Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Malawi

  • Qur'ani tukufu yatarjumiwa kwa lugha ya Kiyao, Malawi

    Qur'ani tukufu yatarjumiwa kwa lugha ya Kiyao, Malawi

    Jan 02, 2017 06:46

    Qur'ani Tukufu iliyotarjumiwa kwa lugha ya Kiyao ilizinduliwa Jumamosi iliyopita nchini Malawi.

  • Tanzania kuchunguza madai ya kuifanyia ujasusi Malawi

    Tanzania kuchunguza madai ya kuifanyia ujasusi Malawi

    Dec 27, 2016 04:43

    Serikali ya Tanzania imesema, itafanya uchunguzi kuhusu habari zilizoripotiwa jana na vyombo vya habari vya Malawi vinavyodai kuwa majasusi wanane wa Tanzania wametiwa mbaroni wakifanya ujasusi katika mgodi mmoja wa urani katika nchi hiyo jirani.

  • Hukumu ya miaka 2 jela kwa aliyenajisi mabinti 100 Malawi yakosolewa

    Hukumu ya miaka 2 jela kwa aliyenajisi mabinti 100 Malawi yakosolewa

    Nov 23, 2016 08:08

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu na asasi za kupambana na maambukizi ya virusi vya HIV nchini Malawi zimekosoa vikali hukumu ya kufungwa miaka miwili jela, iliyotolewa na mahakama moja nchini humo, dhidi ya mwathirika wa virusi vya HIV aliyewanajisi mabinti wadogo zaidi 100 kwa madai ya kuwasafisha na kuwafanyia tambiko la kimila na kiutamaduni.

  • Mutharika: Sishangazwi na walioeneza uvumi eti nimekufa

    Mutharika: Sishangazwi na walioeneza uvumi eti nimekufa

    Oct 16, 2016 13:43

    Rais Peter Mutharika wa Malawi amevunja kimya chake kuhusu uvumi ulioenea kwa siku kadhaa nchini humo kuwa ameaga dunia na kusema kuwa walioneza habari hizo za urongo ni wapuuzi.

  • Aliyenajisi mabinti 100 Malawi kufungwa jela maisha?

    Aliyenajisi mabinti 100 Malawi kufungwa jela maisha?

    Aug 06, 2016 03:54

    Mahakama moja nchini Malawi imemnyima dhamana mwathirika wa virusi vya HIV aliyewanajisi mabinti wadogo zaidi 100 kwa madai ya kuwasafisha na kuwafanyia tambiko la kimila na kiutamaduni.

  • Serikali ya Malawi yataka kuchukuliwa hatua za haraka kukabiliana na ukame na njaa

    Serikali ya Malawi yataka kuchukuliwa hatua za haraka kukabiliana na ukame na njaa

    Aug 01, 2016 13:33

    Serikali ya Malawi imesisitiza kuwa, kuna haja ya kuchukuliwa hatua za haraka kwa ajili ya kukabiliana na ukame na njaa nchinio humo.

  • Polisi ya Malawi yamkamata 'Fisi' aliyenajisi watoto, Rais Mutharika aamuru achunguzwe

    Polisi ya Malawi yamkamata 'Fisi' aliyenajisi watoto, Rais Mutharika aamuru achunguzwe

    Jul 26, 2016 16:55

    Polisi ya Malawi imemtia nguvuni 'fisi' aliyekuwa akiwanajisi watoto wadogo kwa madai ya kuwasafisha au kuwafanyia tambiko la kimila na kiutamaduni.

  • Watu milioni 8 wanahitajia msaada wa chakula Malawi

    Watu milioni 8 wanahitajia msaada wa chakula Malawi

    May 26, 2016 04:26

    Serikali ya Malawi imesema kuwa, zaidi ya watu milioni 8 wanahitajia msaada wa chakula nchni humo.

  • Watu wenye ulemavu wa ngozi Malawi katika hatari ya kuangamizwa kikamilifu

    Watu wenye ulemavu wa ngozi Malawi katika hatari ya kuangamizwa kikamilifu

    May 01, 2016 14:26

    Watu wenye ulemavu wa ngozi au albino nchini Malawi wanakabiliwa na hatari ya kuangamizwa kikamilifu kutokana na kuongezeka vitendo vya hujuma dhidi yao nchini humo.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS