-
Korea Kaskazini: Mazungumzo yetu na Marekani yanakaribia kuvunjika kikamilifu
Nov 09, 2019 04:32Mkuu wa kitengo cha masuala ya Marekani katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Korea Kaskazini, ameelezea uwezekano wa kuvunjika kikamilifu mazungumzo kati ya Washington na Pyongyang, kutokana na ukwamishaji mambo wa Marekani.
-
Hatua ya Nne ya Iran; Kufeli 'Mashinikizo ya Juu Zaidi' ya Marekani
Nov 08, 2019 23:43Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: 'Marekani ni kinara wa shari, mwanzilishi na muungaji mkono wa ugaidi duniani."
-
Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Hasira ya Wairani dhidi ya Marekani ni ishara ya kukomaa kiakili
Nov 08, 2019 09:37Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran amesema kuwa tangazo la hasira na chuki ya wananchi wa Iran dhidi ya ubeberu wa kimataifa unaoongozwa na Marekani ni kielelezo halisi cha umakini na kuwa macho mbele ya hatari kubwa inayotishia ubinadamu, amani na haki za binadamu.
-
Russia yasisitiza kushindwa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran
Nov 08, 2019 04:59Russia ikiwa mmoja wa wanachama wa kundi la 4+1 daima imekuwa ikisisitiza kulindwa mapatano ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na kukosoa vikali hatua ya Marekani kuiwekea Iran vikwazo vya upande mmoja, baada ya yenyewe kujiondoa katika mapatano hayo ya kimataifa, ikisema kuwa huo ni ukiukaji wa wazi wa Washington wa mapatano hayo.
-
Rais Emmanuel Macron: Shirika la kijeshi la NATO limekufa ubongo
Nov 08, 2019 04:48Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa sambamba na kuonyesha wasi wasi wake kuhusiana na iwapo Marekani itaendeleza ahadi zake katika Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi NATO amesema kuwa, shirika hilo limekumbwa na kifo cha ubongo.
-
Ukosoaji wa Pakistan dhidi ya serikali ya Marekani
Nov 07, 2019 03:29Pakistan imeyakosoa vikali madai ya Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani kwamba, Islamabad haina uwezo wa kupambana na ugaidi na kuyataja matamshi hayo kuwa siyo ya kukubalika hata kidogo.
-
Ripoti: Aghalabu ya Wamarekani hawamuamini Trump
Nov 06, 2019 21:43Utafiti mpya unaonesha kuwa, akthari ya wananchi wa Wamarekani wanatiwa wasiwasi na utendaji kazi wa Rais Donald Trump, na wamepoteza imani na uongozi wa mwanasiasa huyo wa chama cha Republican.
-
Marekani na Israel zachochea na kuunga mkono machafuko ya Iraq
Nov 06, 2019 04:35Rais wa Marekani na Waziri wa Mambo ya Nje wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameeleza kufurahishwa na machafuko ya Iraq na kusema wanaunga mkono hali hiyo.
-
Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; jitihada zilizofeli za Washington
Nov 05, 2019 08:06Serikali ya Trump inatekeleza vikwazo dhidi ya Iran ambavyo havijawahi kushuhudiwa huko nyuma baada ya Marekani kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei mwaka jana 2018 katika fremu ya siasa zake za mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya nchi hii; na ingali inaiwekea Iran vikwazo vipya.
-
Marekani yaanza kujiondoa rasmi kwenye Makubaliano ya Paris
Nov 05, 2019 03:53Marekani imeanzisha mchakato wa kujiondoa rasmi katika makubaliano ya mabadiliko ya tabianchi yaliyofikiwa mjini Paris, Ufaransa mwaka 2015.