Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Al-Nujaba: Tutapiga kambi za US, ikiisaidia Israel kuishambulia Iraq

    Al-Nujaba: Tutapiga kambi za US, ikiisaidia Israel kuishambulia Iraq

    Nov 03, 2024 02:47

    Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Al-Nujaba ya Iraq amesema, kundi hilo la Muqawama litalenga kambi na vituo vya kijeshi vya Marekani endapo Washington itatoa msaada wowote katika mashambulizi yanayoweza kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iraq.

  • Kuendelea hatua na misimamo ya undumakuwili ya Marekani dhidi ya Iran

    Kuendelea hatua na misimamo ya undumakuwili ya Marekani dhidi ya Iran

    Nov 02, 2024 07:45

    Rais Joe Biden wa Marekani jana Ijumaa aliwatumia barua wakuu wa bunge la wawakilishi na seneti ambapo amerefusha kwa mwaka mmoja mwingine muda wa hali ya hatari kitaifa kuhusu Iran. Biden amechukua hatua hii katika miezi yake ya mwisho akiwa White House na kabla ya kufanyika uchaguzi wa Rais wa Marekani tarehe 5 mwezi huu wa Novemba.

  • Marekani yajipanga kutuma idadi kubwa zaidi ya wanajeshi na zana za kivita Asia Magharibi

    Marekani yajipanga kutuma idadi kubwa zaidi ya wanajeshi na zana za kivita Asia Magharibi

    Nov 02, 2024 03:03

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imetangaza mpango wa kutumwa wanajeshi zaidi wa nchi hiyo katika eneo la Asia Magharibi.

  • Waungaji mkono wa Palestina wakatiza hotuba ya Harris

    Waungaji mkono wa Palestina wakatiza hotuba ya Harris

    Oct 30, 2024 23:06

    Waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina wamekatiza hotuba ya Makamu wa Rais wa Marekani na mgombea wa chama cha Democratic, Kamala Harris wakati wa mkutano wake wa kampeni za uchaguzi wa rais huko Washington DC.

  • Wabotswana wapiga kura huku chama kilichotawala kwa miaka 58 kikiahidi 'mabadiliko'

    Wabotswana wapiga kura huku chama kilichotawala kwa miaka 58 kikiahidi 'mabadiliko'

    Oct 30, 2024 09:08

    Wabotswana leo wameelekea kwenye vituo vya kupigia kura kuchagua wabunge watakaomchagua rais, wakati chama tawala cha Botswana Democratic Party (BDP) ambacho kimeiongoza nchi hiyo kwa miaka 58 kikitafuta ridhaa tena ya kubaki madarakani kwa muhula mwingine wa miaka mitano kwa kaulimbiu ya kuleta "mabadiliko".

  • Kushiriki Marekani kwa 70% katika jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Kushiriki Marekani kwa 70% katika jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Oct 29, 2024 04:20

    Takwimu rasmi za makadirio zilizochapishwa zinaonyesha kuwa, Marekani imetoa zaidi ya dola bilioni 22 za silaha na misaada ya kijeshi kwa utawala wa Kizayuni wa Israel katika kipindi cha mwaka mmoja tu uliopita.

  • Mwendelezo wa mashambulizi ya Marekani na Uingereza Yemen Magharibi

    Mwendelezo wa mashambulizi ya Marekani na Uingereza Yemen Magharibi

    Oct 24, 2024 04:13

    Ndege za kivita za Marekani na Uingereza zimefanya mashambulizi mengine makubwa huko Yemen Magharibi.

  • Trump aituhumu UK kwa kuingilia uchaguzi wa Marekani

    Trump aituhumu UK kwa kuingilia uchaguzi wa Marekani

    Oct 23, 2024 22:48

    Mgombea wa urais wa chama cha Republican nchini Marekani, Donald Trump amewasilisha malalamiko yake kuhusu madai ya kuingilia uchaguzi wa Marekani unaofanywa na chama tawala nchini Uingereza.

  • Wanafunzi Waislamu; Waathiriwa wa sera za kibaguzi za vyuo vikuu vya Marekani

    Wanafunzi Waislamu; Waathiriwa wa sera za kibaguzi za vyuo vikuu vya Marekani

    Oct 22, 2024 22:57

    Kufichuliwa kwa faili la sauti ya rais wa Chuo Kikuu cha Michigan kunaonesha kuanzishwa sera za kibaguzi dhidi ya wanafunzi wa Kiislamu na Waarabu katika jamii za Magharibi.

  • Jarida la Marekani, Foreign Affairs: Hamas itabakia hai

    Jarida la Marekani, Foreign Affairs: Hamas itabakia hai

    Oct 22, 2024 22:56

    Jarida la Marekani la "Foreign Affairs" limeandika katika ripoti yake kwamba, kuuawa shahidi Yahya al-Sinwar, sio tu kwamba hakutaiangamiza Hamas, bali Harakati hiyo ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina itaendelea kufanya kazi zake za mapambano ya ukombozi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS