-
Hasara ya mabilioni ya dola baada ya Mfereji wa Suez nchini Misri kuzibwa na meli kubwa ya mizigo
Mar 26, 2021 03:31Inakadiriwa kuwa kuna hasara ya dola milioni nne kwa saa baada ya meli kubwa ya kontena kuziba Mfereji wa Maji wa Suez nchini Misri. Mfereji huo ni kati ya njia zenye shughuli nyingi zaidi za meli za kibiashara duniani.
-
Makumi wapoteza maisha kwenye mkasa wa moto kiwandani Misri
Mar 11, 2021 23:12Makumi ya watu wamefariki dunia huku wengine wengi wakijeruhiwa kutokana na ajali ya moto iliyokikumba kiwanda kimoja cha nguo katika mji mkuu wa Misri, Cairo.
-
Jumapili, 28 Februari 2021
Feb 27, 2021 23:53Leo ni Jumapili 16 Rajab 1442 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 28 Februari 2021 Miladia.
-
Mufti Mkuu wa Misri aonya dhidi ya mpango wa Israel wa kuiyahudisha Quds
Feb 27, 2021 08:37Mufti Mkuu wa Misri ametadharisha juu ya njama ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuuyahudisha mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu, na kufuta kabisa utambulisho wake halisi.
-
Mawaziri watatu wakumbwa na ugonjwa wa corona nchini Misri
Feb 22, 2021 10:33Mawaziri watatu wa Misri yaani waziri wa biashara na viwanda, waziri wa mahakama na waziri wa fedha wamekumbwa na ugonjwa wa COVID-19.
-
Marekani yaiuzia silaha Misri licha ya serikali ya el Sisi kuendelea kukiuka haki za binadamu
Feb 17, 2021 23:08Serikali ya Marekani imeidhinisha mauzo ya silaha zenye thamani ya dola milioni 200 kwa Misri licha ya serikali ya nchi hiyo kuendelea kuandamwa na shutuma za ukiukaji wa haki za binadamu.
-
Mwakilishi wa Umoja wa Afrika ziarani Misri kujadili bwawa la An Nahdhah
Feb 01, 2021 23:31Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amekutana na kufanya mashauriano na viongozi wa Misri huko Cairo kuhusu bwawa la An Nahdhah.
-
Misri yawaweka viongozi 50 wa Ikhwanul Muslimin katika orodha ya magaidi
Jan 26, 2021 07:25Mahakama nchini Misri imewaweka viongozi 50 wa Harakati ya Ikhwanul Muslimin ya nchi hiyo katika orodha ya magaidi.
-
Vifo na kunyongwa wafungwa katika magereza ya Misri vyaongezeka
Jan 10, 2021 21:11Kitengo cha upashaji habari cha Misri kimetangaza kuwa watuhumiwa wa masuala ya kisiasa wasiopungua 37 walinyongwa mwaka uliopita wa 2020 na watu wengine 75 waliaga dunia kwa uzembe wa kutopatiwa matibabu katika magereza ya Misri.
-
Wanajeshi kadhaa wa Misri wauawa na kujeruhiwa kaskazini mwa nchi
Jan 02, 2021 03:53Wanajeshi wasiopungua wanane wa Misri wameuawa na kujeruhiwa baada ya gari lao kukanyaga bomu katika mkoa wa Sinai Kaskazini.