Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mazingira

  • Marekani yakataa kujibu barua ya maripota wa UN kuhusu vikwazo dhidi ya Iran

    Marekani yakataa kujibu barua ya maripota wa UN kuhusu vikwazo dhidi ya Iran

    Dec 25, 2022 11:58

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa chini ya vikwazo vya upande mmoja vya Marekani kwa zaidi ya miaka 40. Kuwekwa vikwazo dhidi ya Iran katika kipindi cha uongozi wa Donald Trump, rais wa zamani wa Marekani baada ya kujitoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kuanzisha kampeni ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa, kumezidisha vikwazo visivyo na kifani vya nchi hiyo dhidi ya taifa la Iran.

  • Raisi: Kulinda mazingira ni  jambo la dharura na kipaumbele kisichoepukika

    Raisi: Kulinda mazingira ni jambo la dharura na kipaumbele kisichoepukika

    Jul 12, 2022 11:19

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika Mkutano wa Mawaziri wa eneo hili kuhusu ushirikiano wa mazingira kwa mustakabali bora kwamba; umuhimu wa mazingira unapasa kuzingatiwa na kwamba kila mmoja anapasa kulinda mazingira mbali na mitazamo ya kawaida, kidiplomasia na kisiasa.

  • Kuanza kikao cha sita cha viongozi wa Bahari ya Kaspi huko Ashgabat

    Kuanza kikao cha sita cha viongozi wa Bahari ya Kaspi huko Ashgabat

    Jun 30, 2022 09:22

    Baada ya kusimamishwa kwa mwaka mmoja, kikao cha sita cha viongozi wa nchi tano zinazopakana na Bahari ya Kaspi kilianza Jumatano alasiri huko Ashgabat, mji mkuu wa Turkmenistan.

  • Guterres: Dunia inasuasua kuhusu janga la hali ya hewa

    Guterres: Dunia inasuasua kuhusu janga la hali ya hewa

    Mar 21, 2022 15:20

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, jana alisema kuwa, ulimwengu unajikongoja kuhusu janga la hali ya hewa huku nchi zilizostawi kiuchumi duniani zikiruhusu kuongezeka uchafuzi wa mazingira kupitia gesi ya carbon katika hali ambayo uchafuzi wa mazingira unapasa kupunguzwa kwa kiasi kikubwa.

  • UN yaonya, vifo vya uchafuzi wa mazingira ni zaidi ya vifo vya corona

    UN yaonya, vifo vya uchafuzi wa mazingira ni zaidi ya vifo vya corona

    Feb 17, 2022 08:20

    Afisa wa Umoja wa Mataifa amesema vifo vinavyotokana na uchafuzi wa mazingira, kama vile uchafuzi wa hali ya hewa, vinazidi vile vinavyosababishwa na janga la corona.

  • Nchi za Ulaya zinaziuzia nchi za Afrika dizeli inayoua

    Nchi za Ulaya zinaziuzia nchi za Afrika dizeli inayoua

    Jun 06, 2019 02:33

    Mtaalamu maalum wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa kuhusu taka hatarishi na za sumu amezionya kampuni za Ulaya ambazo zinaziuzia nchi za Afrika nishati chafuzi yakiwemo mafuta ya dizeli yenye kemikali za sumu.

  • WHO: Watu milioni 7 wanapoteza maisha kila mwaka duniani kwa kuvuta hewa chafu

    WHO: Watu milioni 7 wanapoteza maisha kila mwaka duniani kwa kuvuta hewa chafu

    Nov 01, 2018 01:24

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema kuwa, uchafu uliojaa katika hewa unasababisha vifo vya watu milioni saba kila mwaka katika kona mbalimbali za dunia.

  • Plastiki zapigwa vita katika Siku ya Mazingira Duniani

    Plastiki zapigwa vita katika Siku ya Mazingira Duniani

    Jun 05, 2018 07:26

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kukataa matumizi ya plastiki zinazotumika mara moja na kutupwa.

  • Mkutano wa mazingira wa Umoja wa Mataifa waanza Nairobi

    Mkutano wa mazingira wa Umoja wa Mataifa waanza Nairobi

    Dec 04, 2017 07:11

    Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Miroslav Lajčák aliyeko ziarani nchini Kenya, amesema maendeleo hayapaswi kusababisha uharibifu wa mazingira.

  • Guterres: Umoja wa Mataifa umeazimia kulinda mazingira

    Guterres: Umoja wa Mataifa umeazimia kulinda mazingira

    Nov 06, 2017 12:51

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza kuhusu azma ya umoja huo ya kulinda mazingira duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS