Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Mamia wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Ethiopia

    Mamia wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Ethiopia

    Sep 26, 2017 04:29

    Serikali ya Ethiopia imesema mamia ya watu wameuawa katika mapigano ya kikabila yaliyozuka mapema mwezi huu kusini na mashariki mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • 60 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya makundi hasimu ya kigaidi Somalia

    60 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya makundi hasimu ya kigaidi Somalia

    Jul 23, 2017 09:19

    Kwa akali watu 20 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya makundi hasimu ya wanamgambo kutandikana yenyewe kwa yenyewe katikati mwa Somalia.

  • Wamisri 292 wafikishwa mahakamani kwa tuhuma ya kutaka kumuua al Sisi

    Wamisri 292 wafikishwa mahakamani kwa tuhuma ya kutaka kumuua al Sisi

    Jul 10, 2017 01:34

    Watu 292 wa Misri wamefikishwa katika mahakama ya kijeshi ya nchi hiyo kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na kundi la kigaidi la Daesh na kupanga njama ya kutaka kumuua Rais wa nchi hiyo, Abdul Fattah al Sisi.

  • Ijumaa, Julai 7, 2017

    Ijumaa, Julai 7, 2017

    Jul 06, 2017 23:16

    Leo ni Ijumaa tarehe 12 Mfunguo Mosi, Shawwal 1438 Hijria, sawa na 07 Julai 2017 Milaadia.

  • Jumanne 27 Juni, 2017

    Jumanne 27 Juni, 2017

    Jun 26, 2017 22:04

    Leo ni Jumanne tarehe Pili Shawwal 1438 Hijria, inayosadifiana na tarehe 27 Juni 2017. 

  • Maandamano yafanyika Marekani baada ya kuuawa binti Muislamu

    Maandamano yafanyika Marekani baada ya kuuawa binti Muislamu

    Jun 20, 2017 03:39

    Habari ya kuuawa msichana mmoja wa Kiislamu nchini Marekani katika shambulizi lililofanywa na mtu mwenye chuki dhidi ya dini ya Uislamu katika jimbo la Virginia imezusha malalamiko na maandamano nchini humo.

  • Jumanne 20 Juni, 2017

    Jumanne 20 Juni, 2017

    Jun 19, 2017 21:57

    Leo ni Jumanne tarehe 25 Ramadhani mwaka 1438 Hijria sawa na tarehe 20 Juni mwaka 2017.

  • Mke wa Waziri Mkuu Mpya wa Lesotho auawa kwa kupigwa risasi

    Mke wa Waziri Mkuu Mpya wa Lesotho auawa kwa kupigwa risasi

    Jun 15, 2017 10:56

    Mke wa Tom Thabane, Waziri Mkuu Mpya wa Lesotho alipigwa risasi na mtu asiyejulikana jana jioni masaa machache baada ya mumewe kuapishwa, kitendo kilichozidisha wasiwasi kuhusu uwezekano wa kuibuka wimbi jipya la ghasia za kisiasa katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.

  • Watu 12 wauawa na kujeruhiwa kwa risasi Florida, Marekani

    Watu 12 wauawa na kujeruhiwa kwa risasi Florida, Marekani

    Jun 05, 2017 23:00

    Watu 12 wameuawa na kujeruhiwa katika tukio la ufyatuaji risasi katika wilaya ya Orlando, jimboni Florida nchini Marekani.

  • ICC: Mauaji ya kutisha CAR lazima yakomeshwe

    ICC: Mauaji ya kutisha CAR lazima yakomeshwe

    May 24, 2017 03:22

    Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC amelaani vikali mauaji ya kutisha yanayofanyika Jamhuri ya Afrika ya Kati huku ikitaka mapigano mapya yanayoendelea katika mji wa Bangassou, karibu na mpaka wa nchi hiyo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yasitishwe mara moja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS