-
Al-Azhar yalaani kuchomwa moto Qurani na walowezi wa Kizayuni
Oct 11, 2022 12:12Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al Azhar cha nchini Misri kimelaani kile ilichokitaja kuwa ugaidi za Kizayuni, baada ya Walowezi wa Kiyahudi kuchoma moto Qurani Tukufu katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Marekani yaipa Misri msaada wa kijeshi licha ya Cairo kukiuka haki za binadamu
Sep 15, 2022 10:52Marekani itaipatia Misri sehemu kubwa ya dola milioni 300 zilizotengwa kama msaada wa kijeshi wa Washington kwa Cairo wenye masharti licha ya pande mbalimbali kudhihirisha wasiwasi wao kuhusu rekodi ya haki za binadamu ya Misri.
-
Ujumbe wa Israel wafanya safari ya kificho nchini Misri
Sep 05, 2022 11:08Ujumbe wa ngazi za juu wa utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya safari ya siri nchini Misri kwa lengo la kujaribu kupunguza taharuki baina ya Cairo na Tel Aviv.
-
Misri mwenyeji wa luteka inayojumuisha US, Saudia, Ugiriki na Imarati
Aug 22, 2022 11:04Vikosi maalumu vya majeshi ya Misri, Saudi Arabia, Umoja wa Falme za Kiarabu, Ugiriki na Cyprus vimezindua mazoezi ya pamoja ya kijeshi nchini Misri.
-
Safari ya Lavrov barani Afrika; juhudi za Russia za kutafuta fursa mpya
Jul 26, 2022 06:33Sergey Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameanza safari yake ya siku 5 barani Afrika kwa kuitembelea Misri ambako aliwasili Jumapili, Julai 24.
-
Russia yaanza ujenzi wa kituo cha kwanza cha nyuklia nchini Misri
Jul 22, 2022 07:51Shirika la Taifa la Nishati ya Nyuklia la Russia ROSATOM limeanza awamu ya kwanza ya ujenzi wa kituo cha kwanza cha nyuklia nchini Misri.
-
Israel yaidhinisha Saudia kupewa visiwa viwili vya Misri
Jul 16, 2022 02:42Utawala wa Kizayuni wa Israel umeripotiwa kubariki mpango wa kukabidhi visiwa viwili vya kistratajia vya Misri kwa Saudi Arabia.
-
Vyama vya siasa Misri vyapinga kuanzishwa muungano wa aina yoyote kati ya Waarabu na Israel
Jul 14, 2022 07:42Vyama kadhaa vya siasa nchini Misri vimetangaza kuwa vinapinga kuanzishwa aina yoyote ya muungano wa kijeshi kati ya nchi za Kiarabu na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa hatua kama hiyo itahatarisha amani na usalama wa kimataifa.
-
Misri kuanza mazungumzo ya kitaifa leo Jumanne bila ya Ikhwanul Muslimin
Jul 05, 2022 01:01Bodi mpya ya wadhamini yenye wanachama 19 iliyoundwa kwa ajili ya mazungumzo ya kitaifa ya Misri itakuwa na mkutano wake wa kwanza leo Jumanne; ikiwa ni ishara ya kuashiria kuanza mazungumzo kati ya vyama vya siasa yaliyoitishwa na Rais wa nchi hiyo, Abdel Fattah al Sisi, mwezi Aprili mwaka huu.
-
Malengo tofauti ya safari ya kieneo ya Bin Salman
Jun 22, 2022 09:45Muhammad bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia ameanza safari yake ya kieneo kwa kufanya ziara huko Misri na kuzitembelea pia nchi mbili za Jordan na Uturuki.