Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kukiri John Bolton juu ya kugonga mwamba siasa za Marekani dhidi ya Venezuela

    Kukiri John Bolton juu ya kugonga mwamba siasa za Marekani dhidi ya Venezuela

    May 19, 2020 05:54

    Vikwazo na mashinikizo ya Marekani dhidi ya Venezuela yanaendelea katika hali ambayo, kivitendo nchi hiyo ya Amerika ya Latini ikipata msaada wa mataifa kama Iran, China na Russia imefanikiwa kuyapatia ufumbuzi akthari ya matatizo yaliyosababishwa na vikwazo vya Washington.

  • Sisitizo la Russia juu ya kutoweza Marekani kurejesha vikwazo vya kimataifa dhidi ya Iran

    Sisitizo la Russia juu ya kutoweza Marekani kurejesha vikwazo vya kimataifa dhidi ya Iran

    May 19, 2020 02:52

    Tarehe 8 Mei 2018, Marekani ilijitoa kijeuri katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia yanayojulikana kwa jina maarufu la JCPOA, lakini hivi sasa inafanya njama kubwa za kujaribu kuzuia utekelezaji wa makubaliano hayo hasa kipengee cha kuondolewa Iran vikwazo vya silaha kwa mujibu wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hapo tarehe 18 Oktoba mwaka huu wa 2020. Hata hivyo wajumbe wa Mashariki wa kundi la 4+1 yaani Russia na China wamepinga vikali njama hizo za Marekani.

  • Mahathir bin Mohamad: Marekani inauza duniani ndege zake za kivita zenye ubovu

    Mahathir bin Mohamad: Marekani inauza duniani ndege zake za kivita zenye ubovu

    May 18, 2020 21:56

    Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia amefichua kwamba serikali ya Marekani iliiuzia nchi hiyo ndege za kivita za F16 huku zikiwa hazina namba maalumu wala vifaa muhimu na kwamba Washington huwa inatekeleza siasa hizo kwa nchi zote za dunia isipokuwa utawala haramu wa Kizayuni.

  • Onyo la Pompeo kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC katika kuunga mkono utawala wa Israel

    Onyo la Pompeo kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC katika kuunga mkono utawala wa Israel

    May 18, 2020 04:55

    Tokea aingie madarakani huko White House, Rais Doland Trump amekuwa akichukua hatua zenye utata mkubwa katika kuunga mkono bila masharti yoyote, utawala ghasibu wa Israel kwa madhara ya taifa madhlumu la Palestina, jambo ambalo marais wengine wa zamani wa Marekani walijiepusha kulitekeleza hadharani.

  • Indhari ya António Guterres juu ya taathira hasi ya tofauti za China na Marekani kwenye juhudi za kukabiliana na Corona

    Indhari ya António Guterres juu ya taathira hasi ya tofauti za China na Marekani kwenye juhudi za kukabiliana na Corona

    May 17, 2020 20:02

    Kuenea kwa virusi vya Corona duniani bado kumewafanya watu kuwa wahanga, huku hofu yake ikibainisha kwamba janga hilo litazizidishia matatizo ya kiuchumi na kijamii nchi nyingi za dunia.

  • Onyo la Steven Mnuchin juu ya uwezekano wa kusambaratika uchumi wa Marekani

    Onyo la Steven Mnuchin juu ya uwezekano wa kusambaratika uchumi wa Marekani

    May 17, 2020 07:51

    Kuenea kwa virusi vya Corona nchini Marekani kumeisababishia jamii ya nchi hiyo matatizo makubwa ya kila upande hususan kwenye upande wa uchumi.

  • Pentagon ina wasiwasi Marekani itashindwa endapo itaingia vitani na China

    Pentagon ina wasiwasi Marekani itashindwa endapo itaingia vitani na China

    May 17, 2020 03:31

    Baadhi ya duru katika Wizara ya Ulinzi ya Marekani Pentagon zimeonya kuwa kutokana na mazoezi ya karibuni kabisa yaliyofanywa na jeshi la nchi hiyo, endapo jeshi hilo litaingia vitani na China katika Bahari ya Mediterania litashindwa katika vita hivyo.

  • Theluthi mbili ya wanaoamini Mungu Marekani: Corona ni ujumbe unaotoka kwa Mungu

    Theluthi mbili ya wanaoamini Mungu Marekani: Corona ni ujumbe unaotoka kwa Mungu

    May 17, 2020 03:30

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Marekani yanaonyesha kuwa, baada ya kuzuka mripuko wa maradhi ya Covid-19, zaidi ya asilimia 65 ya raia wa nchi hiyo wanaoamini Mungu wamefikia hitimisho kuwa Mwenyezi Mungu anawahutubu kwamba wabadilike katika maisha yao.

  • Ombi la Umoja wa Mataifa kuhusu kuondolewa vikwazo dhidi ya Iran

    Ombi la Umoja wa Mataifa kuhusu kuondolewa vikwazo dhidi ya Iran

    May 17, 2020 02:17

    Baada ya serikali ya Rais Donald Trump kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mwaka 2018 katika fremu ya sera za mashinikizo ya juu kabisa na kisha kushadidisha vikwazo ambavyo havijawahi kushuhudiwa katika historia dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na licha ya kuibuka ugonjwa wa COVID-19 nchini Iran, lakini bado Trump anasisitiza kuendeleza vikwazo vyake vilivyo dhidi ya ubinadamu dhidi ya taifa hili.

  • Marekani yaiwekea Huawei vikwazo vipya, uhusiano na China wazidi kuharibika

    Marekani yaiwekea Huawei vikwazo vipya, uhusiano na China wazidi kuharibika

    May 16, 2020 03:09

    Serikali ya Marekani imeliwekea vikwazo vipya shirika kubwa la kiteknolojia la China Huawei na hivyo kupelekea uhusiano wake na China ambao umezorota kuwa mbaya zaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS