-
Watu 19 waaga dunia kutokana na athari za kimbunga 'Ana' Malawi
Jan 27, 2022 04:19Idara ya Kitaifa ya Kupambana na Majanga ya Malawi imesema watu 19 wamefariki dunia kutokana na kimbunga kikali cha kitropiki kilichopewa jina la Ana katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo.
-
Marais wa Malawi na Mauritania wamtumia Raeisi salamu za pongezi
Jun 30, 2021 22:56Marais wa nchi za Afrika za Malawi na Mauritania wamemtumia ujumbe Rais mteule wa Iran, Hujjatul Islam Walmuslimin Ebrahim Raeisi wakimpongeza kwa kuchaguliwa kuwa Rais mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Rwanda na Malawi zafunga shule tena baada ya maambukizo ya corona kuongezeka
Jan 18, 2021 08:22Serikali za Rwanda na Malawi kuanzia leo Jumatatu zimefunga shule zikiwemo za chekechea kutokana na ongezeko la kesi za maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 katika nchi hizo.
-
Malawi kuwa nchi ya kwanza ya Afrika kufungua ubalozi Quds inayokaliwa kwa mabavu
Nov 05, 2020 00:27Malawi inatazamiwa kuwa nchi ya kwanza ya Afrika kufuata mkumbo wa Marekani wa kufungua ubalozi katika mji mtukufu wa Quds huko Palestina unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
-
Kiongozi wa upinzani Malawi aapishwa kuwa rais baada ya kushinda uchaguzi wa marudio
Jun 28, 2020 11:36Kiongozi wa upinzani nchini Malawi Lazarus Chakwera leo ameapishwa kuwa rais mpya wa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, baada ya kushinda uchaguzi uliokuwa na ushindani mkali, ambao uliitishwa tena baada ya matokeo ya uchaguzi wa awali kubatilishwa.
-
Kinara wa upinzani nchini Malawi ashinda uchaguzi wa rais, chama tawala chalia rafu
Jun 27, 2020 23:05Kinara wa chama cha upinzani cha Malawi Congress Party (MCP), Lazarus Chakwera ameshinda uchaguzi wa urais wa marudio uliofanyika Jumanne iliyopita, kwa kupata asilimia 58.57 ya kura.
-
Mgombea wa upinzani aongoza katika matokeo ya muda ya uchaguzi wa urais Malawi
Jun 25, 2020 03:13Vyombo vya habari vya Malawi vimetangaza kuwa, kinara wa chama cha upinzani cha Malawi Congress Party (MCP), Lazarus Chakwera yupo kifua mbele katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa urais uliofanyika Jumanne iliyopita.
-
Wamalawi kushiriki uchaguzi wa rais wa marudio kesho Jumanne
Jun 21, 2020 23:24Wananchi wa Malawi wanatazamiwa kuelekea katika masanduku ya kupigia kura kesho Jumanne kwa ajili ya kushiriki uchaguzi wa urais wa marudio.
-
Balozi wa Marekani 'apigwa bomu' katika maandamano nchini Malawi
Jun 07, 2019 08:59Balozi wa Marekani nchini Malawi alikuwa baina ya wafuasi wa chama cha upinzani cha MCP ambao polisi ya Malawi imetumia mabomu ya gesi ya kutoa machozi kuwatawanya kwa kushiriki kinyume cha sheria maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu wa rais uliofanyika Mei 21.
-
Rais wa Malawi asema upinzani unataka kumpindua kwa mabavu
Jun 07, 2019 03:42Rais Peter Mutharika wa Malawi ameutuhumu upinzani nchini humo kuwa unalenga kuipindua serikali yake kwa nguvu.