-
Onyo la Bunge la Misri kuhusu njaa na ughali wa bidhaa muhimu
Jan 05, 2023 07:18Wabunge wa Misri, wameonya kuhusu njaa na ughali wa bidhaa nchini humo na kusisitiza kuwa Wamisri wamechoshwa na hali hiyo. Wameituhumu serikali kuwa imeshindwa kabisa kukabiliana na mfumuko wa bei uliokithiri nchini kuhusu bidhaa za msingi.
-
Iran yakaribisha pendekezo la Waziri Mkuu wa Iraq kuhusu mazungumzo kati ya Tehran na Cairo
Dec 25, 2022 07:39Hossein Amir- Abdollahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameeleza kuwa Waziri Mkuu wa Iraq alipendekeza katika Mkutano wa Baghdad-2 kuhusu suala la kufanyika mazungumzo kati ya Iran na Misri kuhusu masuala ya kisiasa na kiusalama.
-
Jumapili, 18 Disemba, 2022
Dec 18, 2022 04:12Leo ni Jumapili tarehe 23 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1444 Hijria sawa na tarehe 18 Disemba 2022 Miladia.
-
Jumatatu tarehe 7 Novemba 2022
Nov 07, 2022 02:14Leo ni Jumatatu tarehe 12 Rabiuthani 1444 Hijria sawa na 7 Novemba 2022.
-
Al-Azhar yalaani kuchomwa moto Qurani na walowezi wa Kizayuni
Oct 11, 2022 12:12Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al Azhar cha nchini Misri kimelaani kile ilichokitaja kuwa ugaidi za Kizayuni, baada ya Walowezi wa Kiyahudi kuchoma moto Qurani Tukufu katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Marekani yaipa Misri msaada wa kijeshi licha ya Cairo kukiuka haki za binadamu
Sep 15, 2022 10:52Marekani itaipatia Misri sehemu kubwa ya dola milioni 300 zilizotengwa kama msaada wa kijeshi wa Washington kwa Cairo wenye masharti licha ya pande mbalimbali kudhihirisha wasiwasi wao kuhusu rekodi ya haki za binadamu ya Misri.
-
Ujumbe wa Israel wafanya safari ya kificho nchini Misri
Sep 05, 2022 11:08Ujumbe wa ngazi za juu wa utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya safari ya siri nchini Misri kwa lengo la kujaribu kupunguza taharuki baina ya Cairo na Tel Aviv.
-
Misri mwenyeji wa luteka inayojumuisha US, Saudia, Ugiriki na Imarati
Aug 22, 2022 11:04Vikosi maalumu vya majeshi ya Misri, Saudi Arabia, Umoja wa Falme za Kiarabu, Ugiriki na Cyprus vimezindua mazoezi ya pamoja ya kijeshi nchini Misri.
-
Safari ya Lavrov barani Afrika; juhudi za Russia za kutafuta fursa mpya
Jul 26, 2022 06:33Sergey Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameanza safari yake ya siku 5 barani Afrika kwa kuitembelea Misri ambako aliwasili Jumapili, Julai 24.
-
Russia yaanza ujenzi wa kituo cha kwanza cha nyuklia nchini Misri
Jul 22, 2022 07:51Shirika la Taifa la Nishati ya Nyuklia la Russia ROSATOM limeanza awamu ya kwanza ya ujenzi wa kituo cha kwanza cha nyuklia nchini Misri.