Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Makumi ya wanawake wamshtaki daktari Mmarekani kwa kuwadhalilisha kingono

    Makumi ya wanawake wamshtaki daktari Mmarekani kwa kuwadhalilisha kingono

    Oct 13, 2023 07:48

    Wanawake 82 nchini Marekani wamemfungulia mashtaka daktari aliyekuwa akifanya katika hospitali moja katika mji wa Boston nchini humo kwa tuhuma za kuwadhalilisha kingono.

  • Iran yakanusha madai ya kuendelea kuzuiliwa fedha zake zilizoachiwa

    Iran yakanusha madai ya kuendelea kuzuiliwa fedha zake zilizoachiwa

    Oct 13, 2023 03:44

    Ofisi ya Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa imekadhibisha ripoti iliyochapishwa na gazeti la Washington Post kuwa, Marekani na Qatar zimeafikiana kuzuia fedha za Iran zilizoachiwa hivi karibuni, ambazo zilikuwa zinashikiliwa nchini Korea Kusini kutokana na vikwazo.

  • Mgawanyiko mkubwa nchini Marekani juu ya matukio ya hivi karibuni huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu

    Mgawanyiko mkubwa nchini Marekani juu ya matukio ya hivi karibuni huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu

    Oct 12, 2023 23:05

    Matukio ya hivi karibuni ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu hususan operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa na mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni, kwa hakika mauaji ya halaiki ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza, yameubua migawanyiko kati ya wanasiasa wa Marekani.

  • NYT: Ukuaji wa uchumi wa Russia utaupiku wa US na EU

    NYT: Ukuaji wa uchumi wa Russia utaupiku wa US na EU

    Oct 11, 2023 23:02

    Gazeti la New York Times limeripoti kuwa, uchumi wa Russia ni imara na madhubuti kinyume na matarajio ya serikali za Magharibi, ambazo zilitazamia uchumi huo utalemazwa kikamilifu na vikwazo vyao dhidi ya Moscow.

  • Msimamo tofauti wa Russia na China kuhusu operesheni ya Kimbunga cha al-Aqswa

    Msimamo tofauti wa Russia na China kuhusu operesheni ya Kimbunga cha al-Aqswa

    Oct 11, 2023 23:01

    Licha ya uungaji mkono kamili wa Marekani na washirika wake wa magharibi kwa utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya operesheni ya Kimbunga ya al-Aqswa na hata Washington kutuma misaada ya kijeshi na zana za kivita kwa utawala huo ghasibu, lakini Russia na China, yakiwa madola mawili hasimu na washindani wa Magharibi, yamechukua msimamo tofauti katika uwanja huu.

  • Tarehe 7 Oktoba; kumbukumbu ya uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan

    Tarehe 7 Oktoba; kumbukumbu ya uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan

    Oct 09, 2023 23:06

    Miaka 22 iliyopita, Marekani iliishambulia nchi ya Afghanistan kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi na kurudisha amani nchini humo, jambo ambalo lilipelekea Waafghani kukabiliwa na matatizo na machungu mengi.

  • Hatua za kichochezi za Marekani kuunga mkono utawala wa Kizayuni

    Hatua za kichochezi za Marekani kuunga mkono utawala wa Kizayuni

    Oct 09, 2023 06:16

    Kufuatia mashambulizi makubwa ya makundi ya mapambano na ukumbozi wa Palestina katika maeneo yanayouzunguka Ukanda wa Ghaza, ambayo yamedhihirisha udhaifu na utepetevu mkubwa wa utawala wa Kizayuni, Marekani imepanga na kutekeleza hatua za kichochezi kwa kisingizio cha eti kuiunga mkono Tel Aviv na kuimarisha ari ya Wazayuni.

  • Kuongezeka pakubwa vifo vya ufyatuaji risasi miongoni mwa watoto na vijana nchini Marekani

    Kuongezeka pakubwa vifo vya ufyatuaji risasi miongoni mwa watoto na vijana nchini Marekani

    Oct 08, 2023 10:28

    Matokeo ya uchambuzi uliochapishwa hivi karibuni yanaonyesha kuwa kiwango cha vifo vinavyosababishwa na matumizi ya silaha kati ya watoto na vijana huko Marekani kimeongezeka na kufikia asilimia 87 kutoka mwaka 2011 hadi 2021.

  • Kuuzuliwa Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani: Jambo ambalo halijawahi kutokea

    Kuuzuliwa Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani: Jambo ambalo halijawahi kutokea

    Oct 05, 2023 04:48

    Kevin McCarthy, Spika wa Bunge la Wawakilishi la Marekani kutoka chama cha Republican juzi Jumanne aliuzuliwa na wabunge wa bunge hilo katika vuta nikuvute kati ya wabunge wa chama cha Republican wenye siasa kali na wenye msimamo wa wastani.

  • Rais wa Mexico akosoa misaada ya kijeshi ya US kwa Ukraine

    Rais wa Mexico akosoa misaada ya kijeshi ya US kwa Ukraine

    Oct 03, 2023 23:39

    Rais Andrés Manuel López Obrador wa Mexico ameikosoa vikali Marekani kwa kutumia mabilioni ya dola kuisheheneza kwa silaha Ukraine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS