-
Russia yachukua uwenyekiti wa mzunguko wa Baraza la Usalama la UN, yasema Iran haitawekewa vikwazo
Oct 02, 2020 08:01Baada ya Marekani kushindwa kurefusha zaidi vikwazo vya silaha dhidi ya Iran katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, utawala wa Trump umedai ni mwanachama wa mapatano ya nyuklia ya JCPOA na kwamba eti Iran imekiuka madai hayo na hivyo vikwazo vya kimataifa dhidi ya Iran vinarejea kiotomatiki. Msimamo huo wa Marekani umepingwa kikamilifu na madola yote makubwa duniani hasa Russia.
-
Faisal Mekdad: Askari wa Marekani wanapaswa kuondoka Syria
Oct 01, 2020 21:10Naibu Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Syria amesema kuwa magaidi ndio wenzo wa bei rahisi zaidi unaotumiwa na Marekani katika kanda ya magharibi mwa Asia na kwamba askari wa Marekani wanapaswa kuondoka katika ardhi ya Syria.
-
Onyo kali la China la kuzitungua ndege za kivita za Marekani
Oct 01, 2020 21:08Kufuatia kushadidi mivutano na mikwaruzano kati ya China na Marekani, Beijing imeonya kuwa ikiwa ndege zisizo na rubani, ndege za kivita au vyombo vingine vyovyote vya kijeshi vya Marekani vitashambulia ardhi au visiwa vya China na kuisababishia hasara, hapana shaka vitalengwa na kutunguliwa.
-
Rouhani: Mdahalo wa Urais umefichua matatizo yanayoikabili Marekani
Sep 30, 2020 09:21Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mdahalo wa kwanza wa wagombea wawili wa urais katika uchaguzi utakaofanyika Novemba mwaka huu nchini Marekani, Donald Trump wa chama cha Rebulican na Joe Biden wa Democratic umefichua kina cha matatizo na changamoto zinazoikabili serikali ya Washington.
-
Wamarekani waliowengi wamechukizwa na mdahalo baina ya Biden na Trump
Sep 30, 2020 03:50Asilimia 69 ya Wamarekani wamechukizwa na mdahalo wa kwanza wa Donald Trump na Joe Biden, wagombea wawili wa urais katika uchaguzi utakaofanyika Novemba mwaka huu.
-
Ufichuzi; Trump amekwepa kulipa kodi ya mapato kwa miaka 10
Sep 28, 2020 22:00Imebainika kuwa, Rais wa Marekani Donald Trump amekuwa akikwepa kulipa kodi ya mapato katika kipindi cha miaka 10 kati ya 15 iliyopita.
-
Iran yakadhibisha madai ya kufanya mazungumzo na Marekani nchini Oman
Sep 28, 2020 08:47Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekanusha vikali taarifa zinazodai kuwa Jamhuri ya Kiislamu imefanya mazungumzo na Marekani huko nchini Oman.
-
Sera za kuingilia kati za Macron nchini Lebanon
Sep 28, 2020 06:02Matukio ya Kisiasa ya hivi karibuni nchini Lebanon hususan baada ya mlipuko mkubwa uliotokea katika bandari ya Beirut mwezi Agosti mwaka huu ambao umepelekea kujiuzulu serikali ya nchi hiyo yametayarisha mazingira ya uingiliaji wa nchi za Magharibi hususan Ufaransa na Marekani katika masuala ya ndani ya nchi hiyo
-
Muamala wa Khartoum-Washington kwa ajili ya kuondoa jina la Sudan katika orodha ya waungaji mkono ugaidi
Sep 28, 2020 04:47Katika miezi ya karibinu Marekani imefanya jitihada kubwa za kuzishawishi nchi za Kiarabu na Kiislamu, ikiwemo Sudan, kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala haramu wa Israel.
-
Mgogoro waongezeka Marekani, wagonjwa wa corona wapindukia milioni 7 na laki 3
Sep 28, 2020 04:22Idadi ya wagonjwa wa corona waliothibitishwa nchini Marekani imevunja tena rekodi. Sasa imepindukia watu milioni saba na laki tatu.