Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Marekani yaiwekea vikwazo vipya Iran, vyajumuisha Mwendesha Mashtaka Mkuu

    Marekani yaiwekea vikwazo vipya Iran, vyajumuisha Mwendesha Mashtaka Mkuu

    Dec 22, 2022 04:09

    Wizara ya Fedha ya Marekani imeiwekea Iran vikwazo vipya kwa kisingizio cha ukiukaji wa haki za binadamu, katika kuendeleza uingiliaji wake wa masuala ya ndani ya Iran na kutekeleza sera ya mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Tehran.

  • Matukio ya Ukraine na sisitizo la Macron la kupewa dhamana ya usalama Russia

    Matukio ya Ukraine na sisitizo la Macron la kupewa dhamana ya usalama Russia

    Dec 22, 2022 03:47

    Vita vya Ukraine vinaendelea kama vilivyo licha ya kuingia mwishoni mwa mwezi wake wa 10 tangu vianze, na hakuna ishara zozote za kumalizika karibuni vita hivyo. Kinachoonekana kwenye matukio ya hivi sasa ni kuzidi kuwa vikali tu vita hivyo.

  • Russia: Jinai za kivita za Marekani na Nato Afghanistan zimepuuzwa

    Russia: Jinai za kivita za Marekani na Nato Afghanistan zimepuuzwa

    Dec 21, 2022 03:54

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema katika kikao cha Baraza la Usalama la umoja huo kuwa jinai za kivita za Marekani na Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato) huko Afghanistan zimepuuzwa.

  • Jenerali Qaani: Wamarekani si watu wa uwanja wa vita

    Jenerali Qaani: Wamarekani si watu wa uwanja wa vita

    Dec 21, 2022 00:51

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema kuwa mapambano au muqawama ni miongoni mwa kanuni zinazosisitizwa katika dini ya Kiislamu na kusema: "Wamarekani si watu wa medani ya vita na wameshindwa katika medani kuu."

  • Iran: Marekani ikhitari diplomasia badala ya mashinikizo na vitisho

    Iran: Marekani ikhitari diplomasia badala ya mashinikizo na vitisho

    Dec 20, 2022 04:18

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema iwapo Marekani inataka kweli kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, haina chaguo jingine isipokuwa kukhitari njia ya diplomasia badala ya mashinikizo, vitisho na makabiliano.

  • Russia yatungua makombora ya Marekani ya HARM

    Russia yatungua makombora ya Marekani ya HARM

    Dec 20, 2022 03:53

    Russia imesema vikosi vyake vya ulinzi wa anga vimefanikiwa kutungua makombora manne yaliyotengenezwa na Marekani ya HARM, katika anga ya eneo la Belgorod.

  • Wabunge wa Marekani wataka Trump ashitakiwe kwa uchochezi

    Wabunge wa Marekani wataka Trump ashitakiwe kwa uchochezi

    Dec 19, 2022 23:56

    Wabunge wa Marekani wanaochunguza shambulio dhidi ya jengo la Congress lililosababisha mauaji na uharibifu mkubwa wamependekeza rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump afunguliwe mashitaka ya uchochezi.

  • Iran: Madai ya Marekani kuhusu kushiriki kwetu vita vya Ukraine hayana msingi wowote

    Iran: Madai ya Marekani kuhusu kushiriki kwetu vita vya Ukraine hayana msingi wowote

    Dec 18, 2022 23:32

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, madai ya Shirika la Kijasusi la Marekani kuhusu ushirikiano wa Iran na Russia na tuhuma zake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu kuhusiana na vita vya Ukraine hayana msingi wowote, bali ni muendelezo tu wa vita vya kipropaganda vya Marekani dhidi ya Iran.

  • Mmoja wa wakurugenzi wa Twitter ahukumiwa kifungo kwa kuifanyia ujasusi Saudi Arabia

    Mmoja wa wakurugenzi wa Twitter ahukumiwa kifungo kwa kuifanyia ujasusi Saudi Arabia

    Dec 15, 2022 07:12

    Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Marekani imepelekea kuhukumiwa mmoja wa wakurugenzi wa zamani wa mtandao wa kijamii wa Twitter kifungo cha miaka mitatu na nusu jela kwa tuhuma za kufanya ujasusi kwa manufaa ya Saudi Arabia.

  • Onyo la Russia kwa NATO kuhusu kuipa Ukraine mfumo wa makombora wa Patriot

    Onyo la Russia kwa NATO kuhusu kuipa Ukraine mfumo wa makombora wa Patriot

    Dec 15, 2022 05:45

    Serikali ya Russia imetangaza kuwa, uamuzi wa Jeshi la Nchi za Magharibi NATO wa kuipa Ukraine mfumo wa kujilinda kwa makombora wa Patriot umechukuliwa kwa lengo la kuishambulia Russia na hiyo ina maana ya kuihalalishia Moscow kuzishambulia nchi wanachama wa NATO.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS