-
Ulimwengu wa Michezo, Februari 19
Feb 19, 2024 07:05Karibu tutupie jicho baadhi ya matukio makubwa ya michezo yaliyojiri katika kona mbalimbali za dunia ndani ya siku saba zilizopita…
-
Ulimwengu wa Spoti, Februari 12
Feb 12, 2024 07:33Natumai u mzima wa afya mpenzi msikilizaji popote uliopo. Karibu tuangazie japo kwa mukhtasari baadhi ya matukio yaliyotikisa viwanja mbalimbali, kitaifa, kieneo na kimataifa.
-
Ulimwengu wa Michezo, Jan 29
Jan 29, 2024 06:27Huu ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio makubwa yaliyoshuhudiwa viwanjani katika pembe mbali mbali za dunia ndani ya siku saba zilizopita.....
-
Ripoti: Israel imeua makumi ya wanariadha wa Palestina tangu Oktoba 7
Dec 10, 2023 02:55Israel imeua shahidi makumi ya wanariadha na wamamichezo wa Palestina tangu utawala huo wa Kizayuni uanzishe mashambulizi ya kutisha dhidi ya Ukanda wa Gaza mnamo Oktoba 7.
-
Persepolis yapoteza mechi yake ya kwanza Ligi ya Klabu Bingwa Asia
Sep 20, 2023 14:08Mechi za raundi ya 1 ya Ligi ya Klabu Bingwa barani Asia zilifanyika jana Jumanne.
-
Uliwengu wa Michezo, Sep 18
Sep 18, 2023 10:20Karibu tutupie jicho baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika pembe mbalimbali za dunia.
-
Iran yaitandika Angola 4-0 katika Fifa Day
Sep 13, 2023 04:16Timu ya taifa ya soka ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeitandika timu ya soka ya taifa ya Angola mabao 4 kwa sifuri katika mechi ya kirafiki iliyochezwa katika dimba la Azadi mjini Tehran.
-
Mabinti wa Iran watwaa ubingwa wa Asia wa mchezo wa Taekwondo
Sep 05, 2023 07:00Duru ya 12 ya Mashindano ya Vijana ya Taekwondo nchini Lebanon ilimalizika Jumatatu kwa timu ya mabinti ya Iran kutwaa taji la ubingwa wa Asia.
-
Arsenal yaigaragaza Manchester United 3-1
Sep 04, 2023 04:45Timu ya soka ya Arsenal ya Uingereza jana iliendeleza matokeo mazuri ya msimu huu wa Ligi Kuu ya EPL baada ya kuwatandika watani wao wa jadi Manchester United mabao 3 kwa moja la kufutia machozi.
-
Manchester City yaigaragaza Real Madrid na kupiga hodi fainali Klabu Bingwa Ulaya
May 18, 2023 11:02Timu ya soka ya Manchester City ya Uingerezi imefanya vyema kwa kiwango cha hali ya juu na kuwazidi nguvu mabingwa Real Madrid ya Uhispania katika mchezo wa marudio wa nusu ya Klabu Bingwa barani Ulaya.