-
Iran yazindua mfumo mpya wa kuvurumisha makombora ya balestiki
Nov 04, 2020 08:39Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC limezindua mfumo erevu na wa kiotomatiki wa kuvurumisha makombora kadhaa ya balestiki ya masafa marefu kwa wakati mmoja.
-
Makombora ya Cruise ya Iran kuanza kupiga zaidi ya kilomita 1,000
Sep 06, 2020 03:19Waziri wa Ulinzi wa Iran amezindua mpango wa kuimarisha mfumo wa makombora ya cruise ya taifa hili yawe na uwezo wa kupiga zaidi ya kilomita 1,000.
-
Iran: Makombora yetu yana uwezo na muundo wa kipekee
Sep 02, 2020 03:32Kamanda wa Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema makombora yaliyozalishwa hapa nchini yana muundo wa aina yake na uwezo wa kipekee, jambo ambalo limeimarisha uwezo wa kujihami taifa hili.
-
Iran kuzalisha makombora ya masafa marefu karibuni
Jul 12, 2020 03:22Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kikosi hicho kitazalisha makombora ya masafa marefu hivi karibuni.
-
Iran yaboresha uwezo na kasi ya makombora yake ya baharini
Apr 21, 2020 03:41Kamanda wa Kikosi cha Baharini cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC amesema kikosi hicho kimeunda makombora yenye uwezo mkubwa zaidi, yanayoweza kupiga umbali wa kilomita 700.
-
Pentagon: Uwezo wa makombora wa Iran ndio mkubwa zaidi M/Kati
Nov 20, 2019 03:36Utafiti uliofanywa na Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) unaonyesha kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiyo nchi yenye uwezo mkubwa zaidi katika uga wa makombora ya balistiki katika eneo la Asia Magharibi.
-
Iran: Hatutojadiliana na yeyote kuhusu uwezo wetu wa makombora
Jul 17, 2019 02:56Msemaji wa Ofisi ya Uwakilishi ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitafanya mazungumzo na yeyote kuhusu makombora yake ya kujihami.
-
Russia: Iran ina haki ya kuimarisha teknolojia yake ya makombora
Feb 12, 2019 23:38Serikali ya Russia imesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran in haki ya kuimarisha teknolojia yake ya makombora.
-
Iran Itaendelea na shughuli zake za makombora ya kujihami
Feb 09, 2019 00:17Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu matamshi yasiyo na msingi ya watawala wa Marekani kuhusu mpango wa Iran wa kurusha satalaiti katika anga za mbali na makombora na kusema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katu haitafanya mazungumzo kuhusu makombora yake ya kujihami.
-
Baqeri: Vitisho havitaishurutisha Iran ifanye mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora
Feb 07, 2019 19:08Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vitisho vya adui haviwezi kuifanya Iran isalimu amri na kusitisha jitihada zake za kustawisha uwezo wake wa makombora.