Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Makamanda 23 wanaomuunga mkono Anan watiwa mbaroni Misri

    Makamanda 23 wanaomuunga mkono Anan watiwa mbaroni Misri

    Feb 03, 2018 04:18

    Idaya ya usalama nchini Misri imewatia mbaroni makamanda 23 miongoni mwa wafuasi wa Sami Hafez Anan, mkuu wa zamani wa majeshi nchini humo ambaye alitangaza azma yake ya kutaka kugombea uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.

  • Misri yawahukumu maisha jela wanachama wa Ikhwani

    Misri yawahukumu maisha jela wanachama wa Ikhwani

    Jan 30, 2018 23:52

    Katika kile kinachoonekana na mwendelezo wa hukumu za kidhalimu dhidi ya wafuasi wa harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri, Mahakama ya Jinai ya Cairo imewahukumu kifungo cha maisha jela wanachama sita wa harakati hiyo.

  • Wanasiasa Misri kususia uchaguzi wa rais

    Wanasiasa Misri kususia uchaguzi wa rais

    Jan 30, 2018 13:06

    Makumi ya wanaharakati wa kisiasa wa Misri wametia saini taarifa ya kususia uchaguzi ujao wa rais nchini humo wakisema kuwa, hautakuwa na sifa za awali kabisa za uchaguzi huru na wa haki.

  • Misri yapokea vyema kuboreka uhusiano wa Ethiopia na Sudan

    Misri yapokea vyema kuboreka uhusiano wa Ethiopia na Sudan

    Jan 29, 2018 11:43

    Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri amesema nchi yake imefurahishwa na kuboreka uhusiano baina ya Sudan na Ethiopia katika nyuga tofauti.

  • Wanasiasa Misri watoa wito wa kususiwa uchaguzi wa rais

    Wanasiasa Misri watoa wito wa kususiwa uchaguzi wa rais

    Jan 29, 2018 02:42

    Wanasiasa wa kambi ya upinzani nchini Misri wamewataka wananchi wa nchi hiyo kususia uchaguzi ujao wa rais.

  • Mpinzani wa el Sisi katika uchaguzi ujao wa Misri atupwa katika jela ya kijeshi

    Mpinzani wa el Sisi katika uchaguzi ujao wa Misri atupwa katika jela ya kijeshi

    Jan 28, 2018 11:41

    Wakili wa mkuu wa zamani wa jeshi la Misri ambaye ametangaza kuchuana na Rais Abdul Fattah el Sisi katika uchaguzi ujao wa rais nchini humo amesema kuwa, mteja wake emepelekwa katika jela ya kijeshi.

  • Ikhwanul Muslimin ya Misri yatahadharisha kuhusu kuwekewa mashinikizo wapinzani

    Ikhwanul Muslimin ya Misri yatahadharisha kuhusu kuwekewa mashinikizo wapinzani

    Jan 26, 2018 13:12

    Harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri imetahadharisha kuhusu hatua ya serikali ya nchi hiyo inayoongozwa na Rais Abdel Fatah al Sisi ya kuwashinikiza wapinzani wa serikali na taathira zake mbaya za kisiasa.

  • Al-Sisi asafishiwa njia kutetea kiti cha urais baada ya wapinzani wake kutiwa mbaroni au kujitoa

    Al-Sisi asafishiwa njia kutetea kiti cha urais baada ya wapinzani wake kutiwa mbaroni au kujitoa

    Jan 25, 2018 03:58

    Mpinzani wa Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri katika kinyang'anyiro cha uchaguzi ujao wa Rais ametangaza kujitoa katika mbio hizo hatua ambayo inamsafishia njia Rais wa sasa wa nchi hiyo kutetea kiti chake.

  • Ethiopia yakataa upatanishi wa Benki ya Dunia katika mgogoro wake na Misri

    Ethiopia yakataa upatanishi wa Benki ya Dunia katika mgogoro wake na Misri

    Jan 22, 2018 22:59

    Waziri Mkuu wa Ethiopia amekataa pendekezo la Misri la kuitaka Benki ya Dunia kuwa mpatanishi katika mgogoro wa ujenzi wa bwawa unaofanywa na serikali ya Addis Ababa juu ya Mto Nile.

  • Al Sisi kuwania urais wa Misri kwa muhula wa pili katika uchaguzi wa Machi

    Al Sisi kuwania urais wa Misri kwa muhula wa pili katika uchaguzi wa Machi

    Jan 20, 2018 03:42

    Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri ametangaza kuwa atawania muhula wa pili wa urais katika uchaguzi wa mwezi Machi ambapo anatazamiwa kushinda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS