Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Azimio la Baraza la Usalama kuhusu Gaza: Ni hatua ya lazima lakini haitoshi

    Azimio la Baraza la Usalama kuhusu Gaza: Ni hatua ya lazima lakini haitoshi

    Dec 23, 2023 04:48

    Ijumaa ya jana, Desemba 22, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipitisha azimio la kuongeza misaada ya kibinadamu kwa watu wa Ukanda wa Gaza bila kutoa wito wa kusitishwa mapigano. Marekani na Russia, wanachama wawili wa kudumu wa Baraza la Usalama, hazikulipigia kura azimio hilo. Wajumbe wengine 13 wamelipigia kura ya ndiyo.

  • Marekani yaikatisha tamaa Ukraine, onyo la Zelensky

    Marekani yaikatisha tamaa Ukraine, onyo la Zelensky

    Dec 23, 2023 02:50

    Kuendelea mvutano kati ya Warepublican na Ikulu ya White House juu ya kupasishwa msaada mpya kwa Ukraine, pamoja na kutoa kipaumbele Washington kwa vita vya Gaza na natija yake kusahaulika vita vya Ukraine, kumepelekea serikali ya Biden kuitahadharisha Kyiv kuhusu uwezekano wa kukatiwa au kupunguziwa kiasi kikubwa cha misaada yake.

  • Utafiti: Aghalabu ya Wamarekani wanapinga Israel kupewa misaada ya kijeshi

    Utafiti: Aghalabu ya Wamarekani wanapinga Israel kupewa misaada ya kijeshi

    Dec 22, 2023 22:58

    Uchunguzi wa maoni uliofanyika nchini Marekani unaonyesha kuwa, akthari ya wapiga kura nchini humo wanapinga mpango wowote wa Washington kuutumia utawala haramu wa Israel misaada zaidi ya kijeshi.

  • Al-Wefaq: Bahrain imewasaliti Wapalestina kwa kujiunga na muungano wa US

    Al-Wefaq: Bahrain imewasaliti Wapalestina kwa kujiunga na muungano wa US

    Dec 22, 2023 22:57

    Chama kikuu cha upinzani nchini Bahrain cha al-Wefaq kimesema hatua ya utawala wa Aal-Khalifa ya kujiunga na muungano wa baharini wa Marekani katika Bahari Nyekundu ni kusaliti kadhia ya Palestina.

  • Guterres: US iifutie Iran vikwazo ili JCPOA iendelee kutekelezwa

    Guterres: US iifutie Iran vikwazo ili JCPOA iendelee kutekelezwa

    Dec 19, 2023 23:35

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameitaka Marekani iiondolee vikwazo sekta ya mafuta ya Iran ili makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ambayo Washington ilijiondoa kwayo Mei mwaka 2019 yaendelee kutekelezwa.

  • Sisitizo la Putin la kutoziami nchi za Magharibi

    Sisitizo la Putin la kutoziami nchi za Magharibi

    Dec 18, 2023 23:04

    Siku ya Jumapili, Rais Vladimir Putin wa Russia alikiri katika hotuba isiyokuwa ya kawaida kwamba ni makosa kuzidhania vizuri na kuzitegemea nchi za Magharibi na kufikiria kuwa Russia haina tofauti na nchi hizo. Alisema: Nilidhani kimakosa kuwa hakungekuwepo mzozo kati ya Russia na nchi za Magharibi na kwamba ulimwengu ulikuwa umebadilika.

  • Washington Post: Marekani imetengwa kwa kuiunga mkono Israel

    Washington Post: Marekani imetengwa kwa kuiunga mkono Israel

    Dec 17, 2023 06:26

    Gazeti la Washington Post limeripoti kuwa, himaya na uungaji mkono kamili wa Marekani kwa utawala wa Kizayuni wa Israel umeifanya Washington kuwa chini ya mashinikizo ya ndani na nje ya Marekani.

  • Kambi ya jeshi ya Ain al-Asad ya US huko Iraq yashambuliwa kwa droni

    Kambi ya jeshi ya Ain al-Asad ya US huko Iraq yashambuliwa kwa droni

    Dec 15, 2023 07:53

    Kwa mara nyingine tena, wanamuqawama wa Kiislamu wa Iraq wamewashambulia kwa ndege isiyo na rubani (droni) wanajeshi wa vikosi vamizi vya Marekani katika kambi ya Ain al Asad huko Iraq.

  • Kuidhinishwa kuanza rasmi uchunguzi wa kumsaili Biden katika Bunge la Wawakilishi la Marekani

    Kuidhinishwa kuanza rasmi uchunguzi wa kumsaili Biden katika Bunge la Wawakilishi la Marekani

    Dec 14, 2023 23:26

    Bunge la wawakilishi la Marekani jana Jumatano lilipasisha azimio kwa kura 221 za ndio mkabala wa 212 za kupinga kuanzisha rasmi uchunguzi wa kumsaili Rais Joe Biden wa nchi hiyo. Kabla ya kura hiyo, Kelly Armstrong, Mwakilishi wa Kongresi ya Marekani kwa niaba ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi la Marekani, alichapisha rasimu ya azimio kwa ajili ya kuendelea uchunguzi huo tajwa kwa lengo la kumuuzulu Rais Joe Biden wa Marekani.

  • Mwanaharakati wa haki za binadamu wa Marekani: Mahakama ya Kimataifa ya Haki ni mtumwa wa Marekani

    Mwanaharakati wa haki za binadamu wa Marekani: Mahakama ya Kimataifa ya Haki ni mtumwa wa Marekani

    Dec 13, 2023 01:57

    Mwanaharakati wa haki za binadamu wa Marekani amesema Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu kwa sehemu kubwa ni mtumwa wa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS