-
Gazeti la Wall Street: Syria na Misri zinakaribia kurejesha uhusiano wa kidiplomasia
Apr 02, 2023 10:50Duru za kuaminika zimelidokeza gazeti la Wall Street (WSJ) linalochapishwa nchini Marekani kwamba Syria na Misri ziko katika mazungumzo ya ngazi ya juu ya kurejesha uhusiano wa kidiplomasia ambao ulivunjwa baada ya kuzuka mgogoro nchini Syria mnamo mwaka 2011.
-
Mwanaharakati wa Misri akamatwa Saudia akifanya Umra
Mar 31, 2023 02:10Vyombo vya usalama vya Saudi Arabia vimeripotiwa kumtia mbaroni mwanaharakati mashuhuri wa Misri, akifanya ibada ya Umra katika mji mtukufu wa Makka.
-
Ijumaa, tarehe 31 Machi, 2023
Mar 31, 2023 02:08Leo ni Ijumaa tarehe 9 Ramadhani 1444 Hijria sawa na Machi 31 mwaka 2023.
-
Rais wa Misri awaonya wanaolalamikia hali mbaya ya kiuchumi na kisiasa ya nchi hiyo
Mar 11, 2023 07:26Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri ameonya kuhusu matokeo hasi dhidi ya maandamano yoyote yatakayofanywa kulalamikia hali ya kiuchumi na kisiasa ya nchi hiyo.
-
Jumanne, tarehe 28 Februari, 2023
Feb 28, 2023 02:22Leo ni Jumanne tarehe 7 Shaaban 1444 Hijria inayosadifiana na tarehe 28 Februari mwaka 2023.
-
Rais Bashar al Assad aonana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri mjini Damascus
Feb 28, 2023 02:19Rais Bashar al Assad wa Syria, jana Jumatatu alionana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri Sameh Shoukry, ambaye ametembelea Damascus kwa ziara ya kikazi, ikiwa ni mkondo mpya wa kurejea nchi za Kiarabu nchini Syria.
-
Onyo la Bunge la Misri kuhusu njaa na ughali wa bidhaa muhimu
Jan 05, 2023 07:18Wabunge wa Misri, wameonya kuhusu njaa na ughali wa bidhaa nchini humo na kusisitiza kuwa Wamisri wamechoshwa na hali hiyo. Wameituhumu serikali kuwa imeshindwa kabisa kukabiliana na mfumuko wa bei uliokithiri nchini kuhusu bidhaa za msingi.
-
Iran yakaribisha pendekezo la Waziri Mkuu wa Iraq kuhusu mazungumzo kati ya Tehran na Cairo
Dec 25, 2022 07:39Hossein Amir- Abdollahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameeleza kuwa Waziri Mkuu wa Iraq alipendekeza katika Mkutano wa Baghdad-2 kuhusu suala la kufanyika mazungumzo kati ya Iran na Misri kuhusu masuala ya kisiasa na kiusalama.
-
Jumapili, 18 Disemba, 2022
Dec 18, 2022 04:12Leo ni Jumapili tarehe 23 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1444 Hijria sawa na tarehe 18 Disemba 2022 Miladia.
-
Jumatatu tarehe 7 Novemba 2022
Nov 07, 2022 02:14Leo ni Jumatatu tarehe 12 Rabiuthani 1444 Hijria sawa na 7 Novemba 2022.