Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Daily Mail: MOSSAD inaongoza kwa mauaji ya kigaidi duniani

    Daily Mail: MOSSAD inaongoza kwa mauaji ya kigaidi duniani

    Jul 29, 2018 07:09

    Gazeti la Daily Mail la Uingereza limeripoti kuwa shirika la ujasusi la Israel Mossad linaongoza duniani kwa kufanya mauaji ya kigaidi.

  • Ripoti: Mashambulizi ya 'kigaidi' Msumbiji yameua watu 39 tangu Mei

    Ripoti: Mashambulizi ya 'kigaidi' Msumbiji yameua watu 39 tangu Mei

    Jun 20, 2018 03:12

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kwa akali watu 39 wameuawa katika mashambulizi yanayoaminika kuwa ya kigaidi huko kaskazini mwa Msumbiji tangu mwezi Mei mwaka huu hadi sasa.

  • Nchi 120 katika Umoja wa Mataifa zalaani mauaji yanayofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina

    Nchi 120 katika Umoja wa Mataifa zalaani mauaji yanayofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina

    Jun 13, 2018 22:17

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeidhinisha azimio linaloulaumu na kuulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kufanya mauaji dhidi raia wa Kipalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Palestina yaitaka UN ichunguze mauaji yanayofanywa na Israel huko Gaza

    Palestina yaitaka UN ichunguze mauaji yanayofanywa na Israel huko Gaza

    Jun 09, 2018 03:18

    Balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa Baraza Kuu la umoja huo kukumbatia azimio linalotaka kuchunguzwa jinai za kutisha zinazoendelea kufanywa na wanajeshi katili wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Hamas: Utawala wa Kizayuni ndio uliomuuwa Fadi al Batsh

    Hamas: Utawala wa Kizayuni ndio uliomuuwa Fadi al Batsh

    Apr 27, 2018 03:19

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeutaja utawala wa kizayuni wa Israel kuwa ndio uliomuua Fadi al Batsh msomi na mwanasayansi wa Kipalestina huko Malaysia.

  • Matokeo ya sera za kigaidi za utawala wa Saudia nchini Yemen

    Matokeo ya sera za kigaidi za utawala wa Saudia nchini Yemen

    Apr 24, 2018 22:00

    Wizara ya Ulinzi na Kamandi Kuu ya Vikosi vya Majeshi ya Yemen zimetoa taarifa na kutangaza kuwa, jinai ya hivi karibuni ya Saudia ya kumuua kigaidi Saleh al Sammad, Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen, ni jinai ambayo itapata jibu kali sana.

  • MOSSAD, mshukiwa mkuu wa mauaji ya kigaidi ya msomi wa Kipalestina nchini Malaysia

    MOSSAD, mshukiwa mkuu wa mauaji ya kigaidi ya msomi wa Kipalestina nchini Malaysia

    Apr 22, 2018 20:53

    Khaled Al-Batsh, mmoja wa viongozi wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina, amesema Shirika la Ujasusi la Utawala wa Kizayuni wa Israel MOSSAD ndilo lililohusika na mauaji ya kigaidi ya msomi mtajika wa Kipalestina Fadi Muhammad Al-Batsh nchini Malaysia.

  • Radiamali ya Hamas kufuatia kuuliwa Fadi al Batsh nchini Malaysia

    Radiamali ya Hamas kufuatia kuuliwa Fadi al Batsh nchini Malaysia

    Apr 22, 2018 09:17

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeutuhumu utawala wa Kizayuni kuwa umehusika kumuua Fadi al Batsh mwanachama wa harakati hiyo na kutahadharisha kuwa italipiza kisasi damu ya raia huyo wa Palestina.

  • MOSSAD latajwa kuhusika na mauaji ya kigaidi ya mwanasayansi wa Kipalestina nchini Malaysia

    MOSSAD latajwa kuhusika na mauaji ya kigaidi ya mwanasayansi wa Kipalestina nchini Malaysia

    Apr 22, 2018 03:19

    Harakati ya Palestina ya Al Mujahidin imesema: mauaji ya kigaidi ya mhandisi Fadi Muhammad al-Batsh ni jinai iliyotendwa na Israel kwa lengo la kuzima fikra ya ubunifu na uvumbuzi wa Kiislamu; hata hivyo Wazayuni wajue kwamba hawatoweza katu kukwamisha ustawi wa harakati ya kielimu na kifikra ya Muqawama.

  • HAMAS yashangazwa na matamshi ya Abbas kwamba ilitaka kumuua Rami Hamdallah

    HAMAS yashangazwa na matamshi ya Abbas kwamba ilitaka kumuua Rami Hamdallah

    Mar 20, 2018 03:59

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeshangazwa na matamshi ya Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas aliyedai kwamba harakati hiyo ilijaribu kumuua Waziri Mkuu wa Serikali ya Ndani ya Palestina, Rami Hamdallah akiwa safarini katika Ukanda wa Ghaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS