Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kukata tamaa Marekani na Nato kuhusu ushindi wa Ukraine katika vita na Russia

    Kukata tamaa Marekani na Nato kuhusu ushindi wa Ukraine katika vita na Russia

    Sep 18, 2023 23:00

    Jenerali Mark Milley, mkuu wa majeshi ya Marekani, amesema ni vigumu kufikia natija ya haraka kuhusu vita vya Ukraine na kwamba muda mrefu zaidi unahitajika kabla ya Ukraine kufikia ushindi huo.

  • Njama za Marekani za kuongeza uwepo wake wa kijeshi nchini Yemen

    Njama za Marekani za kuongeza uwepo wake wa kijeshi nchini Yemen

    Sep 18, 2023 08:49

    Tangu mazungumzo kati ya Yemen na Saudi Arabia kuhitimisha vita yalipochukua mkondo wa azma ya kweli, harakati za kijeshi za Marekani na Uingereza nazo zimeongezeka na kuimarika ili kuimarisha uwepo wao wa kijeshi katika nchi hiyo.

  • Rais wa Sierra Leone asema Marekani ilimshinikiza kuingilia uchaguzi wa nchi hiyo

    Rais wa Sierra Leone asema Marekani ilimshinikiza kuingilia uchaguzi wa nchi hiyo

    Sep 17, 2023 04:40

    Rais Julius Maada Bio wa Sierra Leone aliituhumu Marekani Ijumaa kuwa ilimshinikiza kuingilia mchakato wa uchaguzi wa nchi hiyo uliofanyika June 24, kauli ambayo inapingana na msimamo ambao umekuwa ukionyeshwa na serikali ya Washington kuhusiana na kuwa huru uchaguzi wa nchi hiyo.

  • Iran: Tutajibu mapigo ya vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya

    Iran: Tutajibu mapigo ya vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya

    Sep 17, 2023 01:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itajibu mapigo kwa hatua ya kujikariri ya Umoja wa Ulaya na Uingereza ya kuendelea kulisakama taifa hili kwa vikwazo.

  • Al-Shabaab ya Somalia yaitishia Marekani, yasema italipiza kisasi

    Al-Shabaab ya Somalia yaitishia Marekani, yasema italipiza kisasi

    Sep 17, 2023 01:07

    Kiongozi mwandamizi wa kundi la kigaidi la al-Shabaab la Somalia ameionya Marekani kufuatia shambulizi la anga la hivi karibuni lililofanywa na ndege za kivita za US kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Uvunjaji ahadi mwingine wa Troika ya Ulaya kuhusu mapatano ya JCPOA

    Uvunjaji ahadi mwingine wa Troika ya Ulaya kuhusu mapatano ya JCPOA

    Sep 16, 2023 22:55

    Kupitia taarifa iliyochapishwa kwenye tovuti ya Umoja wa Ulaya Alhamisi usiku, Josep Burrell, mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya alitangaza kuwa nchi tatu za Ulaya, ambazo ni Uingereza, Ufaransa na Ujerumani, zimemwandikia barua zikitangaza kwamba hazitaondoa vikwazo vya makombora dhidi ya Iran, ambavyo muda wake umepangwa kumalizika tarehe 18 Oktoba 2023.

  • Iran: Mauaji ya kinyama ya Sabra na Shatila ni doa la aibu kwa waungaji mkono wa utawala wa Kizayuni

    Iran: Mauaji ya kinyama ya Sabra na Shatila ni doa la aibu kwa waungaji mkono wa utawala wa Kizayuni

    Sep 16, 2023 08:46

    Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mauaji ya Wapalestina wa Sabra na Shatila yaliyofanywa na askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameandika ujumbe usemao: Sabra na Shatila daima litabaki kuwa doa la aibu kwenye vipaji vya waungaji mkono wa utawala wa Israel na watetezi wa kizandiki wa haki za binadamu hususan Marekani na Uingereza.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran asema wizi wa mafuta uliofanywa na serikali ya Marekani haukubaliki

    Waziri wa Ulinzi wa Iran asema wizi wa mafuta uliofanywa na serikali ya Marekani haukubaliki

    Sep 16, 2023 04:39

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amezungumzia hatua ya serikali ya Marekani ya kutwaa meli ya mafuta ya Iran na kupora bidha iliyokuwemo akisema: Hatua ya serikali ya Marekani ni wizi ambao haukubaliwi kwa namna yoyote ile duniani.

  • Mkuu wa majeshi ya Marekani akiri rasmi kuwa wameshindwa katika vita vya Afghanistan

    Mkuu wa majeshi ya Marekani akiri rasmi kuwa wameshindwa katika vita vya Afghanistan

    Sep 15, 2023 22:55

    Mkuu wa majeshi ya Marekani Jenerali Mark Milley amekiri kuwa vita ilivyoanzisha nchi hiyo huko Afghanistan vimeishia kwa kushindwa vikosi vya jeshi hilo.

  • Hatua mpya ya Baraza la Wawakilishi la Marekani dhidi ya Iran; jaribio la kuzidisha mashinikizo

    Hatua mpya ya Baraza la Wawakilishi la Marekani dhidi ya Iran; jaribio la kuzidisha mashinikizo

    Sep 15, 2023 22:45

    Baraza la Wawakilishi la Marekani limepitisha mpango wa kiuadui dhidi ya Iran unaojulikana kama "Sheria ya Mahsa" kwa kura 410 za ndio na 3 za hapana. Mpango huo unailazimu serikali ya Marekani kuwawekea vikwazo maafisa wakuu wa Iran kwa kisingizio cha haki za binadamu, na wakati huo huo kupiga marufuku kuingizwa na kuuzwa nje silaha za Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS