-
Jumapili, 28 Februari 2021
Feb 28, 2021 03:23Leo ni Jumapili 16 Rajab 1442 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 28 Februari 2021 Miladia.
-
Mufti Mkuu wa Misri aonya dhidi ya mpango wa Israel wa kuiyahudisha Quds
Feb 27, 2021 12:07Mufti Mkuu wa Misri ametadharisha juu ya njama ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuuyahudisha mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu, na kufuta kabisa utambulisho wake halisi.
-
Mawaziri watatu wakumbwa na ugonjwa wa corona nchini Misri
Feb 22, 2021 14:03Mawaziri watatu wa Misri yaani waziri wa biashara na viwanda, waziri wa mahakama na waziri wa fedha wamekumbwa na ugonjwa wa COVID-19.
-
Marekani yaiuzia silaha Misri licha ya serikali ya el Sisi kuendelea kukiuka haki za binadamu
Feb 18, 2021 02:38Serikali ya Marekani imeidhinisha mauzo ya silaha zenye thamani ya dola milioni 200 kwa Misri licha ya serikali ya nchi hiyo kuendelea kuandamwa na shutuma za ukiukaji wa haki za binadamu.
-
Mwakilishi wa Umoja wa Afrika ziarani Misri kujadili bwawa la An Nahdhah
Feb 02, 2021 03:01Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amekutana na kufanya mashauriano na viongozi wa Misri huko Cairo kuhusu bwawa la An Nahdhah.
-
Misri yawaweka viongozi 50 wa Ikhwanul Muslimin katika orodha ya magaidi
Jan 26, 2021 10:55Mahakama nchini Misri imewaweka viongozi 50 wa Harakati ya Ikhwanul Muslimin ya nchi hiyo katika orodha ya magaidi.
-
Vifo na kunyongwa wafungwa katika magereza ya Misri vyaongezeka
Jan 11, 2021 00:41Kitengo cha upashaji habari cha Misri kimetangaza kuwa watuhumiwa wa masuala ya kisiasa wasiopungua 37 walinyongwa mwaka uliopita wa 2020 na watu wengine 75 waliaga dunia kwa uzembe wa kutopatiwa matibabu katika magereza ya Misri.
-
Wanajeshi kadhaa wa Misri wauawa na kujeruhiwa kaskazini mwa nchi
Jan 02, 2021 07:23Wanajeshi wasiopungua wanane wa Misri wameuawa na kujeruhiwa baada ya gari lao kukanyaga bomu katika mkoa wa Sinai Kaskazini.
-
Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani yaafiki kuziuzia silaha Misri, Kuwait na Saudia
Dec 30, 2020 06:17Katika mwendelezo wa siasa za White House zinazolenga kuuza silaha zaidi; Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imetangaza kuwa imeafiki kutekelezwa mikataba ya kuziuzia silaha Misri, Kuwait na Saudi Arabia.
-
Saudi Arabia na Misri zimo kwenye orodha ya nchi hatari kwa waandishi habari mwaka 2020
Dec 29, 2020 06:09Gazeti la Washington Post limeripoti kuwa Saudi Arabia na Misri zimo kwenye orodha ya nchi hatari sana kwa waandishi habari katika mwaka huu wa 2020.