Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • NAM yaonya kuhusu chokochoko za Washington; Je, Marekani iko mbioni kushambulia Venezuela?

    NAM yaonya kuhusu chokochoko za Washington; Je, Marekani iko mbioni kushambulia Venezuela?

    Oct 19, 2025 02:40

    Wakati ripoti zikionyesha kuwa Pentagon inatayarisha machaguo ya kijeshi dhidi ya Venezuela, Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM), ambayo inaundwa na zaidi ya nchi 120, imeonya kwamba shambulio lolote dhidi ya nchi hiyo ya Amerika Kusini litakuwa ukiukaji wa wazi wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa.

  • Taa ya kijani ya Trump kwa Israel; Je vita vya Gaza vitaanza tena?

    Taa ya kijani ya Trump kwa Israel; Je vita vya Gaza vitaanza tena?

    Oct 18, 2025 02:29

    Rais Donald Trump wa Marekani ameionyesha Israel taa ya kijani ili ianzishe tena vita katika Ukanda wa Gaza.

  • Putin amuonya Trump kuhusu kuipa Ukraine makombora ya Tomahawk

    Putin amuonya Trump kuhusu kuipa Ukraine makombora ya Tomahawk

    Oct 17, 2025 07:05

    Rais wa Russia, Vladimir Putin amemuonya Rais wa Marekani, Donald Trump katika mazungumzo yao ya simu kwamba, kuipa Ukraine makombora ya masafa marefu ya Tomahawk kutaharibu zaidi uhusiano kati ya Moscow na Washington.

  • Venezuela yatangaza 'maeneo mapya ya ulinzi' mpaka wa Colombia

    Venezuela yatangaza 'maeneo mapya ya ulinzi' mpaka wa Colombia

    Oct 16, 2025 09:41

    Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro amesisitiza kujitolea kwa taifa lake kwa amani, uhuru na utu, akizindua mpango mpya wa kuimarisha ulinzi wa ardhi ya nchi hiyo, huku Marekani ikiidhinisha operesheni za CIA katika eneo hilo.

  • Jinai za Marekani nchini Syria

    Jinai za Marekani nchini Syria

    Oct 15, 2025 08:44

    Marekani imekuwa nchini Syria tangu mwaka 2014 kwa kisingizio cha kupambana na ISIS na imefanya jinai nyingi nchini humo.

  • Balozi: US inaihangaisha dunia kwa kisingizio cha kuleta 'uhuru'

    Balozi: US inaihangaisha dunia kwa kisingizio cha kuleta 'uhuru'

    Oct 15, 2025 02:32

    Balozi wa Venezuela nchini Iran, José Rafael Silva Aponte amesema Marekani inaihangaisha dunia nzima, ikiwa ni pamoja na Amerika ya Kusini, kwa kutumia kisingizio cha kuleta uhuru katika maeneo tofauti ya dunia, lakini Venezuela daima itasalia kuwa nchi huru na yenye mamlaka ya kujitawala.

  • Kwa nini mwenendo wa kukabiliana na sarafu ya dola umeshika kasi duniani?

    Kwa nini mwenendo wa kukabiliana na sarafu ya dola umeshika kasi duniani?

    Oct 14, 2025 02:36

    Hisa ya sarafu ya Yuan ya China katika malipo ya biashara na upokeaji imefikia takriban 53%, na kuipita hisa ya dola ya 47%. Mabadiliko haya ya kihistoria yanakuja katika hali ambayo mwaka 2010 hisa ya Yuan katika biashara ya nje ya China takribani ilikuwa sifuri.

  • Mali yajibu mapigo, yawawekea Wamarekani vikwazo

    Mali yajibu mapigo, yawawekea Wamarekani vikwazo

    Oct 13, 2025 11:29

    Serikali ya Mali imeweka masharti ya bondi ya viza kwa raia wa Marekani, ili kulipiza kisasi cha uamuzi wa Washington wa kuwawekea vikwazo vya usafiri raia wa nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Kwa nini Trump amekosa Tuzo ya Amani ya Nobel?

    Kwa nini Trump amekosa Tuzo ya Amani ya Nobel?

    Oct 11, 2025 11:07

    Baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kukosa Tuzo ya Amani ya Nobel, msemaji wa Ikulu ya White House ameikosoa Kamati inayoandaa Tuzo ya Nobel kwa kutomtunuku rais huyo tuzo hiyo, akiitaja hatua hiyo kuwa ni upendeleo wenye kufadhilisha siasa badala ya amani.

  • Araghchi: Wamarekani wataabani kuingia vitani kupigana kwa ajili ya

    Araghchi: Wamarekani wataabani kuingia vitani kupigana kwa ajili ya "vita visivyo na mwisho" vya Israel

    Oct 08, 2025 03:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa mjibizo kwa kauli ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani kuhusu mpango wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu na kueleza kwamba: Wamarekani wataabani kuingia vitani kupigana kwa ajili ya "vita visivyo na mwisho" vya Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS