Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mbaroni

  • Utawala wa Aal Saud wazipiga mnada mali za bilionea wa nchi hiyo

    Utawala wa Aal Saud wazipiga mnada mali za bilionea wa nchi hiyo

    Mar 18, 2018 16:36

    Maafisa wa utawala wa Aal Saud leo wamezipiga mnada mali za bilionea wa nchi hiyo Maan al-Sanea ambaye alitiwa nguvuni mwezi Oktoba mwaka uliopita wa 2017 pamoja na makumi ya wanawafalme na shakhsia wengine kadhaa mashuhuri wa nchi hiyo.

  • Mwana wa mpinzani mkuu wa el Sisi katika uchaguzi ujao Misri, atiwa mbaroni

    Mwana wa mpinzani mkuu wa el Sisi katika uchaguzi ujao Misri, atiwa mbaroni

    Feb 08, 2018 07:11

    Mwana wa mkuu wa zamani wa jeshi la Misri ambaye ni mpinzani mkuu wa Rais Abdel Fattah el Sisi katika uchaguzi ujao wa rais ametiwa mbaroni wiki moja tu tangu alipoweka kizuizini baba yake.

  • Magaidi wanne watiwa mbaroni katikati ya Somalia

    Magaidi wanne watiwa mbaroni katikati ya Somalia

    Feb 08, 2018 03:59

    Jeshi la Somalia limetangaza habari ya kutiwa mbaroni magaidi wanne wa genge la wakufurishaji la al Shabab, katikati ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Makamanda 23 wanaomuunga mkono Anan watiwa mbaroni Misri

    Makamanda 23 wanaomuunga mkono Anan watiwa mbaroni Misri

    Feb 03, 2018 07:48

    Idaya ya usalama nchini Misri imewatia mbaroni makamanda 23 miongoni mwa wafuasi wa Sami Hafez Anan, mkuu wa zamani wa majeshi nchini humo ambaye alitangaza azma yake ya kutaka kugombea uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.

  • Wapinzani wa serikali wazidi kutiwa mbaroni nchini Sudan

    Wapinzani wa serikali wazidi kutiwa mbaroni nchini Sudan

    Feb 03, 2018 03:37

    Idadi ya wakuu wa vyama vya siasa, wanaharakati wa kisiasa na waandishi wa habari waliotiwa mbaroni nchini Sudan tangu yalipoanza malalamiko ya wananchi ya kulalamika kupanda bei ya bidhaa imeongezeka nchini humo.

  • Utawala wa Bahrain wawahukumu makumi ya raia adhabu ya kifo, kifungo cha maisha jela na kuwavua uraia

    Utawala wa Bahrain wawahukumu makumi ya raia adhabu ya kifo, kifungo cha maisha jela na kuwavua uraia

    Jan 31, 2018 15:27

    Mahakama ya Jinai ya Bahrain leo imeendeleza sera kandamizi za utawala wa kiimla wa Aal Khalifa kwa kuwahukumu adhabu ya kifo, kifungo cha maisha jela na kuwavua uraia makumi ya raia wa nchi hiyo.

  • Hatimaye Bin Salman amuachilia huru bilionea Al-Waleed bin Talal na wenzake baada ya kutii amri yake

    Hatimaye Bin Salman amuachilia huru bilionea Al-Waleed bin Talal na wenzake baada ya kutii amri yake

    Jan 27, 2018 16:25

    Hatimaye Mohammad Bin Salman Al Saud, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia amemuachilia huru bilionea Al-Waleed bin Talal na wanawafalme wengine baada ya kukubali kuhamisha kiasi kikubwa cha fedha zao kutoka kwenye akauti zao za benki na kuziweka kwenye akaunti za serikali pamoja na kutimiza masharti mengine mkabala wa kuachiliwa kwao huru.

  • Mbali na kutiwa mbaroni mwanamfalme bilionea wa Saudia, serikali yampokonya hoteli yake

    Mbali na kutiwa mbaroni mwanamfalme bilionea wa Saudia, serikali yampokonya hoteli yake

    Jan 22, 2018 08:08

    Katika mwendelezo wa kuwatia jela wanawafalme wanaompinga Mohammad bin Salman bin Abdulaziz Al Saud, Mrithi wa Kiti cha Ufalme na Waziri wa Ulinzi wa Saudia, serikali ya nchi hiyo imetwaa kwa nguvu hoteli ya kimataifa ya Dar Al Tawhid ya mjini Makkah.

  • Wanawafalme na viongozi 60 wa Saudia, wahamishiwa jela ya al-Ha'ir

    Wanawafalme na viongozi 60 wa Saudia, wahamishiwa jela ya al-Ha'ir

    Jan 09, 2018 08:18

    Gazeti la Al-Araby Al-Jadeed limeandika kwamba, kwa akali wanawafalme na viongozi 60 wa ngazi ya juu wa zamani serikali nchini Saudia ambao walitiwa mbaroni na Mwanamfalme Mohammad bin Salman bin Abdulaziz Al Saud katika hoteli ya kifahari ya Ritz-Carlton ya mjini Riyadh, wamehamishiwa jela ya al-Ha'ir nchini humo.

  • Kiongozi wa wanaotaka kujitenga Cameroon atiwa nguvuni nchini Nigeria

    Kiongozi wa wanaotaka kujitenga Cameroon atiwa nguvuni nchini Nigeria

    Jan 07, 2018 13:01

    Kiongozi wa harakati ya wanaotaka kujitenga nchini Cameroon ametiwa nguvuni katika mji mkuu wa nchi jirani ya Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS