Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Michezo

  • Yanga yapaisha soka la Tanzania Afrika baada ya kutinga fainali

    Yanga yapaisha soka la Tanzania Afrika baada ya kutinga fainali

    May 18, 2023 10:34

    Baada ya miongo mitatu, klabu ya Yanga imekuwa timu ya kwanza kutoka Tanzania kutinga fainali ya mashindano makubwa ya vilabu barani Afrika.

  • Morocco yawashtaki waamuzi wa mechi ya nusu fainali Kombe la Dunia, yasema waliipendelea Ufaransa

    Morocco yawashtaki waamuzi wa mechi ya nusu fainali Kombe la Dunia, yasema waliipendelea Ufaransa

    Dec 16, 2022 08:01

    Shirikisho la Soka la Morocco limewasilisha mashtaka dhidi ya mwamumuzi wa mechi ya nusu fainali kati ya timu ya taifa ya nchi hiyo na Ufaransa katika mashindano ya Kombe la Dunia Qatar 2022.

  • Shirikisho la Soka la Marekani lasalimu amri mkabala wa Iran

    Shirikisho la Soka la Marekani lasalimu amri mkabala wa Iran

    Nov 28, 2022 07:02

    Shirikisho la Soka la Marekani limelazimika kuondoa bendera ya Iran isiyo na nembo halisi ya Jamhuri ya Kiislamu kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii, na kuweka iliyo sahihi, kufuatia malalamiko ya Tehran.

  • Iran yalaani jaribio la kuiondoa timu yake ya soka katika fainali za Kombe la Dunia

    Iran yalaani jaribio la kuiondoa timu yake ya soka katika fainali za Kombe la Dunia

    Oct 21, 2022 11:33

    Shirikisho la Soka la Iran limekosoa vikali jaribio la kuiengua timu ya taifa ya kandanda ya Jamhuri ya Kiislamu katika michuano ya Kombe la Dunia itakayoanza kutimua mavumbi mwezi ujao wa Novemba nchini Qatar.

  • Wanamichezo wa Jordan wasusia mashindano yaliyowashirikisha Wazayuni

    Wanamichezo wa Jordan wasusia mashindano yaliyowashirikisha Wazayuni

    Feb 20, 2022 07:49

    Makundi yanayoliunga mkono taifa la Palestina huko Jordan yamepongeza hatua ya wanamichezo wa nchi hiyo na nyingine za Kiarabu ya kukataa kushiriki mashindano ya magari ya Baja Rally ya Jordan kutokana na waanndaaji wa mashindano hayo kuwashirikisha pia Waisraeli.

  • Guterres apuuza mashinikizo ya US ya kutaka asusie Olimpiki China

    Guterres apuuza mashinikizo ya US ya kutaka asusie Olimpiki China

    Feb 03, 2022 12:42

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amepuuzilia mbali mwito wa Balozi wa Marekani katika umoja huo wa kumtaka asusie hafla ya ufunguzi wa Michezo ya Olimpiki ya msimu wa baridi kali nchini China.

  • Iran yaikosoa Marekani kwa kuingiza udikteta kwenye michezo

    Iran yaikosoa Marekani kwa kuingiza udikteta kwenye michezo

    Jan 10, 2022 02:49

    Rais wa Kamati ya Taifa ya Olimpiki ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeikashifu na kuikosoa vikali Marekani kwa hatua yake ya kususia Michezo ya Olimpiki ya Msimu wa Baridi Kali itakayofanyika huko Beijing, China.

  • Wazayuni wakasirika kwa

    Wazayuni wakasirika kwa "kususiwa kimichezo" katika mashindano ya Olimpiki ya Tokyo 2020

    Jul 28, 2021 03:25

    Duru za habari za lugha ya Kiebrania zimetangaza kuwa kususiwa wanamichezo wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mashindano ya Olimpiki ya Tokyo 2020 kumewakasirisha na kuwashtusha viongozi wa utawala huo haramu.

  • Afya na Michezo/Mazoezi

    Afya na Michezo/Mazoezi

    Sep 22, 2020 12:38

    Meza ya Ulimwengu wa Michezo imekuandalia makala inayochambua umuhimu wa kufanya mazoezi na kushiriki michezo mbalimbali kwa afya na siha ya mwanadamu.

  • Ulimwengu wa Michezo, Dec 23

    Ulimwengu wa Michezo, Dec 23

    Dec 23, 2019 07:21

    Ufuatao ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita kitaifa na kimataifa....

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS