Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mfungwa wa kisiasa

  • Al Burhan: Jeshi la Sudan litaacha siasa baada ya uchaguzi wa 2023

    Al Burhan: Jeshi la Sudan litaacha siasa baada ya uchaguzi wa 2023

    Dec 05, 2021 02:49

    Mkuu wa jeshi la Sudan, Abdel Fattah Al-Burhan, amesema kwamba jeshi litaondoka kwenye uwanja wa siasa baada ya uchaguzi uliopangwa kufanyika 2023, na kuongeza kuwa kuna "ishara nzuri" zinazohusiana na uungaji mkono mpya wa jamii ya kimataifa kwa Khartoum.

  • Ripoti: Mateka wa kike wa Palestina wanakabiliwa na hali mbaya katika jela za Israel

    Ripoti: Mateka wa kike wa Palestina wanakabiliwa na hali mbaya katika jela za Israel

    Jul 31, 2021 03:46

    Kamati ya Masuala ya Mateka wa Palestina imetangaza kuwa mahabusu na mateka wa kike wa Palestina wanaoshikiliwa katika jela za Israel wanaendelea kusumbuliwa na ukatili na hali ngumu kupita kiasi.

  • Mfungwa wa tatu wa kisiasa afia jela akiteswa nchini Misri

    Mfungwa wa tatu wa kisiasa afia jela akiteswa nchini Misri

    Mar 23, 2020 09:28

    Jumuiya za kutetea haki za binadamu nchini Misri zimatangaza kuwa, mfungwa mwingine wa kisiasa amefia jela akiwa chini ya mateso ya maafisa usalama wa nchi hiyo.

  • Mahakama ya Saudia yamhukumu kifo mfungwa wa kisiasa wa Qatif

    Mahakama ya Saudia yamhukumu kifo mfungwa wa kisiasa wa Qatif

    Jul 29, 2019 22:28

    Mahakama ya utawala wa Saudi Arabia imemhukumu kifo mfungwa wa kisiasa mkazi wa jimbo la Waislamu wa madhehebu ya Shia la al Sharqiyyah katika mji wa Qatif.

  • Mgomo wa chakula wa masheikh wanaozuiliwa katika jela za Saudi Arabia

    Mgomo wa chakula wa masheikh wanaozuiliwa katika jela za Saudi Arabia

    Feb 24, 2019 06:57

    Sambamba na Sheikh Abdullah Hamid Ali al-Hamid, kiongozi wa kidini na mwanaharakati wa sheria nchini Saudi Arabia kususia kula chakula katika moja ya jela za nchi hiyo, wafungwa wengine wanaozuliwa katika korokoro za utawala wa Aal-Saud nao pia walianzisha mgomo huo.

  • Wafungwa zaidi ya elfu tano wa makosa ya kiusalama wako jela Saudia

    Wafungwa zaidi ya elfu tano wa makosa ya kiusalama wako jela Saudia

    Jan 12, 2019 23:29

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudi Arabia imetangaza kuwa tangu Disemba 13 mwaka jana hadi sasa watu 65 wametiwa mbaroni kwa makosa la kile ilichokitaja kuwa ni makosa ya kuhujumu usalama.

  • Wabunge wa Uingereza wataka kuonana na wafungwa wanawake wanaoshikiliwa kwenye jela za Saudia

    Wabunge wa Uingereza wataka kuonana na wafungwa wanawake wanaoshikiliwa kwenye jela za Saudia

    Jan 02, 2019 11:42

    Kundi la mawakili wa kimataifa na wabunge wa Uingereza limetaka lipatiwe fursa ya kuonana na wafungwa wanawake wanaoshikiliwa kwenye jela za Saudi Arabia.

  • Wafungwa wa kisiasa wanakabiliwa na hali mbaya katika jela za Misri

    Wafungwa wa kisiasa wanakabiliwa na hali mbaya katika jela za Misri

    Sep 13, 2018 09:15

    Hali ya wafungwa wa kisiasa nchini Misri miaka mitano baada ya mapinduzi ya kijeshi nchini humo inaripotiwa kuwa mbaya sana.

  • Kushikilia Bahrain rekodi ya wafungwa wa kisiasa ulimwenguni

    Kushikilia Bahrain rekodi ya wafungwa wa kisiasa ulimwenguni

    Jul 03, 2018 23:19

    Jalal Firouz, mbunge wa zamani wa Bahrain na mmoja wa wanaharakati wa masuala ya haki za binadamu wa nchi hiyo amesema, kwa sasa Bahrain ndio inayoshika nafasi ya kwanza ulimwenguni kwa kuwa na wafungwa wengi wa kisiasa.

  • Wafungwa wa kisiasa 2500 wagoma kula huko Misri

    Wafungwa wa kisiasa 2500 wagoma kula huko Misri

    Oct 03, 2016 10:29

    Wafungwa 2500 wa kisiasa nchini Misri wamegoma kula chakula na dawa wakilalamikia hali mbaya katika jela walipofungwa.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS