Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Ijumaa tarehe 28 Juni 2019

    Ijumaa tarehe 28 Juni 2019

    Jun 27, 2019 23:11

    Leo ni Ijumaa tarehe 24 Shawwal 1440 Hijria sawa na Juni 28 mwaka 2019

  • Korea Kaskazini yaikosoa vikali Marekani kwa kurefusha tena vikwazo dhidi yake

    Korea Kaskazini yaikosoa vikali Marekani kwa kurefusha tena vikwazo dhidi yake

    Jun 26, 2019 07:33

    Serikali ya Korea Kaskazini imesema kuwa, hatua ya Washinton ya kurefusha vikwazo kwa muda wa mwaka mmoja dhidi ya Pyongyang ni kielelezo cha uhasama wa wazi wa nchi hiyo.

  • Kamanda wa IRGC: Marekani haina ubavu na ujasiri wa kuishambulia Iran

    Kamanda wa IRGC: Marekani haina ubavu na ujasiri wa kuishambulia Iran

    Jun 26, 2019 03:11

    Kamanda mwandamizi wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema hakuna nchi yoyote ile duniani ikiwemo Marekani yenye ujasiri, ubavu na uthubutu wa kuishambulia Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Magaidi wa Marekani wauawa baada ya Pompeo kufanya safari ya kificho Afghanistan

    Magaidi wa Marekani wauawa baada ya Pompeo kufanya safari ya kificho Afghanistan

    Jun 26, 2019 02:43

    Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi NATO umetangaza habari ya kuuawa askari magaidi wawili wa Marekani nchini Afghanistan leo Jumatano.

  • Misimamo ya kimasharti ya troika ya Ulaya kuhusu JCPOA

    Misimamo ya kimasharti ya troika ya Ulaya kuhusu JCPOA

    Jun 26, 2019 02:17

    Huku muda uliowekwa na Iran wa kuongeza kiwango cha kutochunga ahadi zake ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA kutokana na upande wa pili wa mapatano hayo kutotekeleza kabisa ahadi zao ukikaribia, troika ya Ulaya yaani nchi tatu za Ujerumani, Ufaransa na Uingereza zimeanzisha harakati za kidiplomasia na kipropaganda za kujaribu kuizuia Iran isichukue hatua zaidi za kupunguza utekelezaji wa ahadi zake.

  • Rais wa Iraq: Hatutairuhusu Marekani itumie ardhi yetu kuishambulia Iran

    Rais wa Iraq: Hatutairuhusu Marekani itumie ardhi yetu kuishambulia Iran

    Jun 26, 2019 02:11

    Rais Barham Salih wa Iraq amesema katu nchi hiyo ya Kiarabu haitairuhusu Marekani itumie ardhi yake kuanzisha shambulizi lolote la kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Rouhani: Iran itatoa jibu mwafaka iwapo anga yake itahujumiwa tena

    Rouhani: Iran itatoa jibu mwafaka iwapo anga yake itahujumiwa tena

    Jun 25, 2019 22:54

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran haifuatilii kuingia vitani na Marekani lakini itatoa jibu mwafaka iwapo anga yake itahujumiwa tena na Marekani.

  • Waziri Mkuu wa Palestina: Wapalestina wanataka uhuru na si sadaka

    Waziri Mkuu wa Palestina: Wapalestina wanataka uhuru na si sadaka

    Jun 25, 2019 22:27

    Waziri Mkuu wa Palestina amesema kuwa mhandisi na mtayarishaji wa mpango wa Kimarekani wa eti amani ya Mashariki ya Kati wa Muamala wa Karne unaosimamiwa na mkwe wa Rais Donald Trump, Jared Kushner na wenzake hawaelewi kuwa Wapalestina hawataki sadaka bali wanadai haki zao za kuwa huru na kukomeshwa uvamizi wa Israel na udhibiti wa dola hilo haramu wa maisha na uchumi wao.

  • 'Kutunguliwa droni ya Marekani kumeibua fahari, izza na ghera ya Wairani'

    'Kutunguliwa droni ya Marekani kumeibua fahari, izza na ghera ya Wairani'

    Jun 25, 2019 07:53

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kutunguliwa ndege isiyo na rubani (drone) ya Marekani baada ya kukiuka anga ya Iran ni jambo ambalo limeibua ghera, izza na furaha ya Wairani.

  • Iran: Vikwazo vipya vinaashiria namna Marekani isivyoheshimu sheria za kimataifa

    Iran: Vikwazo vipya vinaashiria namna Marekani isivyoheshimu sheria za kimataifa

    Jun 25, 2019 03:19

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya viongozi wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu ni ithibati nyingine tosha kuwa utawala wa Washington hauko tayari kuheshimu sheria za kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS