Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mazingira

  • Mwaka 2017 watarajiwa kuvunja rekodi ya kuwa na joto kali

    Mwaka 2017 watarajiwa kuvunja rekodi ya kuwa na joto kali

    Nov 06, 2017 08:00

    Mwaka huu 2017 unatarajiwa kawa miongoni mwa miaka mitatu iliyovunja rekodi ya kuwa na jioto kali katika historia ya sayari ya dunia.

  •  Watu wa Asili, Tabaka Lililokandamizwa Zaidi katika Dunia ya Leo

    Watu wa Asili, Tabaka Lililokandamizwa Zaidi katika Dunia ya Leo

    Aug 09, 2017 18:38

    Tarehe 23 Disemba mwaka 1994 Umoja wa Mataifa uliitangaza tarehe 9 Agosti kila mwaka kuwa ni Siku ya Kimataifa ya Watu wa Asili (Indigenous). Siku hiyo ilitangazwa rasmi ili kukumbuka na kutetea haki za zaidi ya watu milioni 370 wa asili katika nchi 90 duniani.

  • Mataa yazimwa kwa saa moja duniani kulinda mazingira

    Mataa yazimwa kwa saa moja duniani kulinda mazingira

    Mar 26, 2017 13:52

    Miji ya nchi 170 duniani, ikiwemo Iran imeshiriki kwenye zoezi la kuzima taa kwa muda wa saa moja jioni ya tarehe 25 Machi.

  • Iran yaunda mashine ya kusafisha maji ya chumvi inayotumia nguvu za jua

    Iran yaunda mashine ya kusafisha maji ya chumvi inayotumia nguvu za jua

    Mar 01, 2017 08:34

    Karibuni katika mjumuiko huu wa vipindi ambavyo huangazia maendeleo mapya katika sekta za sayansi, teknolojia na tiba duniani na hasa nchini Iran na baadhi ya maeneo mengine duniani. Leo tutaangazia mafanikio ya Iran katika kuunda mashine ya kusafisha maji ya chumvi inayotumia nishati ya jua. Karibuni

  • Siku ya Kimataifa ya Kulindwa Tabaka la Ozoni

    Siku ya Kimataifa ya Kulindwa Tabaka la Ozoni

    Sep 14, 2016 12:22

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Karibuni katika kipindi hiki cha kila wiki ambapo leo tumekuandalieni makala hii kwa mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Kulindwa Tabaka la Ozoni.

  • UNEA yaidhinisha maazimio 25 ya kuimarisha maendeleo endelevu

    UNEA yaidhinisha maazimio 25 ya kuimarisha maendeleo endelevu

    May 28, 2016 16:01

    Mkutano wa pili wa Umoja wa Mataifa kuhusu mazingira UNEA2 umepasisha maazimio 25 yanayolenga kuchochea zaidi maendeleo endelevu yasiyochafua mazingira.

  • UN: Kutunza Mazingira ni msingi wa amani, maendeleo

    UN: Kutunza Mazingira ni msingi wa amani, maendeleo

    May 27, 2016 03:31

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Jan Eliasson , amesema kutunza mazingira ni msingi wa amani, maendeleo na ubinadamu kwa wote.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS