Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Zarif: Vikwazo vya Marekani vinalemaza vita dhidi ya mihadarati

    Zarif: Vikwazo vya Marekani vinalemaza vita dhidi ya mihadarati

    Jun 24, 2019 08:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vikwazo vya upande mmoja vya Marekani na ugaidi wa kiuchumi wa nchi hiyo ya kibeberu dhidi ya taifa la Iran umekuwa kizingiti kikubwa katika ushirikiano wa kimataifa hususan katika vita dhidi ya mihadarati.

  • Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon, Palestina wasusia 'Muamala wa Karne'

    Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon, Palestina wasusia 'Muamala wa Karne'

    Jun 24, 2019 08:18

    Wanazuoni na wasomi wa Kiislamu wa Lebanon na Palestina wamelaani njama ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina iliyopewa jina la 'Muamala wa Karne'.

  • Zarif: Timu B ilijaribu kumtia mtegoni Trump aingie katika vita na Iran

    Zarif: Timu B ilijaribu kumtia mtegoni Trump aingie katika vita na Iran

    Jun 23, 2019 23:01

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema tukio la hivi karibuni la drone ya Marekani kukiuka anga ya Iran katika Bahari ya Oman ilikuwa sehemu ya njama pana za wapenda vita (Timu B) kumtia mtegoni Rais Donald Trump wa Marekani ili aingie katika vita na Iran.

  • Sanders: Trump amelazimika kuzima moto aliouwasha dhidi ya Iran

    Sanders: Trump amelazimika kuzima moto aliouwasha dhidi ya Iran

    Jun 23, 2019 22:30

    Seneta Bernie Sanders ambaye ametangaza azma yake ya kugombea tena urais katika uchaguzi wa urais nchini Marekani mwaka ujao amesema Rais Donald Trump wa nchi hiyo amelazimika kuzima moto wa mgogoro na taharuki aliouwasha mwenyewe dhidi ya Iran.

  • Hamas: Hila ya Marekani ya kutaka kutekeleza

    Hamas: Hila ya Marekani ya kutaka kutekeleza "Muamala wa Karne" haitafanikiwa

    Jun 23, 2019 03:13

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa hila ya serikali ya Marekani ya kutaka kutekeleza mpango kwa jina la Muamala wa Karne haitafanikiwa.

  • Jeshi la Marekani latumia helikopta kuwaokoa magaidi wa Daesh Afghanistan

    Jeshi la Marekani latumia helikopta kuwaokoa magaidi wa Daesh Afghanistan

    Jun 22, 2019 08:47

    Jeshi la Marekani limetumia helikopta zake kuwaokoa wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) nchini Afghanistan, kufuatia operesheni kali ya wapiganaji wa Taliban ya kulitokomeza genge hilo la ukufurishaji mashariki mwa nchi.

  • Mwandishi wa habari asema Trump alimbaka miaka ya 1990

    Mwandishi wa habari asema Trump alimbaka miaka ya 1990

    Jun 22, 2019 08:42

    Rais Donald Trump wa Marekani anaandamwa na kashfa nyingine ya ufuska baada ya mwanadishi wa habari kwa jina E. Jean Carroll, kufichua kuwa kiongozi huyo wa Marekani wakati huo akiwa mjasiriamali alimbaka katikati ya miaka 90.

  • Russia yalaani vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Russia yalaani vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Jun 22, 2019 08:16

    Vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Iran ni vikwazo vilivyo kinyume cha sheria na vinavyokinzana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA. Nchi za kundi la 4+1 limelaani vikwazo hivyo dhidi ya Iran.

  • Jibu Kali la Iran dhidi ya uchokozi wa Marekani katika Ghuba ya Uajemi

    Jibu Kali la Iran dhidi ya uchokozi wa Marekani katika Ghuba ya Uajemi

    Jun 22, 2019 03:13

    Kulinda mipaka ya nchi kavu, majini na angani ni haki ya kila nchi na hatua ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kutungua ndege isiyo na rubani ya Marekani iliyoingia katika anga yake kusini mwa nchi imeonesha tena kwamba Iran haitazembea hata kidogo katika kulinda mipaka yake.

  • Seneti ya Marekani yapinga mauzo ya Trump ya silaha kwa Saudia

    Seneti ya Marekani yapinga mauzo ya Trump ya silaha kwa Saudia

    Jun 21, 2019 06:57

    Bunge la Seneti la Marekani limeunga mkono azimio la kupinga mauzo ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 8.1 kwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu, yaliyoidhinishwa hivi karibuni na utawala wa Rais Donald Trump bila idhini ya Kongresi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS