Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mbaroni

  • Wanawafalme wengine 11 walioandamana dhidi ya Bin Salman Riyadh watiwa mbaroni

    Wanawafalme wengine 11 walioandamana dhidi ya Bin Salman Riyadh watiwa mbaroni

    Jan 06, 2018 16:41

    Wanawafalme 11 walioandamana mbele ya kasri la ufalme wa Saudi Arabia mjini Riyadh wametiwa mbaroni na askari wa gadi ya mfalme wa nchi hiyo na kupelekwa jela ya al-Ha'ir ya nchi hiyo.

  • Makumi ya wapinzani watiwa mbaroni Equatorial Guinea

    Makumi ya wapinzani watiwa mbaroni Equatorial Guinea

    Dec 30, 2017 07:37

    Chama kimoja cha upinzani cha Equatorial Guinea kimesema kuwa, makumi ya wanachama wake wametiwa mbaroni na serikali.

  • Mwanamfalme wa Saudi Arabia atiwa nguvuni Beirut akiwa na dawa za kulevya

    Mwanamfalme wa Saudi Arabia atiwa nguvuni Beirut akiwa na dawa za kulevya

    Dec 24, 2017 03:24

    Askari usalama wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Beirut nchini Lebanon wamemtia nguvuni mwanamfalme wa Saudi Arabia akiwa na dawa za kulevya.

  • Kamanda wa kundi moja la waasi atiwa mbaroni Darfur Sudan

    Kamanda wa kundi moja la waasi atiwa mbaroni Darfur Sudan

    Nov 27, 2017 15:15

    Wizara ya Ulinzi ya Sudan imetangaza habari ya kutiwa mbaroni kamanda wa kundi moja la waasi wa eneo la Darfur la magharibi mwa Sudan kwa tuhuma za kuvunja haki za binadamu.

  • Libya yaanzisha uchunguzi kuhusu biashara ya utumwa

    Libya yaanzisha uchunguzi kuhusu biashara ya utumwa

    Nov 20, 2017 02:48

    Naibu Mkuu wa Baraza la Uongozi la Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya amesema kuwa wameanzisha uchunguzi kuhusu suala la kushikiliwa na kuuzwa wahajiri kama watumwa karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.

  • Wimbi la kamatakamata Saudia kwa madai ya ufisadi laendelea, sasa ni viongozi wa kijeshi

    Wimbi la kamatakamata Saudia kwa madai ya ufisadi laendelea, sasa ni viongozi wa kijeshi

    Nov 19, 2017 07:49

    Katika muendelezo wa wimbi jipya la kamatakamata ambalo halijawahi kushuhudiwa nchini Saudia kwa madai ya kufanyika mageuzi na kupambana na ufisadi viongozi wa ngazi ya juu wa kijeshi wametiwa nguvuni nchini humo.

  • Magaidi wawili watiwa mbaroni kaskazini mwa Morocco

    Magaidi wawili watiwa mbaroni kaskazini mwa Morocco

    Nov 11, 2017 07:23

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Morocco imetangaza habari ya kutiwa mbaroni magaidi wawili kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Wanawafalme waendelea kukamatwa Saudia, mgogoro watokota, masoko ya hisa yaporomoka

    Wanawafalme waendelea kukamatwa Saudia, mgogoro watokota, masoko ya hisa yaporomoka

    Nov 09, 2017 04:01

    Wimbi jipya la kuwakamata wanawafalme limeripotiwa nchini Saudi Arabia ambapo wanawafalme wanaofungamana na Mohammad bin Nayef, mritihi wa kitu cha ufalme aliyeuzuliwa nao wametiwa mbaroni huku mgogoro mkubwa ukitokota katika ukoo wa Aal Saud.

  • Makumi ya Wanamfalme, mawaziri wa zamani na wa sasa wa Saudia wawekwa kizuizini

    Makumi ya Wanamfalme, mawaziri wa zamani na wa sasa wa Saudia wawekwa kizuizini

    Nov 05, 2017 08:06

    Utawala wa kifalme wa Saudi Arabia umewatia nguvuni na kuwaweka kizuizini makumi ya Wanamfalme na mawaziri wa zamani na wa sasa wa utawala huo kwa kisingizio cha kupambana na ufisadi.

  • Waandamanaji karibu 30 watiwa mbaroni mashariki mwa Kongo DR

    Waandamanaji karibu 30 watiwa mbaroni mashariki mwa Kongo DR

    Nov 01, 2017 08:02

    Duru za polisi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimearifu kuwa watu karibu 30 wametiwa nguvuni katika maandamano dhidi ya serikali katika mji wa Goma makao makuu ya mkoa wa Kivu ya Kaskazini huko mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS