Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Malawi

  • Mafuriko yaendelea kuua katika nchi za kusini mwa Afrika

    Mafuriko yaendelea kuua katika nchi za kusini mwa Afrika

    Mar 15, 2019 01:18

    Makumi ya watu wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Malawi.

  • Walioaga dunia kwa mafuriko Malawi wafika 28 huku maelfu wakiwa katika hali mbaya

    Walioaga dunia kwa mafuriko Malawi wafika 28 huku maelfu wakiwa katika hali mbaya

    Mar 11, 2019 02:38

    Idadi ya watu walioaga dunia baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha mafuriko kusini mwa Malawi imefikia 28 huku idadi ya raia walioathiriwa na maafa hayo ya kimaumbile ikiripotiwa kuongezeka maradufu.

  • Ijumaa, tarehe 6 Julai, 2018

    Ijumaa, tarehe 6 Julai, 2018

    Jul 06, 2018 04:25

    Leo ni Ijumaa tarehe 22 Shawwal 1439 Hijria sawa na tarehe 6 Julai 2018.

  • Wapinzani Malawi wamtaka Rais Mutharika ajiuzulu kutokana na madai ya ufisadi

    Wapinzani Malawi wamtaka Rais Mutharika ajiuzulu kutokana na madai ya ufisadi

    Jul 02, 2018 13:51

    Chama kikuu cha upinzani nchini Malawi leo kimemtaka Rais Peter Mutharika wa nchi hiyo ajiuzulu kufuatia madai kuwa alipokea fedha haramu katika mkataba wa serikali wa dola milioni nne.

  • Maalibino kuwania katika Uchaguzi Malawi mwaka 2019

    Maalibino kuwania katika Uchaguzi Malawi mwaka 2019

    Jun 29, 2018 03:44

    Maalbino sita wameazimia kuwania viti katika uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika mwaka ujao nchini Malawi. Wagombea wote sita ni wanachama wa Chama cha wenye ulemavu wa ngozi, Albino, (APAM).

  • Kipindupindu chaua watu tisa Malawi

    Kipindupindu chaua watu tisa Malawi

    Feb 20, 2018 15:19

    Mripuko wa kipindupindu Malawi umeua watu tisa huku watu wengine 541 wakiambukizwa ugonjwa huo kitaifa.

  • Rais wa Malawi awataka wananchi kuombea mvua

    Rais wa Malawi awataka wananchi kuombea mvua

    Jan 20, 2018 04:39

    Rais Peter Mutharika wa Malawi amewataka viongozi wa serikali kuliongoza taifa hilo katika maombi maalumu ya kuomba mvua, katika hali ambayo nchi hiyo inakabiliwa na ukame na uhaba wa chakula.

  • Malawi yatangaza maafa katika wilaya 20 za nchi hiyo

    Malawi yatangaza maafa katika wilaya 20 za nchi hiyo

    Dec 18, 2017 14:29

    Malawi ambayo tayari inayosumbuliwa na mafuriko kutokana na mvua nyingi, imetangaza maafa katika wilaya 20 baada ya uharibifu mkubwa wa mazao ya kilimo uliosababishwa na hujuma ya wadudu wanaoharibu mazao na kutishia usalama wa chakula.

  • Mahakama Malawi yaamuru kukamatwa rais wa zamani wa nchi hiyo kwa kuhusika na ufisadi

    Mahakama Malawi yaamuru kukamatwa rais wa zamani wa nchi hiyo kwa kuhusika na ufisadi

    Aug 01, 2017 07:51

    Mahakama ya Malawi imetoa kibali cha kukamatwa rais wa zamani wa nchi hiyo, Joyce Banda kwa tuhuma za kuhusika na ufisadi na utumiaji mbaya wa mamlaka yake wakati alipokuwa kiongozi wa nchi hiyo.

  • Mutharika: Mazungumzo mapya kuhusu mzozo wa mpaka wa Tanzania/Malawi kuanza

    Mutharika: Mazungumzo mapya kuhusu mzozo wa mpaka wa Tanzania/Malawi kuanza

    Feb 07, 2017 15:05

    Rais Peter Mutharika wa Malawi amesema duru mpya ya mazungumzo ya kujaribu kuupatia ufumbuzi mzozo wa mpaka wa nchi hiyo na jirani yake, Tanzania itaanza karibuni hivi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS