Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Michezo

  • Kocha:  Timu ya Iran imedhulumiwa zaidi katika Historia ya Kombe la Dunia

    Kocha: Timu ya Iran imedhulumiwa zaidi katika Historia ya Kombe la Dunia

    Jun 17, 2026 03:21

    Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Iran, Amir Ghalenoei, amesema kuwa ‘Team Melli’ ndiyo “timu inayodhulumiwa zaidi katika historia ya Kombe la Dunia la FIFA.”

  • Kombe la Dunia 2026: Timu za Asia na Afrika Zilivyokumbana na Vikwazo Marekani Hata Kabla ya Kupulizwa Kipenga cha Kwanza

    Kombe la Dunia 2026: Timu za Asia na Afrika Zilivyokumbana na Vikwazo Marekani Hata Kabla ya Kupulizwa Kipenga cha Kwanza

    Jun 17, 2026 07:43

    Huku nikitumai kuwa hujambo mpenzi msikilizaji popote pale ulipo, nakukaribisha kuwa nami katika Makala ya Wiki ya juma hili itakayoangazia jinsi mamlaka za Marekani, ambayo ni moja ya wenyeji wa mashindano ya Dunia ya soka yaliyoanza siku ya Alkhamisi, zilivyozitendea timu za nchi washiriki wa mashindano hayo zilipowasili nchini humo.

  • Iran yatoka sare ya mabao 2 kwa 2 na New Zealand, Misri yagawana pointi na Ubelgiji Kundi G

    Iran yatoka sare ya mabao 2 kwa 2 na New Zealand, Misri yagawana pointi na Ubelgiji Kundi G

    Jun 16, 2026 05:53

    Timu ya Taifa ya Iran, Team Melli, imetoka sare ya mabao mawili kwa mawili na timu ya taifa ya New Zealand katika mechi ya kundi G iliyopigwa uwanja wa SoFi Stadium huko California.

  • 'Nchi inayoshiriki mauaji ya kimbari Gaza inataka kusafisha sura yake chafu kwa kuandaa Kombe la Dunia 2026'

    'Nchi inayoshiriki mauaji ya kimbari Gaza inataka kusafisha sura yake chafu kwa kuandaa Kombe la Dunia 2026'

    Jun 12, 2026 13:52

    Nyota wa zamani wa soka wa Misri na mchambuzi wa masuala ya michezo, Mohamed Aboutrika, ameibua wimbi kubwa la majibizano na mijadala kwenye mitandao ya kijamii, baada ya kukosoa sera za undumakuwili katika kuandaa mashindano makubwa ya michezo, na jitihada za baadhi ya nchi za kutumia michezo kama wenzo wa kutakasa na kusafisha sura zao chafu za kisiasa.

  • Afrika yaweka rekodi, yatuma timu 10 katika Kombe la Dunia huku mashindano ya 2026 yakianza

    Afrika yaweka rekodi, yatuma timu 10 katika Kombe la Dunia huku mashindano ya 2026 yakianza

    Jun 11, 2026 11:15

    Afrika inaandika historia katika Kombe la Dunia FIFA 2026 kwa kuwakilishwa na timu 10, ikiwa ni idadi kubwa zaidi kuwahi kufikiwa na bara hilo katika mashindano hayo.

  • Marekani yawanyima visa maafisa wa timu ya soka ya Iran licha ya majukumu yake kama mwenyeji wa FIFA 2026

    Marekani yawanyima visa maafisa wa timu ya soka ya Iran licha ya majukumu yake kama mwenyeji wa FIFA 2026

    Jun 06, 2026 11:28

    Marekani imekataa kutoa visa kwa maafisa kadhaa wa timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Iran kabla ya Kombe la Dunia la FIFA la 2026 licha ya majukumu yake kama mmoja wa waandaaji wa tukio hilo la kimataifa.

  • Baqaei: Marekani inapasa kudhamini ushiriki wa timu ya taifa ya Iran katika mashindano ya Kombe la Dunia

    Baqaei: Marekani inapasa kudhamini ushiriki wa timu ya taifa ya Iran katika mashindano ya Kombe la Dunia

    May 26, 2026 02:55

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amezungumzia uvumi unaoendelea kuhusu kushiriki wa timu ya taifa ya kandanda ya Iran katika Kombe la Dunia la FIFA la 2026, na kusisitiza kuwa Marekani inawajibika kuandaa mazingira yanayofaa kwa timu hiyo kushiriki katika mashindano bila vizuizi vyovyote.

  • Arsenal yatwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza baada ya Man City kulazimishwa sare na FC Bournemouth

    Arsenal yatwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza baada ya Man City kulazimishwa sare na FC Bournemouth

    May 20, 2026 03:56

    Hatimaye baada ya miaka 22 ya ukame, Arsenal au ukipenda waite The Gunners wametwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu wa 2025-26 baada ya Man City kulazimishwa sare ya bao moja kwa moja na The Cherries ambao nao walikuwa wanafukuzia angalau alama moja ili wafaulu kushiriki kombe la Uefa Conference Cup msimu ujao.

  • Waziri Mkuu wa Uhispania ampongeza Lamine Yamal kwa kusherehekea ubingwa na bendera ya Palestina

    Waziri Mkuu wa Uhispania ampongeza Lamine Yamal kwa kusherehekea ubingwa na bendera ya Palestina

    May 14, 2026 03:29

    Waziri Mkuu wa Uhispania, Pedro Sanchez, amesisitiza uungaji mkono wa nchi yake kwa haki ya Wapalestina ya kuanzisha nchi yao wenyewe, akitoa maoni yake kuhusu utata uliosababishwa na hatua ya nyoka wa timu ya soka ya Barcelona, Lamine Yamal, wakati timu yake ilipokuwa ikisherehekea taji la ubingwa wa ligi ya Uhispania.

  • Mkuu wa Shirikisho la Soka Iran akataa simu ya Waziri Mkuu wa Canada baada ya kutendewa vibaya

    Mkuu wa Shirikisho la Soka Iran akataa simu ya Waziri Mkuu wa Canada baada ya kutendewa vibaya

    May 04, 2026 10:19

    Mkuu wa Shirikisho la Soka la Iran, Mehdi Taj, amekataa ombi la maafisa wa Canada la kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Mark Carney baada ya wajumbe wa Iran kuvunjiwa heshima na maafisa wa mpaka wa Canada.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS