Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Biden kuajiri wahudumu wa afya laki moja kufuatilia watu wenye maambukizi ya corona

    Biden kuajiri wahudumu wa afya laki moja kufuatilia watu wenye maambukizi ya corona

    Nov 28, 2020 01:07

    Vyombo vya habari vya Marekani vimeripoti kuwa, Joe Biden ana mpango katika serikali yake ijayo nchini humo kuajiri wahudumu wa afya wapya laki moja kwa lengo la kuwafuatilia wale wote wenye maambukizi ya virusi vya corona.

  • Kukosolewa madola ya Magharibi kwa kufanya njama za kuzusha machafuko  Russia na Belarus

    Kukosolewa madola ya Magharibi kwa kufanya njama za kuzusha machafuko Russia na Belarus

    Nov 27, 2020 23:55

    Sergey Lavrov, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia ameyatuhumu madola ya Magharibi mwamba, yanaingilia masuala ya ndani ya Russia na Belarus na kuyalaumu pia kwa kutekeleza vikwazo vya upande mmoja na kuwachochea wananchi wa mataifa hayo ili waanzishe vurugu na machafuko.

  • Watu wa Trump wawatishia kifo wafanyakazi wa kampuni iliyohusika na uchaguzi Marekani

    Watu wa Trump wawatishia kifo wafanyakazi wa kampuni iliyohusika na uchaguzi Marekani

    Nov 27, 2020 03:19

    Wafanyakazi wa shirika moja lililohusika na uendeshaji wa uchaguzi nchini Marekani kwa muda sasa wamekuwa wakinyanyaswa na kutishiwa kifo, tangu rais wa nchi hiyo, Donald Trump alipoanza kudai kuweko uchakakachuaji wa kura na udanganyifu mkubwa katika uchaguzi wa Novemba 3, 2020 nchini humo.

  • Foreign Policy: Iran ni imara zaidi ya walivyofikiria Marekani na Israel

    Foreign Policy: Iran ni imara zaidi ya walivyofikiria Marekani na Israel

    Nov 26, 2020 23:14

    Gazeti moja la Marekani limetangaza kuwa, White House na utawala wa Kizayuni wa Israel walikosea katika mahesabu yao kuhusiana na Iran kwani Tehran ni imara zaidi ya walivyodhani viongozi wa Marekani katika siasa zao za kuliweketa taifa la Iran vikwazo vya kiwango cha juu kupindukia.

  • Serikali ya Trump yazidi kutoa vitisho kuhusu uwezekano wa Marekani kurejea katika JCPOA

    Serikali ya Trump yazidi kutoa vitisho kuhusu uwezekano wa Marekani kurejea katika JCPOA

    Nov 26, 2020 22:59

    Mshauri wa Usalama wa Taifa wa serikali ya Donald Trump huko White House ameendelea kutoa vitisho alivyodai ni vya hatari ya Marekani kurejea katika mapatano ya kimataifa ya JCPOA.

  • Bashar al Jaafari akosoa wanajeshi wa Marekani  kuendelea kupora maliasili za Syria

    Bashar al Jaafari akosoa wanajeshi wa Marekani kuendelea kupora maliasili za Syria

    Nov 26, 2020 04:36

    Mwakilishi wa Syria katika Umoja wa Mataifa amekosoa wanajeshi vamizi wa Marekani kuendelea kupora maliasili za Syria yakiwemo mafuta na gesi.

  • Kuondoka askari wa Marekani nchini Iraq; msimamo wa serikali ya Baghdad na makundi ya mapambano

    Kuondoka askari wa Marekani nchini Iraq; msimamo wa serikali ya Baghdad na makundi ya mapambano

    Nov 24, 2020 23:12

    Katika hali ambayo viongozi wa serikali ya Baghdad wanasema kuwa askari 500 wa Marekani wataanza kutoka katika ardhi ya Iraq miezi miwili ijayo, Sheikh Qais al-Khaz'ali, Katibu Mkuu wa Harakati ya Asaib Ahlul Haq, karibuni hivi alitetea silaha za harakati hiyo ya mapambano ya Kiislamu akisisitiza kuwa muhula wa usitishaji vita na Marekani umekwisha.

  • Hospitali elfu moja za Marekani zimejaa wagonjwa, haziwezi tena kutoa huduma

    Hospitali elfu moja za Marekani zimejaa wagonjwa, haziwezi tena kutoa huduma

    Nov 23, 2020 22:53

    Mkurugenzi wa Kitivo cha Usalama wa Afya cha Chuo Kikuu cha Johns Hopkins ametangaza kuwa, sasa hivi hospitali elfu moja zimeshajaa wagonjwa wa COVID-19 nchini humo na hazina tena uwezo wa kupokea wagonjwa zaidi.

  • Trump atakiwa kukubali matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Joe Biden

    Trump atakiwa kukubali matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Joe Biden

    Nov 23, 2020 04:40

    Mshirika wa karibu wa rais Donald Trump, ambaye pia aliwahi kuwa Gavana wa jimbo la New Jersey Chris Christie, amemtaka Trump kukubali matokeo ya uchaguzi uliompa ushindi mpinzani wake wa karibu Joe Biden.

  • Wamarekani wapatao milioni 100 wanakabiliwa na hatari ya kukumbwa na baa la njaa

    Wamarekani wapatao milioni 100 wanakabiliwa na hatari ya kukumbwa na baa la njaa

    Nov 22, 2020 08:58

    Ripoti za taasisi za serikali ya Marekani zinaonyesha kuwa maambukizi ya virusi vya corona yamewafanya raia wapatao milioni 100 wa nchi hiyo wakabiliwe na hatari ya kukumbwa na baa la njaa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS