Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Malawi

  • Wamalawi kushiriki uchaguzi wa rais wa marudio kesho Jumanne

    Wamalawi kushiriki uchaguzi wa rais wa marudio kesho Jumanne

    Jun 22, 2020 03:54

    Wananchi wa Malawi wanatazamiwa kuelekea katika masanduku ya kupigia kura kesho Jumanne kwa ajili ya kushiriki uchaguzi wa urais wa marudio.

  • Balozi wa Marekani 'apigwa bomu' katika maandamano nchini Malawi

    Balozi wa Marekani 'apigwa bomu' katika maandamano nchini Malawi

    Jun 07, 2019 13:29

    Balozi wa Marekani nchini Malawi alikuwa baina ya wafuasi wa chama cha upinzani cha MCP ambao polisi ya Malawi imetumia mabomu ya gesi ya kutoa machozi kuwatawanya kwa kushiriki kinyume cha sheria maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu wa rais uliofanyika Mei 21.

  • Rais wa Malawi asema upinzani unataka kumpindua kwa mabavu

    Rais wa Malawi asema upinzani unataka kumpindua kwa mabavu

    Jun 07, 2019 08:12

    Rais Peter Mutharika wa Malawi ameutuhumu upinzani nchini humo kuwa unalenga kuipindua serikali yake kwa nguvu.

  • Upinzani Malawi kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais mahakamani

    Upinzani Malawi kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais mahakamani

    Jun 01, 2019 03:53

    Kinara wa chama kikuu cha upinzani cha Malawi Congress (MCP) amesema atawasilisha faili mahakamani kupinga 'wizi wa kura' katika uchaguzi wa rais uliofanyika nchini humo hivi karibuni.

  • Wananchi wa Malawi kusubiri zaidi kujua matokeo ya uchaguzi wa rais

    Wananchi wa Malawi kusubiri zaidi kujua matokeo ya uchaguzi wa rais

    May 27, 2019 07:16

    Mahakama nchini Malawi imeiamuru Tume ya Uchaguzi nchini humo kutotangaza matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika hivi karibuni, kufuatia malalamiko ya wizi wa kura yaliyotolewa na upinzani.

  • Wamalawi watakiwa watulie, matokeo ya uchaguzi kutangazwa wiki ijayo

    Wamalawi watakiwa watulie, matokeo ya uchaguzi kutangazwa wiki ijayo

    May 23, 2019 04:12

    Tume ya uchaguzi ya Malawi imetoa mwito wa kuwepo utulivu na uvumilivu miongoni mwa wananchi, wakati zoezi la kuhesabu kura likiendelea baada ya uchaguzi wa Jumanne.

  • Mchuano mkali katika uchaguzi mkuu nchini Malawi

    Mchuano mkali katika uchaguzi mkuu nchini Malawi

    May 21, 2019 13:32

    Wananchi wa Malawi leo wamejitokeza kwa wingi kupiga kura katika uchaguzi mkuu ambapo rais Peter Mutharika anakabiliwa na ushindani mkali.

  • Rais wa Malawi anakabiliwa na uchaguzi mgumu; kuchuana na aliyekuwa makamu wake

    Rais wa Malawi anakabiliwa na uchaguzi mgumu; kuchuana na aliyekuwa makamu wake

    May 17, 2019 12:57

    Rais Peter Mutharika wa Malawi anakabiliwa na mtihani mgumu katika uchaguzi wa wiki ijayo ambao utawakutanisha pamoja wagombea kadhaa akiwemo aliyekuwa makamu wake ambaye kwa wakati mmoja alikuwa muitifaki wake ; na sasa amegeuka na kuwa mpinzani.

  • UNICEF: Watoto milioni 1.5 wanahitaji msaada kusini mwa Afrika kufuatia Kimbunga Idai

    UNICEF: Watoto milioni 1.5 wanahitaji msaada kusini mwa Afrika kufuatia Kimbunga Idai

    Apr 15, 2019 07:48

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF, limetoa ombi la dola milioni 1.6 kusaidia watoto takribani milioni 1.5 ambao wameathiriwa vibaya na Kimbunga Idai katika nchi za kusini mwa Afrika ambazo ni Msumbiji, Malawi na Zimbabwe.

  • Waliofariki dunia katika Kimbunga Idai wafika 746, maelfu wapoteza makazi

    Waliofariki dunia katika Kimbunga Idai wafika 746, maelfu wapoteza makazi

    Mar 30, 2019 16:00

    Mamia ya maelfu ya watu wanahitaji misaada ya dharura ya chakula, maji na makazi baada ya Kimbunga Idai kusababisha uharibifu mkubwa Msumbiji, Zimbabwe na Malawi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS