-
Zaidi ya 60 wauawa katika mapigano ya kikabila Ethiopia
Dec 18, 2017 04:08Kwa akali watu 61 wameuawa katika wimbi jipya la mapigano ya kikabila katika eneo la Oromiya nchini Ethiopia.
-
Jaribio la mauaji ya Waziri Mkuu wa Uingereza lazimwa
Dec 06, 2017 01:22Polisi ya Uingereza imetangaza kuwa, imezima jaribio la mauaji ya kigaidi dhidi ya Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Theresa May.
-
Utawala wa Bahrain umekusudia kumuua kwa njia isiyo ya moja kwa moja Ayatullah Sheikh Isa Qassim
Dec 03, 2017 03:46Mjumbe mwandamizi wa Umoja wa Maulamaa wanaounga mkono Muqawama amesema hatua za utawala wa Bahrain dhidi ya kiongozi wa kidini wa nchi hiyo Ayatullah Sheikh Isa Qassim ni sawa na kumuua mwanazuoni huyo wa Kiislamu kwa njia isiyo ya moja kwa moja.
-
Hamas: Mossad ndiyo iliyomuua kigaidi Muhammad al Zawawi
Nov 16, 2017 12:19Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kuwa shirika la ujasusi la Israel, Mossad ndilo lililohusika na mauaji ya kigaidi ya mtaalamu wa masuala ya anga wa Tunisia ambaye pia alikuwa mtaalamu wa kutengeneza ndege zisizo na rubani wa harakati hiyo, Muhammad al Zawawi.
-
Mamia wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Ethiopia
Sep 26, 2017 04:29Serikali ya Ethiopia imesema mamia ya watu wameuawa katika mapigano ya kikabila yaliyozuka mapema mwezi huu kusini na mashariki mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
60 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya makundi hasimu ya kigaidi Somalia
Jul 23, 2017 09:19Kwa akali watu 20 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya makundi hasimu ya wanamgambo kutandikana yenyewe kwa yenyewe katikati mwa Somalia.
-
Wamisri 292 wafikishwa mahakamani kwa tuhuma ya kutaka kumuua al Sisi
Jul 10, 2017 01:34Watu 292 wa Misri wamefikishwa katika mahakama ya kijeshi ya nchi hiyo kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na kundi la kigaidi la Daesh na kupanga njama ya kutaka kumuua Rais wa nchi hiyo, Abdul Fattah al Sisi.
-
Ijumaa, Julai 7, 2017
Jul 06, 2017 23:16Leo ni Ijumaa tarehe 12 Mfunguo Mosi, Shawwal 1438 Hijria, sawa na 07 Julai 2017 Milaadia.
-
Jumanne 27 Juni, 2017
Jun 26, 2017 22:04Leo ni Jumanne tarehe Pili Shawwal 1438 Hijria, inayosadifiana na tarehe 27 Juni 2017.
-
Maandamano yafanyika Marekani baada ya kuuawa binti Muislamu
Jun 20, 2017 03:39Habari ya kuuawa msichana mmoja wa Kiislamu nchini Marekani katika shambulizi lililofanywa na mtu mwenye chuki dhidi ya dini ya Uislamu katika jimbo la Virginia imezusha malalamiko na maandamano nchini humo.