-
Jarida la Marekani, Foreign Affairs: Hamas itabakia hai
Oct 22, 2024 22:56Jarida la Marekani la "Foreign Affairs" limeandika katika ripoti yake kwamba, kuuawa shahidi Yahya al-Sinwar, sio tu kwamba hakutaiangamiza Hamas, bali Harakati hiyo ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina itaendelea kufanya kazi zake za mapambano ya ukombozi.
-
Onyo la Iran kwa Marekani kuhusu chokochoko tarajiwa ya Israel
Oct 20, 2024 22:52Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Marekani inapasa kubebeshwa dhima ya shambulio lolote tarajiwa la Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Iran: US itabeba dhima ya shambulio lolote la Israel dhidi yetu
Oct 19, 2024 03:50Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Marekani inapasa kubebeshwa dhima ya shambulio lolote tarajiwa la Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran: Mfumo wa ulinzi wa Marekani wa THAAD si jambo jipya
Oct 16, 2024 23:25Waziri wa Ulinzi wa Iran ameeleza kuwa mfumo wa ulinzi wa Marekani wa THAAD si jambo jipya na kwamba Iran unalichukulia suala hilo kuwa ni sehemu ya vita vya kisaikolojia na sio tatizo mahsusi.
-
Marekani yaridhika tu kwa kuelezea kusikitishwa kwake na kuchomwa moto mahema ya wakimbizi wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza
Oct 15, 2024 08:21Baraza la Usalama la Taifa la Marekani limeeleza tu wasiwasi na masikitiko yake kuhusu mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya mahema ya wakimbizi wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Mtikisiko wa kiuchumi US; Boeing kuwatimua wafanyakazi 17,000
Oct 12, 2024 22:44Kampuni ya Boeing inayoongoza nchini Marekani kutengeneza ndege za kibiashara na kijeshi imetangaza mpango wake wa kuwapiga kalamu nyekundu wafanyakazi 17,000 wa shirika hilo; huku mgomo wa wafanyakazi 33,000 wa kampuni hiyo huko West Coast ukitokota.
-
Kuundika mwafaka wa kimataifa dhidi ya Israel
Oct 12, 2024 22:39Utawala wa Kizayuni unaendelea kulaaniwa na kukosolewa pakubwa kimataifa kufuatia kuendelea jinai kubwa za utawala huo katika vita vya Gaza hususan mauaji ya kimbari unayotekekeleza dhidi ya Wapalestina na hivi sasa mashambulizi ya kila upande dhidi ya Lebanon ambayo yamewaua shahidi maelfu ya watu na kujeruhi makumi ya maelfu ya wengine huko Gaza na Lebanon.
-
Yemen yashambulia meli ya mafuta ya US na nyengine inayohusiana na Israel katika Bahari ya Sham
Oct 11, 2024 04:11Msemaji wa jeshi la Yemen ametangaza kuwa vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo vimefanya operesheni mbili za mashambulio dhidi ya meli ya mafuta ya Marekani na meli ya mafuta yenye uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Bahari ya Hindi na Bahari ya Sham.
-
Burkina Faso yasimamisha matangazo ya VOA ya Marekani
Oct 08, 2024 09:15Serikali ya Burkina Faso imesimamisha matangazo ya shirika la utangazaji la Sauti ya Marekani (VOA) linalofadhiliwa na Washington kwa muda wa miezi mitatu kwa 'kushajiisha ugaidi.'
-
Mchango wa wazi wa Marekani katika mauaji ya kimbari ya utawala haramu wa Israel dhidi ya Gaza
Oct 08, 2024 04:14Mwaka mmoja umepita tangu yalipoanza mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Gaza. Sababu muhimu ya kuendelea kushuhudiwa mauaji hayo ya kimbari na vilevile vita dhidi ya Lebanon katika mwezi uliopita ni uungaji mkono wa kila upande wa Marekani kwa utawala vamizi wa Israel.