Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

malalamiko

  • Burundi yalaani kitendo cha serikali ya Canada kuwazuia Warundi kushiriki kura ya maoni

    Burundi yalaani kitendo cha serikali ya Canada kuwazuia Warundi kushiriki kura ya maoni

    May 18, 2018 04:08

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Burundi imekosoa vikali hatua ya viongozi wa Canada ya kuwazuia Warundi wanaoishi katika nchi hiyo kushiriki katika kura ya maoni ya jana na kusema kuwa, kitendo hicho ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.

  • Barua ya malalamiko ya Syria kwa Umoja wa Mataifa

    Barua ya malalamiko ya Syria kwa Umoja wa Mataifa

    Mar 23, 2018 02:21

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imeandika barua mbili kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na kwa Rais wa Baraza la Usalama la umoja huo kulalamikia uungaji mkono unaoendelea kufanywa na baadhi ya nchi zenye mfungamano na kambi ya Magharibi kwa makundi ya kigaidi nchini humo.

  • Wahajiri Waafrika huko Israel wafanya maandamano wakitaka kuachiliwa huru wenzao

    Wahajiri Waafrika huko Israel wafanya maandamano wakitaka kuachiliwa huru wenzao

    Feb 23, 2018 15:12

    Kufuatia hatua ya utawala haramu wa Kizayuni ya kuwatimua kwa nguvu wahajiri wa Kiafrika katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina la Israel, mamia ya wahajiri hao wamekuwa wakifanya maandamano mtawalia mjini Tel Aviv kulalamikia hatua ya utawala huo ya kuwaweka jela wahajiri wenzao.

  • Onyo la Syria kuhusiana na uungaji mkono mkubwa unaofanywa na Israel kwa ugaidi

    Onyo la Syria kuhusiana na uungaji mkono mkubwa unaofanywa na Israel kwa ugaidi

    Feb 09, 2018 02:31

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Rais wa Baraza la Usalama la umoja huo kulalamikia mashambulio mapya yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya eneo moja lililoko kwenye viunga vya Damascus, mji mkuu wa Syria.

  • Polisi ya Uturuki yawatawanya waandamanaji wanaopinga uvamizi  wa nchi hiyo huko Syria

    Polisi ya Uturuki yawatawanya waandamanaji wanaopinga uvamizi wa nchi hiyo huko Syria

    Jan 22, 2018 07:44

    Polisi ya Uturuki imetumia mabomu ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji waliomiminika barabarani kupinga uvamizi wa jeshi la nchi hiyo katika mji wa Afrin, kaskazini mwa Syria.

  • Wasudan waandamana kulalamikia kupanda kwa bei ya mkate

    Wasudan waandamana kulalamikia kupanda kwa bei ya mkate

    Jan 09, 2018 15:50

    Maandandamano ya raia wa Sudan ya kupinga ongezeko la bei ya mkate na machafuko baina ya raia na askari usalama yameendelea leo kwa siku ya tatu mfululizo.

  • Rais Rouhani: Maadui wamekasirishwa na maendeleo ya Iran

    Rais Rouhani: Maadui wamekasirishwa na maendeleo ya Iran

    Jan 01, 2018 16:13

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa mafanikio ya taifa la Iran katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kisiasa na kikanda yamewatia hasira na kuwaghadhibisha maadui.

  • Rais Rouhani: Marekani haina haki ya kujifanya ina uchungu na taifa la Iran

    Rais Rouhani: Marekani haina haki ya kujifanya ina uchungu na taifa la Iran

    Jan 01, 2018 04:34

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, rais wa Marekani ambaye miezi kadhaa iliyopita aliwatuhumu watu wa taifa la Iran kuwa ni magaidi, hana haki ya kujifanya ni mwenye uchungu na nchi hii.

  • Mikusanyiko ya watu wa Iran yatumiwa vibaya na Marekani, vyombo vya habari ajinabi

    Mikusanyiko ya watu wa Iran yatumiwa vibaya na Marekani, vyombo vya habari ajinabi

    Dec 31, 2017 07:55

    Katika hali ambayo wananchi wa Iran wamekuwa wakijumuika katika maeneo kadhaa kulalamikia ughali wa baadhi ya bidhaa, utawala wa Marekani na baadhi ya vyombo vya habari ajinabi na vilivyo dhidi ya Mapinduzi, vimetumia vibaya mikusanyiko hiyo na kujaribu kuichochea ielekee katika mkondo wa fujo na ghasia.

  • Wananchi wa Mauritania waandamana kumlaani Donald Trump

    Wananchi wa Mauritania waandamana kumlaani Donald Trump

    Dec 11, 2017 14:32

    Wananchi wa Mauritania wameungana na Waislamu na wapenda haki katika kona zote za dunia kuendeleza maandamano ya kumlaani rais wa Marekani, Donald Trump kwa hatua yake ya kuitambua Quds kuwa mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS