Dec 31, 2017 07:55
Katika hali ambayo wananchi wa Iran wamekuwa wakijumuika katika maeneo kadhaa kulalamikia ughali wa baadhi ya bidhaa, utawala wa Marekani na baadhi ya vyombo vya habari ajinabi na vilivyo dhidi ya Mapinduzi, vimetumia vibaya mikusanyiko hiyo na kujaribu kuichochea ielekee katika mkondo wa fujo na ghasia.