Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Gazeti la Wall Street: Syria na Misri zinakaribia kurejesha uhusiano wa kidiplomasia

    Gazeti la Wall Street: Syria na Misri zinakaribia kurejesha uhusiano wa kidiplomasia

    Apr 02, 2023 10:50

    Duru za kuaminika zimelidokeza gazeti la Wall Street (WSJ) linalochapishwa nchini Marekani kwamba Syria na Misri ziko katika mazungumzo ya ngazi ya juu ya kurejesha uhusiano wa kidiplomasia ambao ulivunjwa baada ya kuzuka mgogoro nchini Syria mnamo mwaka 2011.

  • Mwanaharakati wa Misri akamatwa Saudia akifanya Umra

    Mwanaharakati wa Misri akamatwa Saudia akifanya Umra

    Mar 31, 2023 02:10

    Vyombo vya usalama vya Saudi Arabia vimeripotiwa kumtia mbaroni mwanaharakati mashuhuri wa Misri, akifanya ibada ya Umra katika mji mtukufu wa Makka.

  • Ijumaa, tarehe 31 Machi, 2023

    Ijumaa, tarehe 31 Machi, 2023

    Mar 31, 2023 02:08

    Leo ni Ijumaa tarehe 9 Ramadhani 1444 Hijria sawa na Machi 31 mwaka 2023.

  • Rais wa Misri awaonya wanaolalamikia hali mbaya ya kiuchumi na kisiasa ya nchi hiyo

    Rais wa Misri awaonya wanaolalamikia hali mbaya ya kiuchumi na kisiasa ya nchi hiyo

    Mar 11, 2023 07:26

    Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri ameonya kuhusu matokeo hasi dhidi ya maandamano yoyote yatakayofanywa kulalamikia hali ya kiuchumi na kisiasa ya nchi hiyo.

  • Jumanne, tarehe 28 Februari, 2023

    Jumanne, tarehe 28 Februari, 2023

    Feb 28, 2023 02:22

    Leo ni Jumanne tarehe 7 Shaaban 1444 Hijria inayosadifiana na tarehe 28 Februari mwaka 2023.

  • Rais Bashar al Assad aonana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri mjini Damascus

    Rais Bashar al Assad aonana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri mjini Damascus

    Feb 28, 2023 02:19

    Rais Bashar al Assad wa Syria, jana Jumatatu alionana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri Sameh Shoukry, ambaye ametembelea Damascus kwa ziara ya kikazi, ikiwa ni mkondo mpya wa kurejea nchi za Kiarabu nchini Syria.

  • Onyo la Bunge la Misri kuhusu njaa na ughali wa bidhaa muhimu

    Onyo la Bunge la Misri kuhusu njaa na ughali wa bidhaa muhimu

    Jan 05, 2023 07:18

    Wabunge wa Misri, wameonya kuhusu njaa na ughali wa bidhaa nchini humo na kusisitiza kuwa Wamisri wamechoshwa na hali hiyo. Wameituhumu serikali kuwa imeshindwa kabisa kukabiliana na mfumuko wa bei uliokithiri nchini kuhusu bidhaa za msingi.

  • Iran yakaribisha pendekezo la Waziri Mkuu wa Iraq kuhusu mazungumzo  kati ya Tehran na Cairo

    Iran yakaribisha pendekezo la Waziri Mkuu wa Iraq kuhusu mazungumzo kati ya Tehran na Cairo

    Dec 25, 2022 07:39

    Hossein Amir- Abdollahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameeleza kuwa Waziri Mkuu wa Iraq alipendekeza katika Mkutano wa Baghdad-2 kuhusu suala la kufanyika mazungumzo kati ya Iran na Misri kuhusu masuala ya kisiasa na kiusalama.

  • Jumapili, 18 Disemba, 2022

    Jumapili, 18 Disemba, 2022

    Dec 18, 2022 04:12

    Leo ni Jumapili tarehe 23 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1444 Hijria sawa na tarehe 18 Disemba 2022 Miladia.

  • Jumatatu tarehe 7 Novemba 2022

    Jumatatu tarehe 7 Novemba 2022

    Nov 07, 2022 02:14

    Leo ni Jumatatu tarehe 12 Rabiuthani 1444 Hijria sawa na 7 Novemba 2022.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS