-
Iran yaitahadharisha Marekani kuhusu ndege za kivita aina ya B-52
Jan 18, 2021 01:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif ameashiria uwepo wa ndege za kivita za Marekani aina ya B-52 katika eneo la Asia Magharibi na kuonya kuwa, Iran haitasita kutungua chombo chochote kinachokiuka anga yake.
-
Mabadiliko katika stratijia ya kijeshi ya Marekani Asia Magharibi
Jan 18, 2021 01:19Marekani imetoa huduma kubwa kwa utawala haramu wa Israel katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani.
-
Mkuu wa Al-Hashdu-Sha'abi: Askari wa Marekani lazima waondoke Iraq
Jan 18, 2021 01:17Mkuu wa Al-Hashdu-Sha'abi ya Iraq amesisitiza ulazima wa kutekelezwa mpango uliopitishwa na bunge wa kutaka askari wa jeshi la Marekani waondoke nchini humo.
-
Mgogoro wa uongozi Marekani, mtu mmoja akamatwa na silaha na risasi 500 haramu Washington DC
Jan 17, 2021 09:50Polisi ya Upelelezi ya Marekani FBI imemtia mbaroni mtu mmoja akiwa na silaha na risasi 500 haramu katika mji mkuu wa nchi hiyo, Washington.
-
Wayemen waandamana kuilaani Marekani kwa kuiweka Ansarullah katika orodha nyeusi
Jan 17, 2021 04:25Wananchi wa Yemen wamefanya maandamano katika mkoa wa Sa'ada, kaskazini magharibi mwa nchi kulaani hatua ya Marekani ya kuliweka jina la Ansarullah katika orodha yake ya makundi ya kigaidi na kuitaka ifutilea mbali uamuzi wake huo.
-
Trump ampa Mfalme wa Morocco tuzo kwa kuanzisha uhusiano na Israel
Jan 17, 2021 04:22Rais Donald Trump wa Marekani amemtunuku tuzo ya kifahari Mfalme Mohammed wa Sita wa Morocco, kutokana na hatua yake ya kukubali kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Utawala wa Trump waendelea kutekeleza siasa zilizofeli dhidi ya Iran
Jan 17, 2021 02:48Ikiwa zimebaki siku chache tu kabla ya kumalizika rasmi utawala wa Rais Donald Trump nchini Marekani, utawala huo umeamua kuongeza mashinikizo ya juu zaidi na vikwazo dhidi ya mfumo wa Kiislamu wa Iran.
-
Uhasama usio na mwisho wa Marekani dhidi ya Hashdu Shaabi
Jan 16, 2021 22:49Marekani imemuwekea vikwazo Abu Fadak al Muhammadawi Naibu Mkuu wa Harakati ya al Hashdu al Sha'abi katika kuendeleza hatua zake dhidi ya kundi hilo la kujitolea la wananchi wa Iraq.
-
FBI: Watu zaidi 200 wanashukiwa kutaka kutumia silaha moto kuvuruga sherehe ya kuapishwa Biden
Jan 16, 2021 09:44Mkuu wa polisi ya upelelezi ya Marekani FBI amesema, kuna ushahidi wenye kutia wasiwasi juu ya uwezekano wa kufanyika maandamano ya upinzani ya utumiaji wa silaha moto sambamba na hafla ya kuapishwa rais mpya wa nchi hiyo.
-
Trump; maafa na msiba kwa haki za binadamu
Jan 16, 2021 00:11Katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wake wenye utata mwingi nchini Marekani, Rais Donald Trump ameacha nyuma historia nyeusi kuhusu suala zima la haki za binadamu, huku akilaumiwa na kukosolewa vikali katika siku za mwisho za utawala wake.