-
Makubaliano ya China ya Russia ya kukabiliana na mielekeo ya Marekani ya kutaka kuziburuza nchi zingine duniani
Feb 24, 2023 23:11Huku Marekani ikiendelea kung'ang'ania sera yake ya kujifanyia mambo kivyake na kutaka kuziburuza nchi zingine duniani, kwa mara nyingine tena muungano wa madola ya Asia na Ulaya unaendelea kuimarika na kupata nguvu zaidi.
-
Hungary yailaumu Marekani kwa 'kuididimiza' Ulaya
Feb 23, 2023 23:36Waziri Mkuu wa Hungary, Viktor Orbán ameilaumu Marekani kwa kusababisha kudidimia na kupoteza ushawishi nchi za Ulaya.
-
Makubaliano ya China ya Russia ya kukabiliana na mielekeo ya Marekani ya kutaka kuziburuza nchi zingine duniani
Feb 23, 2023 23:33Huku Marekani ikiendelea kung'ang'ania sera yake ya kujifanyia mambo kivyake na kutaka kuziburuza nchi zingine duniani, kwa mara nyingine tena muungano wa madola ya Asia na Ulaya unaendelea kuimarika na kupata nguvu zaidi.
-
Mkuu wa Kikosi cha Quds cha IRGC: Iran imezuia njama za Marekani za kudhibiti Asia Magharibi
Feb 22, 2023 23:03Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema kuwa, Iran imefanikiwa kukwamisha majaribio ya Marekani ya kutaka kujikita katika eneo la Magharibi mwa Asia na kuyaweka mataifa ya eneo hilo chini ya udhibiti wake.
-
Taarifa rasmi ya Baraza la Usalama ya kulaani vitongoji vya walowezi
Feb 21, 2023 23:02Jumatatu ya tarehe 20 Februari Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipasisha rasimu ya azimio linalolaani uamuzi wa serikali ya Israel yenye misimamo ya kufurutu ada ya Benjamin Netanyahu wa kuidhinisha ujenzi wa vitongoji vipya tisa katika ardhi za Wapalestina za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Jeshi la Marekani mchafuzi mkubwa zaidi wa hewa Mashariki ya Kati
Feb 21, 2023 07:24Ripoti iliyotolewa na tovuti ya habari ya Middle East Eye inaonyesha kuwa jeshi la Marekani ni moja ya wasababishaji wakubwa zaidi wa uchafuzi unaoleta mabadiliko ya hali ya hewa katika Mashariki ya Kati.
-
Hizbullah: Vikwazo vya Marekani havina tofauti na vita vya kijeshi
Feb 19, 2023 22:53Mkuu wa Baraza Kuu la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema, vikwazo vya Marekani dhidi ya Lebanon na nchi zingine havina tofauti na vita vya kijeshi.
-
Jibu kali la Iran kwa taarifa ya pamoja ya US na Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi
Feb 18, 2023 22:55Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametupilia mbali maelezo yaliyomo kwenye taarifa ya kikao cha tatu cha jopo kazi la pamoja la Marekani na Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (GCC) kuhusu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, na kueleza kwamba kutolewa taarifa kama hiyo kunaendana na mkakati wa muda mrefu wa utawala wa Marekani wa kuzusha mfarakano kati ya nchi za eneo hili.
-
Utafiti: Idadi ya vijana wanaojiua nchini Marekani yaongezeka
Feb 18, 2023 04:08Imeelezwa kuwa, idadi ya vijana wanaojiua nchinii Marekani imeongezeka mno katika katika kipindi cha janga la virusi vya Corona.
-
Kiwewe cha Marekani kwa kuweko uhusiano wa karibu wa Russia, China na Iran
Feb 17, 2023 23:07Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imetangaza kuwa, matamshi ya viongozi wa China kuhusiana na kuwa na urafiki usio na mipaka na Russia yamepelekea kuibuka wasiwasi nchini Marekani.