Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Amnesty International: Jinai ya Saudia kwenye jela ya Saada imefanyika kwa silaha za Marekani

    Amnesty International: Jinai ya Saudia kwenye jela ya Saada imefanyika kwa silaha za Marekani

    Jan 27, 2022 23:33

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesisitiza kuwa, mauaji ya jela ya Saada nchini Yemen yalitekelezwa kwa silaha za Marekani kufuatia mashambulizi ya muungano vamizi wa Saudi Arabia.

  • Vyombo vya habari vya Russia: Marekani na Uingereza zinaiuzia Ukraine silaha zilizochakaa

    Vyombo vya habari vya Russia: Marekani na Uingereza zinaiuzia Ukraine silaha zilizochakaa

    Jan 27, 2022 22:09

    Vyombo vya habari vya Russia vimeripoti kuwa, Marekani na Uingereza zinaiuzia Ukraine silaha na zana za kijeshi zilizochakaa na za zamani sana.

  • Askari aliyepindua serikali ya Burkina Faso alipata mafunzo Marekani

    Askari aliyepindua serikali ya Burkina Faso alipata mafunzo Marekani

    Jan 27, 2022 06:52

    Afisa wa kijeshi aliyeoongoza mapinduzi yaliyopelekea kupinduliwa rais aliyechaguliwa kidemokrasia Burkina Faso alipata mafunzo yake Marekani.

  • Marekani yaendelea kuiuzia Misri silaha licha ya faili lake jeusi la haki za binadamu

    Marekani yaendelea kuiuzia Misri silaha licha ya faili lake jeusi la haki za binadamu

    Jan 26, 2022 23:07

    Marekani imeidhinisha mauzo ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 2.5 kwa Misri licha ya serikali ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika kuendelea kuandamwa na shutuma za ukiukaji wa haki za binadamu.

  • Mazungumzo ya Vienna; ufunguo wa makubaliano yoyote ni kuondolewa vikwazo vya kidhalimu dhidi ya taifa la Iran

    Mazungumzo ya Vienna; ufunguo wa makubaliano yoyote ni kuondolewa vikwazo vya kidhalimu dhidi ya taifa la Iran

    Jan 26, 2022 23:05

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Ebrahim Raisi ameeleza kuwa, ufunguo wa mapatano yoyote ya kuhuisha mapatano ya nyuklia ya JCPOA ni kuondolewa vikwazo vya kidhalimu dhidi ya wananchi wa Iran.

  • Iran: Hatujaamua kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani

    Iran: Hatujaamua kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani

    Jan 25, 2022 04:35

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haijafikia uamuzi wa kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani.

  • Biden amtusi mwanahabari aliyemuuliza swali kuhusu mfumko wa bei

    Biden amtusi mwanahabari aliyemuuliza swali kuhusu mfumko wa bei

    Jan 25, 2022 04:16

    Rais Joe Biden wa Marekani ameendelea kushambuliwa hususan katika mitandao ya kijamii kwa kitendo chake cha kumtukana vibaya mwandishi mmoja wa habari ambaye alimuuliza suali kuhusu mfumko wa bei za bidhaa unaoshuhudia nchini humo.

  • Gharibabadi:  Siasa za kupambana na ugaidi za Marekani hazijawa na natija yoyote ghairi ya kuuwa raia

    Gharibabadi: Siasa za kupambana na ugaidi za Marekani hazijawa na natija yoyote ghairi ya kuuwa raia

    Jan 24, 2022 04:45

    Kazem Gharibabadi Katibu wa Baraza Kuu la Haki za Binadamu ambaye pia ni Mkuu wa masuala ya kimataifa wa Idara ya Mahakama ya Iran ameandika katika ukurasa wake wa twitter kwamba siasa za kupambana na ugaidi za Marekani hazijawa na natija yoyote ghairi ya kuuliwa raia na kubomolewa makazi yao.

  • 80% ya Wamarekani: Ugaidi wa ndani ni tishio kubwa kwa Marekani

    80% ya Wamarekani: Ugaidi wa ndani ni tishio kubwa kwa Marekani

    Jan 23, 2022 23:11

    Akthari ya wananchi wa Marekani wanaamini kuwa, ugaidi wa ndani ya nchi ni tishio kubwa kwa taifa hilo.

  • Askari wa Marekani walijificha Abu Dhabi baada ya shambulio la jeshi la Yemen dhidi ya Imarati

    Askari wa Marekani walijificha Abu Dhabi baada ya shambulio la jeshi la Yemen dhidi ya Imarati

    Jan 23, 2022 04:27

    Msemaji wa kamandi kuu ya jeshi la kigaidi la Marekani CENTCOM amekiri kuwa, askari wa jeshi hilo walikimbilia mafichoni kwa kuhofia uwezekano wa jeshi la Yemen kuishambulia tena Imarati, kufuatia shambulio la makombora na ndege zisizo na rubani za jeshi hilo katika mji wa Abu Dhabi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS