-
Iran yazindua kombora la balestiki la masafa marefu
Feb 12, 2024 23:41Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza habari ya kufanyia majaribio kwa mafanikio kombora la masafa marefu lililovurumishwa kutoka kwenye moja ya manowari za kivita za jeshi hilo la Iran.
-
Iran yazindua kombora la hypersonic la 'Fattah 2'
Nov 19, 2023 09:51Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezindua kombora jipya la hypersonic lililopewa jina la 'Fattah 2'.
-
Muda wa vikwazo kwa makombora ya balestiki ya Iran umemalizika
Oct 18, 2023 22:56Vikwazo kwa mradi wa makombora ya balestiki ya Iran vilivyokuwa vimewekwa na Umoja wa Ulaya vilifikia kikomo Jumatano ya jana Oktoba 18, chini ya Azimio Nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambalo liliidhinisha mkataba wa nyuklia wa JCPOA wa mwaka 2015.
-
Iran kuunda makombora mapya ya hypersonic kuikabili Israel
Sep 10, 2023 07:08Kamanda wa ngazi ya juu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amefichua mpango wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kuunda makombora mapya ya hypersonic ambayo anasisitiza kuwa yataufanya utawala wa Kizayuni ulipe gharama kubwa.
-
Manowari za IRGC zasimikwa makombora yanayopiga kilomita 2,000
Jun 13, 2023 00:15Kamanda wa Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) amesema jeshi hilo la SEPAH kwa mara ya kwanza limeanza kuzisheheneza manowari za Iran kwa makombora yaliyoundwa na wataalamu wa hapa nchini, yenye uwezo wa kupiga shabaha umbali wa kilomita 2,000.
-
Iran yazindua kombora lake la kwanza la Hypersonic la 'Fattah'
Jun 06, 2023 03:15Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezindua kombora lake la kwanza la balistiki la Hypersonic lililopewa jina la 'Fattah'.
-
Mousavi: Droni za maadui zipo ndani ya shabaha ya mfumo wa Bavar 373
Nov 14, 2022 03:16Kamanda wa Majeshi ya Iran amesema ndege zisizo na rubani za maadui zipo ndani ya shabaha ya mfumo wa makombora ya kujihami ya masafa marefu wa Bavar 373.
-
Iran yaunda kombora la balestiki la Hypersonic
Nov 10, 2022 07:57Kamanda wa Kikosi cha Anga za Mbali cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC ametangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefanikiwa kuzalisha kombora la balestiki la Hypersonic, lenye uwezo wa kupenya mifumo yote ya ngao ya ulinzi wa makombora duniani.
-
Jenerali Hajizadeh: Iran itazindua 'kombora la kistratejia' karibuni
Feb 08, 2022 01:02Kamanda wa Kikosi cha Anga na Anga za Mbali cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema karibuni hivi kikosi hicho cha SEPAH kitazindua kombora jipya la kistratejia katika uga wa mifumo ya ulinzi wa anga.
-
Jeshi la Iran kuzindua mfumo mpya wa makombora wa 'Joshan'
Jun 27, 2021 02:55Naibu Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mfumo mpya wa makombora wa Joshan utaanza kufanya kazi kabla ya kumalizika mwaka huu wa Kiirani.