-
Ombi la Trump kwa UN la kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran kinyume na JCPOA
Apr 20, 2020 01:34Kwa mujibu wa mapatano ya nyuklia ya JCPOA yenye baraka kamili za Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, vikwazo vya kidhulma vya silaha ilivyowekewa Iran, vinapaswa viondolewe kikamilifu tarehe 18 Oktoba mwaka huu wa 2020.
-
Wamarekani waliopoteza ajira na kuishiwa na fedha kwa corona wamiminika kwenye vituo vya ugawaji chakula
Apr 19, 2020 22:09Raia wa Marekani wasio na ajira na walioishiwa na fedha wamevamia vituo vinavyotoa milo ya bure ya chakula kwa watu wahitaji.
-
Iran: Uropokaji mpya wa Marekani unakusudia kuipotosha dunia
Apr 19, 2020 03:22Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Marekani imeazimia kuupotosha ulimwengu, ili usishughulishwe tena na ugaidi wa kiuchumi wa taifa hilo la kibeberu dhidi ya Iran.
-
Wamarekani waandamana baada ya kuchoshwa na kukaa majumbani
Apr 19, 2020 03:17Mamia ya wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika miji na majimbo kadhaa kushinikiza kuondolewa kwa agizo la kuwataka wasalie majumbani mwao, kama njia ya kudhibiti maambukizi ya virusi vya Corona.
-
Mtaalamu wa Ufaransa alipua bomu, adai virusi vya corona vilitokana na jaribio la kutengeneza chanjo ya Ukimwi
Apr 18, 2020 22:07Mtazamo wa Profesa Luc Antoine Montagnier wa Ufaransa ambaye ni mmoja kati ya wavumbuzi wa virusi vya Ukimwi anayesema virusi vya corona vimetokana na makosa yaliyotokea kwenye maabara, umezusha mjadala mkubwa katika duru za wanasayansi.
-
Brigedia Amir Hatami: Matokeo ya uwepo wa Marekani Ghuba ya Uajemi ni ukosefu wa usalama
Apr 17, 2020 20:13Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali uwepo wa Marekani katika eneo la Ghuba ya Uajemi na kusema kuwa, hatua hiyo haina matokeo mengine ghairi ya ukosefu wa usalama.
-
Taasisi ya misaada ya Bill Gates yatoa radiamali baada ya Marekani kusitisha msaada wake kwa WHO
Apr 17, 2020 03:26Kufuatia kukatwa msaada wa fedha wa Marekani kwa Shirika la Afya Duniani (WHO), shirika la misaada la Bill Gates limetenga kiasi zaidi cha dola milioni 150 kwa ajili ya shirika hilo.
-
Mgogoro wa Corona na kuongezeka idadi ya vifo nchini Marekani
Apr 17, 2020 00:16Chuo Kikuu cha Johns Hopkins nchini Marekani kimetangaza kuwa karibu watu 5000 wamefariki dunia katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita kutokkana na virusi vya Corona.
-
Waislamu wawasaidia madaktari na wauguzi nchini Marekani
Apr 17, 2020 00:10Kufuatia uhaba wa vifaa vya wauhudumu wa afya katika hospitali za Marekani, Waislamu wa nchi hiyo wameunda kundi la kujitolea katika kupambana na virusi vya Corona.
-
Tahadhari ya Russia kuhusiana na kuutumia kisiasa mgogoro wa corona
Apr 16, 2020 23:53Katika kipindi hiki cha mgogoro wa mlipuko wa virusi vya corona, Marekani ambayo ni kinara wa nchi za Magharibi imeendeleza siasa zake zisizo za kibinadamu dhidi ya nchi hasimu na wapinzani wake, hususn katika kuzidisha vikwazo vya kiuchumi na kuzizuia kupata misaada ya kimataifa. Suala hili limekosolewa sana na madola mengine makubwa duniani.