Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Russia yabeza madai ya Trump kuhusu askari wa jeshi la kigaidi Marekani kuondoka Afghanistan

    Russia yabeza madai ya Trump kuhusu askari wa jeshi la kigaidi Marekani kuondoka Afghanistan

    Oct 08, 2020 10:29

    Mwakilishi maalumu wa Rais wa Russia katika masuala ya Afghanistan amesema, madai ya rais wa Marekani kuhusu kuondoka askari magaidi wa nchi hiyo katika ardhi ya Afghanistan ni porojo tu la kampeni za uchaguzi.

  • Madai ya uongo ya Washington kuhusu hali ya corona nchini Iran

    Madai ya uongo ya Washington kuhusu hali ya corona nchini Iran

    Oct 07, 2020 23:02

    Tangu Marekani ilipojiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hapo mwaka 2018 serikali ya Washington ilianza kutekeleza vikwazo vikali ambavyo havijawahi kushuhidiwa katika historia katika fremu ya kile kilichotajwa kuwa ni mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi.

  • 60 wauawa na kujeruhiwa katika ufyatuaji risasi Marekani

    60 wauawa na kujeruhiwa katika ufyatuaji risasi Marekani

    Oct 07, 2020 01:15

    Watu 60 wameuawa au kujeruhiwa kwenye matukio ya ufyatuaji risasi katika maeneo tofauti ya Marekani ndani ya masaa machache yaliyopita.

  • Taarifa ya mataifa 26 ya dunia ya kulaani vikwazo vya upande mmoja vya Marekani

    Taarifa ya mataifa 26 ya dunia ya kulaani vikwazo vya upande mmoja vya Marekani

    Oct 06, 2020 23:41

    Marekani ikiwa na lengo la kusukuma mbele gurudumu la siasa zake za kigeni inashikilia rekodi ya kuwa dola lililoyawekea mataifa mengine ya dunia vikwazo vya upande mmoja.

  • Mitazamo miwili kuhusiana na matukio ya usalama nchini Iraq

    Mitazamo miwili kuhusiana na matukio ya usalama nchini Iraq

    Oct 06, 2020 09:21

    Katika majuma ya hivi karibuni Iraq imeshuhudia mashambulio ya mara kwa mara dhidi ya ubalozi wa Marekani na vile vile mashambulio ya Washington dhidi ya ngome za Harakati ya Wananchi ya Hashd al-Shaabi.

  • Nchi 26 duniani zatoa wito wa kuhitimishwa vikwazo vya kidhalimu vya Marekani

    Nchi 26 duniani zatoa wito wa kuhitimishwa vikwazo vya kidhalimu vya Marekani

    Oct 06, 2020 04:42

    Nchi 26 ikiwemo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Syria, Russia, China na Iraq zimetangaza kuwa, vikwazo vya kidhalimu vya kiuchumi vya Marekani na baadhi ya nchi za Magharibi dhidi ya nchi nyingine zinazojitawala duniani vimekuwa kikwazo kikubwa katika mapambano ya kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona na zimetoa wito wa kuhitimishwa hali hiyo.

  • Onyo la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu hatari ya kutokea maafa ya nyuklia duniani

    Onyo la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu hatari ya kutokea maafa ya nyuklia duniani

    Oct 05, 2020 03:35

    Kuongezeka maghala ya silaha za nyuklia na mashindano ya kuboresha silaha hizo ni jambo linalohatarisha usalama wa dunia, suala ambalo limeupelekea Umoja wa Mataifa kutangaza wazi wasiwasi wake kuhusiana na hatari hiyo.

  • Hali isiyojulikana ya uchaguzi wa Marekani baada ya Trump kulazwa kwa maradhi ya COVID-19

    Hali isiyojulikana ya uchaguzi wa Marekani baada ya Trump kulazwa kwa maradhi ya COVID-19

    Oct 04, 2020 03:10

    Baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kulazwa hospitali kutokana na kupatwa na virusi vya corona kumejitokeza hali ya sintofahamu kuhusu uchaguzi ujao wa rais nchini humo.

  • Malengo ya Marekani ya kuwasilisha mpango wa kufunga ubalozi wake Baghdad

    Malengo ya Marekani ya kuwasilisha mpango wa kufunga ubalozi wake Baghdad

    Oct 03, 2020 03:30

    Serikali ya Marekani imetangaza mpango wa kufunga ubalozi wake katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad kutokana na kuendelea mashambulizi ya maroketi dhidi ya ubalozi huo.

  • Iran yaionya Marekani dhidi ya mahesabu ghalati

    Iran yaionya Marekani dhidi ya mahesabu ghalati

    Oct 02, 2020 08:26

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya nchi za Nje ya Iran amesema kuwa mahesabu yasiyo sahihi ya Marekani ndiyo sababu ya kushindwa kwake mbele ya taifa la Iran tangu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS