanza la Hypersonic la 'Fattah'
Jun 06, 2023 03:15Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezindua kombora lake la kwanza la balistiki la Hypersonic lililopewa jina la 'Fattah'.
-
Mousavi: Droni za maadui zipo ndani ya shabaha ya mfumo wa Bavar 373
Nov 14, 2022 03:16Kamanda wa Majeshi ya Iran amesema ndege zisizo na rubani za maadui zipo ndani ya shabaha ya mfumo wa makombora ya kujihami ya masafa marefu wa Bavar 373.