-
Makamu wa Rais wa Iran: Vituko vya Trump vimefika ukingoni
Nov 08, 2020 04:41Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran amesema zama za Rais Donald Trump wa Marekani na vituko vyake pamoja na timu yake inayopenda vita zimefika ukingoni.
-
Uchaguzi wa rais wa 2020; nembo ya demokrasia bandia ya Marekani
Nov 07, 2020 06:44Kama ilivyokuwa imetabiriwa awali, uchaguzi wa mwaka huu wa rais wa Marekani ambao ulifanyika tarehe 3 mwezi huu wa Novemba umekuwa moja ya chaguzi zenye utata mkubwa zaidi katika historia ya nchi hiyo, uchaguzi ambao taathriza zake bila shaka zitabakia kwa muda mrefu katika uwanja wa siasa za nchi hiyo.
-
Wafuasi wa Trump wenye bunduki wazingira vituo vya kuhesabu kura
Nov 07, 2020 04:09Idadi kubwa ya wafuasi wa Rais Donald Trump wa Marekani wameonekana katika vituo kadhaa vya kuhesabu kura nchini humo wakiwa wamebeba bunduki za rashasha.
-
Sisitizo la Putin la kumuunga mkono Lukashenko mkabala na vikwazo vipya vya nchi za Magharibi
Nov 06, 2020 03:17Maandamano makubwa yaliyofanyika hivi karibuni nchini Belarus kufuatia uchaguzi uliomrejesha tena madarakani Rais Alexander Lukashenko, kilikuwa kisingizio kizuri kwa nchi za Magharibi kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo na kuanza kutekeleza vikwazo na siasa za uhasama dhidi ya serikali yake.
-
"Serikali ijayo ya Marekani haina budi kusalimu amri mbele ya Iran"
Nov 05, 2020 08:53Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema serikali ijayo ya Marekani haitakuwa na chaguo jingine ghairi ya kusalimu amri mkabala wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Hitilafu zaongezeka kuhusu kura za uchaguzi wa Rais nchini Marekani
Nov 05, 2020 04:28Spika wa bunge la wawakilishi la Marekani amewaandikia barua wabunge wa chama cha Democratic akisistiza kuwa mgombea wa kiti cha urais wa chama hicho ana kura za kutosha za baraza maalumu la wajumbe wanaomchagua rais ( Electoral College) za kumfanya aibuke na ushindi na kuingia White House.
-
Kujiondoa rasmi Marekani katika Mapatano ya Tabianchi ya Paris
Nov 05, 2020 04:22Marekani ambayo imejiondoa katika mikataba kadhaa ya kimataifa wakati wa utawala wa Donald Trump, sasa imejiondoa rasmi katika Makubaliano ya Mabadiliko ya Tabianchi yaliyofikiwa mjini Paris, Ufaransa mwaka 2015. Mapatano hayo ni muhimu katika kulinda mazingira ili kuzuia ongezeko la joto duniani.
-
Makumi ya watu watiwa mbaroni katika machafuko ya uchaguzi nchini Marekani
Nov 04, 2020 11:46Polisi nchini Marekani wametangaza kuwatia mbaroni makumi ya watu katika jimbo la California katika machafuko ya uchaguzi.
-
Marekani yajiondoa rasmi katika Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi wa Paris
Nov 04, 2020 08:57Marekani hii leo imejiondoa rasmi katika Makubaliano ya Mabadiliko ya Tabianchi yaliyofikiwa mjini Paris, Ufaransa mwaka 2015.
-
Rouhani: Iran haijali ni nani ataibuka mshindi katika uchaguzi wa Marekani
Nov 04, 2020 08:06Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili halijalishwi wala kushughulishwa na ni nani atakayeibuka mshindi katika uchaguzi wa rais wa Marekani uliofanyika jana Jumanne.