-
Ubalozi wa Marekani Iraq ndio pekee duniani unaolindwa kwa mtambo wa makombora ya ulinzi wa anga
Nov 22, 2020 00:42Mbunge wa mrengo wa As-Sadiqun katika bunge la Iraq amesema, ubalozi wa Marekani nchini humo ndio ubalozi pekee duniani unaolindwa kwa mtambo wa makombora ya ulinzi wa anga.
-
Kuongezeka nguvu ya kiulinzi ya Iran katika kivuli cha mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani
Nov 21, 2020 07:06Siasa imara na za busara za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mkabala na Marekani zimepelekea siasa laini na ngumu za Washington kukabiliwa na changamoto kubwa.
-
Iran yakanusha madai ya kuzungumza na timu ya Joe Biden
Nov 20, 2020 23:57Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekadhibisha ripoti iliyochapishwa na gazeti la New York Times la Marekani kwamba Tehran imewasiliana na timu ya Rais mteule wa nchi hiyo, Joe Biden.
-
Madai ya Pompeo dhidi ya harakati ya kuususia utawala wa Israel BDS, na radiamali yake
Nov 20, 2020 05:36Marekani ambaye ni muungaji mkono mkubwa wa Utawala haramu wa Israel, si tu kwamba imeuhudumia pakubwa utawala huo katika kipindi cha utawala Rais Donald Trump, bali inaendelea kufanya juhudi za kudhoofisha na kuyawekea vikwazo na mashinikizo makundi na harakati ambazo zinaonekana kuwa dhidi ya siasa za ukandamizaji na jinai za utawala huo wa kibaguzi.
-
Sudan: Marekani ilitushinikiza tuanzishe uhusiano na Israel
Nov 20, 2020 00:23Waziri wa Habari, Utamaduni na Utalii wa Sudan amefichua kuwa, Marekani iliiwekea nchi hiyo ya Kiafrika mashinikizo makubwa ya kuitaka ianzishe uhusiano na utawala haramu wa Israel.
-
Mashambulizi ya jeshi la Marekani yameua raia 13,000 Syria na Iraq
Nov 20, 2020 00:09Shirika lisilo la kiserikali la Airwars lenye makao yake mjini London Uingereza limeripoti kuwa, raia wasiopungua 13,000 wa Syria na Iraq wameuawa katika mashambulizi ya muungano unaodaiwa kupambana na magaidi wa Daesh wa Marekani katika kipindi cha miaka sita iliyopita.
-
Vikwazo vipya na kuendelea mashinikizo ya kiwango cha juu ya Marekani dhidi ya Iran
Nov 19, 2020 08:46Katika hali ambayo imebakia miezi miwili tu hadi kukata roho serikali ya Donald Trump huko Marekani, lakini rahisi huyo mwenye chuki za kidini ameendelea kuwawekea vikwazo wananchi wa Iran katika muendelezo wa vikwazo vyake vya kiwango cha juu dhidi ya taifa hili la Kiislamu huku kukiwa na taarifa kwamba amekusudia kutangaza vikwazo vipya kila wiki dhidi ya Tehran.
-
Maseneta wa Marekani wapanga kuzuia mauzo ya silaha kwa Imarati
Nov 19, 2020 03:45Maseneta watatu wa Marekani wamesema wanataka kuwasilisha miswada ya kuizuia serikali ya hivi sasa ya Donald Trump kuiuzia silaha Imarati.
-
Rouhani: Utawala wa sasa wa Marekani ni wa kijinai na kigaidi
Nov 18, 2020 08:31Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria kuhusu mienendo haribifu na ugaidi wa kiuchumi wa Washington na kusema kuwa, utawala ulioko madarakani hivi sasa nchini Marekani ni mtenda jinai na dola la kigaidi.
-
Trump amfuta kazi afisa wa ngazi za juu aliyesema uchaguzi haukua na doa
Nov 18, 2020 07:03Rais Donald Trump aliyebwagwa katika uchaguzi wa rais wa Marekani uliofanyika mapema mwezi huu amempiga kalamu nyekundu Mkurugenzi wa Wakala wa Usalama wa Mitandao na Miundomsingi wa nchi hiyo, kwa kutoa kauli iliyomghadhabisha kiongozi huyo kuhusu uchaguzi.