Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Mshauri wa Rais wa Iran: Magaidi wa ISIS wametokana na fikra za Kimarekani

    Mshauri wa Rais wa Iran: Magaidi wa ISIS wametokana na fikra za Kimarekani

    Jul 03, 2022 23:34

    Mshauri wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kaumu na waliowachache kidini amesema kundi la kigaidi la ISIS au Daesh limetokana na fikra za Kimarekani.

  • Ujumbe wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kuhusu jinai za Marekani

    Ujumbe wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kuhusu jinai za Marekani

    Jul 03, 2022 04:44

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa ujumbe wa Twitter kwa mnasaba wa kukumbuka jinai ya meli ya kivita ya Marekani iliyotungua ndege ya abiria ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Ghuba ya Uajemi.

  • Mbunge Marekani alaani nchi hiyo kujiingiza katika vita Ukraine kuvuna faida

    Mbunge Marekani alaani nchi hiyo kujiingiza katika vita Ukraine kuvuna faida

    Jul 03, 2022 03:23

    Mjumbe mwanamke wa chama cha Republican katika Kongresi ya Marekani amekosoa vikali hatua ya Washington ya kuipa Ukraine msaada mkubwa wa kijeshi na kuisaidia nchi hiyo katika kile alichokiita vita vya niaba dhidi ya Russia.

  • Lancet: Yumkini virusi vya Covid-19 vilitokea katika maabara Marekani

    Lancet: Yumkini virusi vya Covid-19 vilitokea katika maabara Marekani

    Jul 01, 2022 22:30

    Jarida mashuhuri la masuala ya tiba na afya la The Lancet limesema virusi hatari vya Corona ambavyo vimeshaua mamilioni ya watu kote duniani vilizalishwa kwenye maabara, na wala havikuanza tu peke yake.

  • Idadi ya Wamarekani wanaotaka kubeba silaha dhidi ya serikali yafichuliwa

    Idadi ya Wamarekani wanaotaka kubeba silaha dhidi ya serikali yafichuliwa

    Jul 01, 2022 21:50

    Utafiti mpya wa maoni unaonesha kuwa, akthari ya wananchi wa Marekani wanajiona kama wageni ndani ya nchi yao, na kwamba baadhi yao wanasema wako tayari kufanya ghasia na kutumia silaha dhidi ya serikali hiyo.

  • Sputnik: Marekani inawasajili magaidi wa Daesh ili kuwatuma Ukraine

    Sputnik: Marekani inawasajili magaidi wa Daesh ili kuwatuma Ukraine

    Jun 30, 2022 20:33

    Shirika la habari la Sputnik limeripoti kuwa, Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) linawasajili magaidi wa Daesh (ISIS) ili wapelekwe Ukraine kwa kisingizio cha vita nchini humo.

  • China yaitaka Marekani kurekebisha makosa yake mkabala wa Iran

    China yaitaka Marekani kurekebisha makosa yake mkabala wa Iran

    Jun 30, 2022 09:05

    China imeitaka Marekani irekebishe makosa yake katika mienendo yake dhidi ya Iran.

  • Kundi la 'Proud Boys' la US lawekwa katika orodha ya magaidi New Zealand

    Kundi la 'Proud Boys' la US lawekwa katika orodha ya magaidi New Zealand

    Jun 30, 2022 03:15

    New Zealand imeliweka katika orodha yake ya makundi ya kigaidi kundi la mrengo wa kulia lenye misimamo ya kuchupa mipaka la "Proud Boys" la Marekani.

  • Tume ya Haki za Binadamu ya Kiislamu ya Uingereza: Mfumo wa Marekani ni kinyume na haki za binadamu

    Tume ya Haki za Binadamu ya Kiislamu ya Uingereza: Mfumo wa Marekani ni kinyume na haki za binadamu

    Jun 29, 2022 21:49

    Mkuu wa Tume ya Haki za Binadamu ya Kiislamu nchini Uingereza (IHRC) amesema kuwa mfumo wa utawala wa Marekani unapinga na kupiga vita haki za binadamu na kusisitiza kuwa, mfumo huo unawadhulumu hata raia wa Marekani kwenyewe.

  • Gharib Abadi: Iran ni mhanga mkubwa wa ugaidi duniani

    Gharib Abadi: Iran ni mhanga mkubwa wa ugaidi duniani

    Jun 29, 2022 03:29

    Katibu wa Tume ya Haki za Binadamu ya Idara ya Mahakama ya Iran amesema, zaidi ya watu elfu 25 nchini Iran wamepoteza maisha kutokana na vitendo vya kigaidi; ambapo uungaji mkono wa Marekani kwa jinai zote hizo unashuhudiwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS