-
Yanga yapaisha soka la Tanzania Afrika baada ya kutinga fainali
May 18, 2023 10:34Baada ya miongo mitatu, klabu ya Yanga imekuwa timu ya kwanza kutoka Tanzania kutinga fainali ya mashindano makubwa ya vilabu barani Afrika.
-
Morocco yawashtaki waamuzi wa mechi ya nusu fainali Kombe la Dunia, yasema waliipendelea Ufaransa
Dec 16, 2022 08:01Shirikisho la Soka la Morocco limewasilisha mashtaka dhidi ya mwamumuzi wa mechi ya nusu fainali kati ya timu ya taifa ya nchi hiyo na Ufaransa katika mashindano ya Kombe la Dunia Qatar 2022.
-
Shirikisho la Soka la Marekani lasalimu amri mkabala wa Iran
Nov 28, 2022 07:02Shirikisho la Soka la Marekani limelazimika kuondoa bendera ya Iran isiyo na nembo halisi ya Jamhuri ya Kiislamu kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii, na kuweka iliyo sahihi, kufuatia malalamiko ya Tehran.
-
Iran yalaani jaribio la kuiondoa timu yake ya soka katika fainali za Kombe la Dunia
Oct 21, 2022 11:33Shirikisho la Soka la Iran limekosoa vikali jaribio la kuiengua timu ya taifa ya kandanda ya Jamhuri ya Kiislamu katika michuano ya Kombe la Dunia itakayoanza kutimua mavumbi mwezi ujao wa Novemba nchini Qatar.
-
Wanamichezo wa Jordan wasusia mashindano yaliyowashirikisha Wazayuni
Feb 20, 2022 07:49Makundi yanayoliunga mkono taifa la Palestina huko Jordan yamepongeza hatua ya wanamichezo wa nchi hiyo na nyingine za Kiarabu ya kukataa kushiriki mashindano ya magari ya Baja Rally ya Jordan kutokana na waanndaaji wa mashindano hayo kuwashirikisha pia Waisraeli.
-
Guterres apuuza mashinikizo ya US ya kutaka asusie Olimpiki China
Feb 03, 2022 12:42Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amepuuzilia mbali mwito wa Balozi wa Marekani katika umoja huo wa kumtaka asusie hafla ya ufunguzi wa Michezo ya Olimpiki ya msimu wa baridi kali nchini China.
-
Iran yaikosoa Marekani kwa kuingiza udikteta kwenye michezo
Jan 10, 2022 02:49Rais wa Kamati ya Taifa ya Olimpiki ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeikashifu na kuikosoa vikali Marekani kwa hatua yake ya kususia Michezo ya Olimpiki ya Msimu wa Baridi Kali itakayofanyika huko Beijing, China.
-
Wazayuni wakasirika kwa "kususiwa kimichezo" katika mashindano ya Olimpiki ya Tokyo 2020
Jul 28, 2021 03:25Duru za habari za lugha ya Kiebrania zimetangaza kuwa kususiwa wanamichezo wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mashindano ya Olimpiki ya Tokyo 2020 kumewakasirisha na kuwashtusha viongozi wa utawala huo haramu.
-
Afya na Michezo/Mazoezi
Sep 22, 2020 12:38Meza ya Ulimwengu wa Michezo imekuandalia makala inayochambua umuhimu wa kufanya mazoezi na kushiriki michezo mbalimbali kwa afya na siha ya mwanadamu.
-
Ulimwengu wa Michezo, Dec 23
Dec 23, 2019 07:21Ufuatao ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita kitaifa na kimataifa....