Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Marekani yatuhumiwa kuua watu wa Afghanistan kimya kimya

    Marekani yatuhumiwa kuua watu wa Afghanistan kimya kimya

    Dec 23, 2021 23:19

    Marekani na waitifaki wake ambao waliivamia na kuikali kwa mabavu nchi ya Afghanistan kwa kipindi cha miaka 20 wameua kwa umati raia wengi wa nchi hiyo hususan watoto wadogo kwa kutumia kisingizio cha kupambana na ugaidi; na sasa Washington na washirika wake wanaendeleza mauaji ya halaiki na ya kimya kimya dhidi ya raia wa Afghanistan.

  • Onyo la Rais wa Russia la kutoa jibu kijeshi kwa hatua za Marekani barani Ulaya

    Onyo la Rais wa Russia la kutoa jibu kijeshi kwa hatua za Marekani barani Ulaya

    Dec 22, 2021 23:20

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, nchi yake ina haki kamili ya kujihami dhidi ya hatua zisizo za kirafiki za Marekani na akabainisha kwamba Moscow itachukua hatua mwafaka za kijeshi na kiufundi juu ya suala hilo.

  • Marekani yapinga azimio la Umoja wa Mataifa la kupinga ubaguzi wa rangi

    Marekani yapinga azimio la Umoja wa Mataifa la kupinga ubaguzi wa rangi

    Dec 19, 2021 01:55

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa siku ya Alhamisi iliyopita lilipitisha azimio la kulaani aina zote za ubaguzi wa rangi.

  • Kufichuliwa ujasusi wa kundi la Kizayuni dhidi ya taasisi za Kiislamu nchini Marekani

    Kufichuliwa ujasusi wa kundi la Kizayuni dhidi ya taasisi za Kiislamu nchini Marekani

    Dec 17, 2021 23:33

    Baraza la Uhusiano wa Marekani na Uislamu CAIR limefichua kuwa, genge moja la maadui wa Uislamu nchini Marekani linashirikiana na mashirika ya kijasusi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na limeunda kanali maalumu ya siri ya kujipenyeza na kufanya ujasusi katika safu za Waislalmu.

  • Hizbullah: Marekani inaongoza vita dhidi ya muqawama Lebanon na Asia Magharibi

    Hizbullah: Marekani inaongoza vita dhidi ya muqawama Lebanon na Asia Magharibi

    Dec 15, 2021 10:27

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani inaongoza na kusimamia vita dhidi ya muqawama nchini Lebanon na eneo la Asia Magharibi kwa ujumla.

  • Sisitizo la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu ulazima wa kuondolewa vikwazo dhidi ya Iran

    Sisitizo la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu ulazima wa kuondolewa vikwazo dhidi ya Iran

    Dec 15, 2021 07:47

    Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika ripoti yake ya 12 kuhusu mchakato wa utekelezwaji azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama ametangaza kuunga mkono mazungumzo ya Vienna baina ya Iran na kundi la 4+1 na akasisitiza udharura wa kuondolewa vikwazo vya upande mmoja vya nyuklia vya Marekani dhidi ya Iran.

  • Imarati yaitishia Marekani, yasema itajitoa katika makubaliano ya kununua ndege za F-35

    Imarati yaitishia Marekani, yasema itajitoa katika makubaliano ya kununua ndege za F-35

    Dec 15, 2021 04:17

    Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) imeamua kusimamisha mazungumzo yake na Marekani kuhusu makubaliano ya kununua ndege za kivita aina ya F-35 zenye thamani ya dola bilioni 23.

  • China: Kizoro cha dai la demokrasia kimefunuka, sura halisi ya Marekani imefichuka

    China: Kizoro cha dai la demokrasia kimefunuka, sura halisi ya Marekani imefichuka

    Dec 14, 2021 06:27

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesema, Marekani haiwezi tena sasa kuwababaisha na kuwapotosha watu.

  • Kufichuliwa sura mpya vya uhalifu wa Marekani nchini Syria

    Kufichuliwa sura mpya vya uhalifu wa Marekani nchini Syria

    Dec 13, 2021 09:03

    Gazeti la New York Times limewanukuu maafisa wa zamani wa jeshi wa Marekani, kwamba kitengo cha operesheni za siri cha jeshi la nchi hiyo kilikuwa kikiwaua mara kwa mara raia katika operesheni zilizotajwa kuwa ni dhidi ya Daesh nchini Syria.

  • Miji 12 mikubwa ya Marekani yavunja rekodi za matukio ya mauaji yanayojiri kila mwaka

    Miji 12 mikubwa ya Marekani yavunja rekodi za matukio ya mauaji yanayojiri kila mwaka

    Dec 11, 2021 08:32

    Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, miji 12 mikubwa ya Marekani imevunja rekodi za matukio ya mauaji yanayojiri kila mwaka nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS