Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Jumanne 20 Juni, 2017

    Jumanne 20 Juni, 2017

    Jun 19, 2017 21:57

    Leo ni Jumanne tarehe 25 Ramadhani mwaka 1438 Hijria sawa na tarehe 20 Juni mwaka 2017.

  • Mke wa Waziri Mkuu Mpya wa Lesotho auawa kwa kupigwa risasi

    Mke wa Waziri Mkuu Mpya wa Lesotho auawa kwa kupigwa risasi

    Jun 15, 2017 10:56

    Mke wa Tom Thabane, Waziri Mkuu Mpya wa Lesotho alipigwa risasi na mtu asiyejulikana jana jioni masaa machache baada ya mumewe kuapishwa, kitendo kilichozidisha wasiwasi kuhusu uwezekano wa kuibuka wimbi jipya la ghasia za kisiasa katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.

  • Watu 12 wauawa na kujeruhiwa kwa risasi Florida, Marekani

    Watu 12 wauawa na kujeruhiwa kwa risasi Florida, Marekani

    Jun 05, 2017 23:00

    Watu 12 wameuawa na kujeruhiwa katika tukio la ufyatuaji risasi katika wilaya ya Orlando, jimboni Florida nchini Marekani.

  • ICC: Mauaji ya kutisha CAR lazima yakomeshwe

    ICC: Mauaji ya kutisha CAR lazima yakomeshwe

    May 24, 2017 03:22

    Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC amelaani vikali mauaji ya kutisha yanayofanyika Jamhuri ya Afrika ya Kati huku ikitaka mapigano mapya yanayoendelea katika mji wa Bangassou, karibu na mpaka wa nchi hiyo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yasitishwe mara moja.

  • Makumi wauawa katika mapigano ya makundi hasimu Libya

    Makumi wauawa katika mapigano ya makundi hasimu Libya

    May 19, 2017 03:00

    Makumi ya watu wameuawa baada ya vikosi tiifu kwa makundi hasimu ya kisiasa nchini Libya kukabiliana huko kusini mwa nchi.

  • Msalaba Mwekundu: Waliouawa CAR ni zaidi ya watu 115

    Msalaba Mwekundu: Waliouawa CAR ni zaidi ya watu 115

    May 17, 2017 09:15

    Wafanyakazi wa Shirika la Msalaba Mwekundu wamegundua miili 115 katika mji wa Bangassou, huko Jamhuri ya Afrika ya Kati, siku chache baada ya genge la waasi wa Kikristo la Anti-Balaka kuvamia mji huo.

  • Waziri auawa 'kimakosa' mjini Mogadishu, Somalia

    Waziri auawa 'kimakosa' mjini Mogadishu, Somalia

    May 04, 2017 03:07

    Waziri wa Ujenzi na Ukarabati wa Somalia ameuawa kwa kupigwa risasi kimakosa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.

  • Raia 45 wauawa katika mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Raia 45 wauawa katika mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati

    May 02, 2017 12:09

    Magenge ya waasi wanaobeba silaha katika Jamhuri ya Afrika ya Kati yameua makumi ya raia nchini humo katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.

  • Ethiopia yakataa wito wa UN na EU wa kufanyika uchunguzi dhidi yake

    Ethiopia yakataa wito wa UN na EU wa kufanyika uchunguzi dhidi yake

    Apr 18, 2017 21:59

    Waziri Mkuu wa Ethiopia amekataa wito wa Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya wa kufanyika uchunguzi huru juu ya mauaji ya mamia ya watu wakati wa maandamano ya miezi kadhaa dhidi ya serikali ya Addis Ababa nchini humo.

  • Wimbi la mauaji laendelea Sudan Kusini, 14 wauawa

    Wimbi la mauaji laendelea Sudan Kusini, 14 wauawa

    Apr 16, 2017 02:44

    Kwa akali watu 14 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika mapigano mapya baina ya wanajeshi wa serikali na waasi katika mji wa Raga nchini Sudan Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS