Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Jumamosi, 18 Juni, 2022

    Jumamosi, 18 Juni, 2022

    Jun 18, 2022 01:19

    Leo ni Jumamosi tarehe 18 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1443 Hijria sawa na tarehe 18 Juni mwaka 2022 Miladia.

  • Al Azhar yalaani kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad SAW nchini India

    Al Azhar yalaani kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad SAW nchini India

    Jun 07, 2022 02:33

    Chuo Kikuu cha Kiislamu ya al Azhar cha nchini Misri kimelaani utovu wa adabu wa wanachama wawili wa chama tawala cha BJP cha kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW.

  • Safari ya kwanza ya ndege ya biashara kutoka Sana'a kuelekea Cairo baada ya miaka 6

    Safari ya kwanza ya ndege ya biashara kutoka Sana'a kuelekea Cairo baada ya miaka 6

    May 31, 2022 07:38

    Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen imetangaza habari ya kuanza safari ya kwanza ya ndege kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sana'a kuelekea Cairo Misri ikiwa ni mara ya kwanza katika kipindi cha miaka sita.

  • Jeshi la Misri lawaangamiza magaidi 10 katika jangwa la Sinai

    Jeshi la Misri lawaangamiza magaidi 10 katika jangwa la Sinai

    May 30, 2022 04:12

    Jeshi la Misri limetangaza kuwa magaidi 10 wameuliwa katika mapigano na vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo kaskazini ya jangwa la Sinai.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya jeshi la Misri

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya jeshi la Misri

    May 10, 2022 07:53

    Saeed Khatibzadeh, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani hujuma ya hivi karibuni ya kigaidi dhidi ya Jeshi la Misri katika Jangwa la Sinai ambapo wanajeshi kadhaa wameuawa na wengine kujeruhiwa.

  • Mahakama ya Rufaa Misri yapasisha kifungo cha maisha jela dhidi ya Badie

    Mahakama ya Rufaa Misri yapasisha kifungo cha maisha jela dhidi ya Badie

    Apr 21, 2022 12:06

    Mahakama ya Rufaa nchini Misri imepitisha hukumu ya kifungo cha maisha jela kwa kiongozi wa chama cha Ikhwanul Muslimin (Muslim Brotherhood) Mohammed Badie.

  • HRW: Polisi ya Misri inawakandamiza wakimbizi wa Sudan

    HRW: Polisi ya Misri inawakandamiza wakimbizi wa Sudan

    Mar 28, 2022 11:05

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeishutumu polisi kwa kuwazuilia kinyume cha sheria na kuwatesa makumi ya wakimbizi wa Sudan.

  • Malengo ya mikutano ya Bennett, Bin Zayed na Al-Sisi huko Misri

    Malengo ya mikutano ya Bennett, Bin Zayed na Al-Sisi huko Misri

    Mar 24, 2022 02:22

    Waziri Mkuu wa Israel na Mwanamfalme wa Abu Dhabi wamekutana na Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri katika ziara zao nchini humo.

  • Waziri Mkuu wa Israel aitembelea Misri, akutana na Rais Sisi

    Waziri Mkuu wa Israel aitembelea Misri, akutana na Rais Sisi

    Mar 23, 2022 02:42

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameripotiwa kuitembelea Misri katika ziara ya siri na kificho, ambapo amekutana na kufanya mazungumzo na ngazi za juu wa nchi hiyo, akiwemo Rais Abdel Fattah al-Sisi.

  • HRW yaitaka Saudi Arabia iwaachilie huru Wamisri 10 inaowashikilia

    HRW yaitaka Saudi Arabia iwaachilie huru Wamisri 10 inaowashikilia

    Mar 17, 2022 10:54

    Shirika la kimataifa la haki za binadamu la Human Rights Watch limeutaka ukoo wa Aal Saud unaotawala kiimla nchini Saudi Arabia uwaachilie huru Wamisri 10 inaowashikilia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS